Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Niamini mimi tuUSIWAAMINI WAREMBO WA MTANDAONI...OVA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niamini mimi tuUSIWAAMINI WAREMBO WA MTANDAONI...OVA
SawaUSIWAAMINI WAREMBO WA MTANDAONI...OVA
Aseeepole sana mdogo wangu
OK mzeepole sana mdogo wangu
ukaachia kuku wa kuliwa sababu uzito hauridhishi hahahahahahaha pole sanaAseee, Mimi ndie.
FREE ERICK KAFLAG!
Eeebana! last weekend niliamua kumeet na mwanamke mmoja hivi niliechat nae mtandaoni kwa mda kama mwezi hivi (sio JF), wakati tunaongea kwa phone asee mtoto ana sauti nyororo iliyokua inapelekea nyoka wangu kutoka pangoni.
Nilivyokutana nae sikuamini!, Msee wangu, kumbe uzuri ule yalikua ni mapicha tuu na camera 360, ma edit kibao mazeee!
Duh! KwanzA ana umbo namba 9, sura ya kawaida sana alongside Bonge ya ziwa kama dafu mazeee!
Duh! Ebana tunaharibiana nauli punguzeni kujiedit mitandaoni,aaaagh!
Minikaona nimpe tuu nauli asepe zake asee nikamwambia Nina emergency, maana alikua amekuja kwa ajili ya kuliwa.
Aaah ila mtandaoni sasa kila demu mzuri mazee, ujuaji mwingi kumbe ni wa kawaidaaaa!!
tena sio uji tu ni wimbi la ujiKumbe sura nzito kama uji wa mgonjwa
ndo kiti chake hawezi mwisho mwishoUnakaA mwanzo mwanzo bro kila nyuzi
kama sauti nzuri unazima taa unamla kwa sauti yake tu hahahaha mm mbioAseee, Mimi ndie.
FREE ERICK KAFLAG!
Eeebana! last weekend niliamua kumeet na mwanamke mmoja hivi niliechat nae mtandaoni kwa mda kama mwezi hivi (sio JF), wakati tunaongea kwa phone asee mtoto ana sauti nyororo iliyokua inapelekea nyoka wangu kutoka pangoni.
Nilivyokutana nae sikuamini!, Msee wangu, kumbe uzuri ule yalikua ni mapicha tuu na camera 360, ma edit kibao mazeee!
Duh! KwanzA ana umbo namba 9, sura ya kawaida sana alongside Bonge ya ziwa kama dafu mazeee!
Duh! Ebana tunaharibiana nauli punguzeni kujiedit mitandaoni,aaaagh!
Minikaona nimpe tuu nauli asepe zake asee nikamwambia Nina emergency, maana alikua amekuja kwa ajili ya kuliwa.
Aaah ila mtandaoni sasa kila demu mzuri mazee, ujuaji mwingi kumbe ni wa kawaidaaaa!!
ni matumizi mabaya ya nyegeNa hili ndio tatizo, mwanaume mzima unajisifia kukimbia mbunye kisa sura na Shepu, ni matumizi mabaya ya urijali
sasa comrade hilo putepute ulilipata wapi ?Hata akisema hivyo ni sawq tuu, mimi silagi mizoga naipotezea
wanavaa na boxer za maua mauaMwanaume awe mzuri anagombea umiss? Mwanaume sura ngumu nyie wanaume ndio mnajichubua na kupaka shedo
mafisi hawawezi kuelewa wao wamezoea kula kila kilichokufaNina viwango vyangu
Aseee, Mimi ndie.
FREE ERICK KAFLAG!
Eeebana! last weekend niliamua kumeet na mwanamke mmoja hivi niliechat nae mtandaoni kwa mda kama mwezi hivi (sio JF), wakati tunaongea kwa phone asee mtoto ana sauti nyororo iliyokua inapelekea nyoka wangu kutoka pangoni.
Nilivyokutana nae sikuamini!, Msee wangu, kumbe uzuri ule yalikua ni mapicha tuu na camera 360, ma edit kibao mazeee!
Duh! KwanzA ana umbo namba 9, sura ya kawaida sana alongside Bonge ya ziwa kama dafu mazeee!
Duh! Ebana tunaharibiana nauli punguzeni kujiedit mitandaoni,aaaagh!
Minikaona nimpe tuu nauli asepe zake asee nikamwambia Nina emergency, maana alikua amekuja kwa ajili ya kuliwa.
Aaah ila mtandaoni sasa kila demu mzuri mazee, ujuaji mwingi kumbe ni wa kawaidaaaa!!
Kivip sijakusoma nazingua vipiDaaah we jamaa Tangia unaanza Kupost topic zako JF, Nikajua utakuwa Mambo mengi.
unazingua Mkuu [emoji41]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aseeeeMie niliwai kutana nae mmoja ameoza meno hadi alinitisha, yani meno yametokeza ad kwa njee.. Ila sjakoma kutongoza mitandaoni