Pre GE2025 Maringo Mia Moja ya Rais Samia na Mbunge wa Bukoba Mjini, Stephen Byabato 2020 - 2025

Pre GE2025 Maringo Mia Moja ya Rais Samia na Mbunge wa Bukoba Mjini, Stephen Byabato 2020 - 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MARINGO MIA YA MHE. DKT. SAMIA NA MBUNGE WA JIMBO LA BUKOBA MJINI WAKILI STEPHEN BYABATO 2020 - 2025

Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Wakili Stephen Byabato anamshukuru sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwezesha Miradi Mikubwa na ya kimkakati kutekelezwa katika Jimbo la Bukoba Mjini kwa kipindi kifupi cha Uongozi wao.

Aidha anawashukuru sana wananchi wa Jimbo la Bukoba Mjini kwa kuipokea vema na kushirikiana na viongozi wa Mkoa na Wilaya kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa na kukamilika kwa wakati.

NTUKUSIMA MUNO MA SAMIA OMUKAMA AKUBERE.

#Maringo100yaSamianaByabato
#BukobaMjinihatukudai
#NiByabato2025
#SSH5TENA2025
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.25.52.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.25.52.jpeg
    88.4 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.13.57.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.13.57.jpeg
    87.9 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.13.58.jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.13.58.jpeg
    85.8 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.13.58 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.13.58 (1).jpeg
    96.5 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.13.58 (2).jpeg
    WhatsApp Image 2025-01-11 at 13.13.58 (2).jpeg
    91.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom