Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Na UWT mnakunywa nini?Ufipa y mmevimbiwa juice
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na UWT mnakunywa nini?Ufipa y mmevimbiwa juice
Simbachawene?Unajua maana ya Ikulu?
Wale wameitwa na CCM ndio sababu vile vikao huwaoni Watendaji wa serikali bali akina Mzee Kinana, Komredi Chongollo, Mndeme, Shaka nk
Chadema ni Bawacha kwa sasa
Simbachawene ni Mtendaji wa serikali?Simbachawene?
UWT ndio yenye serikaliNa UWT mnakunywa nini?
Lissu, Lema, na mjaluo Mkenya Wenje- walikimbia madeni yao waje tu walipe.Ajenda moja ya Maridhiano ya CCM na Chadema ya kuwahakikishia usalama Tundu Lisu, Lema na Wenje imeshazaa matunda na sasa makamanda wako njiani kurejea nyumbani
Lakini ajenda nyingine Ilikuwa ni kuwaondoa bungeni akina Halima Mdee na wenzake kwa y siyo wanachama wa Chadema.
Kesi iko mahakamani lakini KM Mnyika alisema wao wamependekeza Mfumo uliotumika kuwaingiza bungeni ndio uwaondoe
Je, watang'oka?
Not necessarily!.Je, watang'oka?
Nimekuelewa mkuuNot necessarily!.
Mama ni mtu wa haki bin haki
Kama majina yalipelekwa kihalali, then hawatang'oka.
2025 hamuendi mahaliUWT ndio yenye serikali
UWT ndio yenye fedha za kuwanunulia sambusa akina Ufipa
Jamaa mnafiki sana wewe…Ajenda moja ya Maridhiano ya CCM na Chadema ya kuwahakikishia usalama Tundu Lisu, Lema na Wenje imeshazaa matunda na sasa makamanda wako njiani kurejea nyumbani
Lakini ajenda nyingine Ilikuwa ni kuwaondoa bungeni akina Halima Mdee na wenzake kwani siyo wanachama wa Chadema.
Kesi iko mahakamani lakini kama Mnyika alisema wao wamependekeza Mfumo uliotumika kuwaingiza bungeni ndio uwaondoe.
Je, watang'oka?
2025 CCM inatwaa majimbo yote ya ubunge2025 hamuendi mahali
Toa alama za kuuliza.Ajenda moja ya Maridhiano ya CCM na Chadema ya kuwahakikishia usalama Tundu Lisu, Lema na Wenje imeshazaa matunda na sasa makamanda wako njiani kurejea nyumbani
Lakini ajenda nyingine Ilikuwa ni kuwaondoa bungeni akina Halima Mdee na wenzake kwani siyo wanachama wa Chadema.
Kesi iko mahakamani lakini kama Mnyika alisema wao wamependekeza Mfumo uliotumika kuwaingiza bungeni ndio uwaondoe.
Je, watang'oka?
Siasa ni UnafikiJamaa mnafiki sana wewe…
Samia nae hana tofauti na covid 19 maana ni zao la ule uchafuzi wa 2020.Unajua maana ya Ikulu?
Wale wameitwa na CCM ndio sababu vile vikao huwaoni Watendaji wa serikali bali akina Mzee Kinana, Komredi Chongollo, Mndeme, Shaka nk
Chadema ni Bawacha kwa sasa
Labda upande wa UWT2025 CCM inatwaa majimbo yote ya ubunge
Rais Samia atapata 99.5%
UWT ndio wenye nchiLabda upande wa UWT
Sawa MongelaUWT ndio wenye nchi
Mbowe katulizwa na UWT
Haya Minja DSawa Mongela
Mpuuzi weweHaya Minja D
Jo ukiwa kwenye siku zako akili zinahamaChadema kuna Wanaume?
Mbona hatuwaoni bungeni kama vile vidume vya ACT wazalendo?