Analeta tambo za kifoo chugastan, dah ila mashabiki wanaingia na beto za nn aiseeKapokea hela alafu katokea kwa tamasha amechelewa na kalewa. Kaanza kuimba eti toto bad in the building nakuwaambia watu eti ana demu mzuri. Watu wamefanya fujo mfululu mixer beto zilitembea sana. Imebidi toto bad akimbilie sentro pale chugani ambako amehifadhiwa mpaka mda huu Raia lombelombe wanataka kuruka naye kimasai. Wamesema mpaka atage yai hapo chugani.
Mda wowote unatakiwa ukae tayari kwa vita arifu. Niko zangu hapa ngarenaro shauri Moyo.Analeta tambo za kifoo chugastan, dah ila mashabiki wanaingia na beto za nn aisee
Hauna akili unajua mkataba wewe,Hii ni kesi au mavi. Kwamba wao walitegemea wampe milioni 15 ili wao wavune faida ya milioni 550? Kwa show ipi ya mavi kama.hio ya kuwaimbia hao mamiss uchwara
Hiyo kampuni hata kushika 30m yao hawajawahi...wanataka 550m kiulaini tuView attachment 2931230
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Mwanga, maarufu Marioo, anayedaiwa zaidi ya Sh. milioni 500 kwa kuvunja mkataba, anatarajiwa kujitetea Mahakama Kuu Machi 18 na 19, mwaka huu.
Marioo na Meneja wake Sweetbert Mwinula wameshtakiwa katika Mahakama Kuu Masjala ya Wilaya ya Arusha mbele ya Jaji Joackim Tiganga, wakidaiwa jumla ya Sh. 550,000,000 kwa madai ya kuvunja mkataba wa kutumbuiza katika hafla ya Mr & Miss Vyuo Vikuu Kanda ya Kaskazini.
Mdai katika shauri hilo ni Kampuni ya Kismaty inayojihusisha na kuandaa matukio ya burudani mbalimbali nchini.
Mdai anayewakilishwa na Wakili John Lairumbe, anadai kuwa Septemba 23, 2021, aliingia mkataba na wadaiwa kutumbuiza siku ya mashindano hayo kwa gharama ya Sh. milioni 15.
NIPASHE
Marioo kwanza hana show za international, hahaHizo show za mil50 ni local au international?
Hivi milioni 50 unazijua unazisikia?? Show ya 50M inataka mashabiki wasiopungua 5,000!! Kwa ukumbi hupi wa kuingiza watu 5 elfu?? Na sehemu gani kwa Tanzania utakusanya watu elfu 5 kwa mkupuo?? Labda kwenye majijiMarioo kwa sasa anachukua mpaka 50m per show.
Dogo alisainishwa mkataba kimtego then waandaji wakamlewesha maksudi avurunde wamkamueBongo Nyoso, kalipa mil 15 anadai mil 550,WTF is fucking problem with African people!
Ni masuala ya legal justification tu ground ya kupambania ni mahakani, umehichanganya ukajaa unategema nini, kesi ya kuku tu inakuweka jela miaka mi 5 sembuse hizo 15milions za uwekezaji. Hapo inatajwa misamiati mikubwa mikubwa tu ya kiuwekezaji ili 15m ikukamue 550mls.ππ dah
Mil 15 kwa 550
Wapumbavu tu hawa akina sinza pazuri ma pusha wa drugs tu ndio maana wamehifichia huko kwenye mamiziki. Ukamlipe 50M Marioo kwa show ya masaa ??? Bado badoHivi milioni 50 unazijua unazisikia?? Show ya 50M inataka mashabiki wasiopungua 5,000!! Kwa ukumbi hupi wa kuingiza watu 5 elfu?? Na sehemu gani kwa Tanzania utakusanya watu elfu 5 kwa mkupuo?? Labda kwenye majiji
Unadhani maisha ni rahisi kiasi hicho?Ni masuala ya legal justification tu ground ya kupambania ni mahakani, umehichanganya ukajaa unategema nini, kesi ya kuku tu inakuweka jela miaka mi 5 sembuse hizo 15milions za uwekezaji. Hapo inatajwa misamiati mikubwa mikubwa tu ya kiuwekezaji ili 15m ikukamue 550mls.
NB
usipende jasho la mwanaume mwenzio bure bure
Alipiga show sehemu gani arusha?Mda wowote unatakiwa ukae tayari kwa vita arifu. Niko zangu hapa ngarenaro shauri Moyo.