Maridhiano yanayomrudisha Tundu Lissu nyumbani ndio yatakayomuondoa Halima Mdee Bungeni?

Maridhiano yanayomrudisha Tundu Lissu nyumbani ndio yatakayomuondoa Halima Mdee Bungeni?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ajenda moja ya Maridhiano ya CCM na Chadema ya kuwahakikishia usalama Tundu Lisu, Lema na Wenje imeshazaa matunda na sasa makamanda wako njiani kurejea nyumbani

Lakini ajenda nyingine Ilikuwa ni kuwaondoa bungeni akina Halima Mdee na wenzake kwani siyo wanachama wa Chadema.

Kesi iko mahakamani lakini kama Mnyika alisema wao wamependekeza Mfumo uliotumika kuwaingiza bungeni ndio uwaondoe.

Je, watang'oka?
 
Haihitaji maridhiano ili wabunge wa covid 19 watoke bungeni! Inahitaji kuheshimu tu taratibu na sheria zetu ili wabunge hawa watoke bungeni!! Kama kuna fedheha kwa bunge letu basi ni hili la kuwa na wabunge wa covid 19.
 
Haihitaji maridhiano ili wabunge wa covid 19 watoke bungeni! Inahitaji kuheshimu tu taratibu na sheria zetu ili wabunge hawa watoke bungeni!! Kama kuna fedheha kwa bunge letu basi ni hili la kuwa na wabunge wa covid 19.
Kwani waliingiaje?
 
Back
Top Bottom