Maringo kibao, kumbe hamna kitu maseee!

ukaachia kuku wa kuliwa sababu uzito hauridhishi hahahahahahaha pole sana
 
kama sauti nzuri unazima taa unamla kwa sauti yake tu hahahaha mm mbio
 
Kamanda siku nyingine inabidi ufahamu kwamba mtambo wa kukamulia juice hauchagui ubora wa tunda..[emoji23][emoji23]
 
Mie niliwai kutana nae mmoja ameoza meno hadi alinitisha, yani meno yametokeza ad kwa njee.. Ila sjakoma kutongoza mitandaoni
 

Daaah we jamaa Tangia unaanza Kupost topic zako JF, Nikajua utakuwa Mambo mengi.

unazingua Mkuu [emoji41]
 
Mie niliwai kutana nae mmoja ameoza meno hadi alinitisha, yani meno yametokeza ad kwa njee.. Ila sjakoma kutongoza mitandaoni
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aseeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…