johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni kwa mujibu wa J JUlijuaje jo
Tunawakaribisha sana kwenye taasisi inayoongoza nchi!Watakuja UWT uungane nao
Katiba gani?Kinachompeleka mtu Bungeni na kumuondoa mbunge Bungeni Ni KATIBA na SHERIA na sio maridhiano.
Akina mama mnafanya lini uchaguzi?Tunawakaribisha sana kwenye taasisi inayoongoza nchi!
UWT imetoa Rais wa JMT na Spika wa bungeAkina mama mnafanya lini uchaguzi?
Kwa hiyo akina mama mpo juu kuliko sisi wanaume?UWT imetoa Rais wa JMT na Spika wa bunge
Bawacha mmetoa Covid 19
Chadema kuna Wanaume?Kwa hiyo akina mama mpo juu kuliko sisi wanaume?
Nilijua tu utaharibu UziChadema kuna Wanaume?
Mbona hatuwaoni bungeni kama vile vidume vya ACT wazalendo?
Hahaha......!Aa
Nilijua tu utaharibu Uzi
Kwani waliingiaje?Haihitaji maridhiano ili wabunge wa covid 19 watoke bungeni! Inahitaji kuheshimu tu taratibu na sheria zetu ili wabunge hawa watoke bungeni!! Kama kuna fedheha kwa bunge letu basi ni hili la kuwa na wabunge wa covid 19.
Ndiyo maana CHADEMA wanaitwa Ikulu badala ya kikosa kaziChadema kuna Wanaume?
Mbona hatuwaoni bungeni kama vile vidume vya ACT wazalendo?
Unajua maana ya Ikulu?Ndiyo maana CHADEMA wanaitwa Ikulu badala ya kikosa kazi
Ufipa y mmevimbiwa juiceUVCCM wakishimba ndiyo walivyo