Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
ahahah..why all the way to this? Sounding personal, what for?😂Get a life bro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahah..why all the way to this? Sounding personal, what for?😂Get a life bro.
Hakunaga kesi nyepesi mkulu.Tamasha lilifanyika au halikufanyika???? Kama lilifanyika watu waliingia au hawakuingia??
Je Tamasha la mamiss au la Marioooooo?
Kesi nyepesi hiyoooo
Fraud tupu kwenye hizo biashara za kihuni, na utakatishaji pesa tu.Ila wasanii wanapata hela sana
Show moja tu milioni 15
Kwan ulivyosoma mkuu, hiyo 550m ni hasara au ni madai ya fidia? Maana msije mkawa mnakurupuka tu.Hii ni kesi au mavi. Kwamba wao walitegemea wampe milioni 15 ili wao wavune faida ya milioni 550? Kwa show ipi ya mavi kama.hio ya kuwaimbia hao mamiss uchwara
Haswa ukiiamua weweTamasha lilifanyika au halikufanyika???? Kama lilifanyika watu waliingia au hawakuingia??
Je Tamasha la mamiss au la Marioooooo?
Kesi nyepesi hiyoooo
Ubi jus ibi remedium....."where there is a right, there is a remedy."Tamasha lilifanyika au halikufanyika???? Kama lilifanyika watu waliingia au hawakuingia??
Je Tamasha la mamiss au la Marioooooo?
Kesi nyepesi hiyoooo
At least Alie anzisha Uzi at least angeweka na prayers zilipo kwenye plaint/hati ya madai watu wajue hio 550 inefikaje ila kuna item kamaView attachment 2931230
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Mwanga, maarufu Marioo, anayedaiwa zaidi ya Sh. milioni 500 kwa kuvunja mkataba, anatarajiwa kujitetea Mahakama Kuu Machi 18 na 19, mwaka huu.
Marioo na Meneja wake Sweetbert Mwinula wameshtakiwa katika Mahakama Kuu Masjala ya Wilaya ya Arusha mbele ya Jaji Joackim Tiganga, wakidaiwa jumla ya Sh. 550,000,000 kwa madai ya kuvunja mkataba wa kutumbuiza katika hafla ya Mr & Miss Vyuo Vikuu Kanda ya Kaskazini.
Mdai katika shauri hilo ni Kampuni ya Kismaty inayojihusisha na kuandaa matukio ya burudani mbalimbali nchini.
Mdai anayewakilishwa na Wakili John Lairumbe, anadai kuwa Septemba 23, 2021, aliingia mkataba na wadaiwa kutumbuiza siku ya mashindano hayo kwa gharama ya Sh. milioni 15.
NIPASHE
Correction kidogo, walimtaka zaidi ya billion 6, Waka pata 2.1 hivi.Kwan ulivyosoma mkuu, hiyo 550m ni hasara au ni madai ya fidia? Maana msije mkawa mnakurupuka tu.
Ay na Fa walitaka fidia ya 1b toka Tigo, kwan walitumia factors gan kudai hiyo figure maana uwekezajo wao katika ile audio haifiki hata hiyo 15m!.
Nafikir haya ni masuala ya mikataba na terms dictated as pelnaties incase one undermines the agreement.
Ni kama wewe tu, unaweza mpa mpangaji wako mkataba wa kodi ya 150k na ukaambatanisha kifungu cha kulipwa 200M endapo mteja akiunguza taa, so akikubaliana na mashart why iomekane kitu cha ajabu??
Sasa imagine that!..Correction kidogo, walimtaka zaidi ya billion 6, Waka pata 2.1 hivi.
Sema wanetu washa tusua,Sasa imagine that!..
Jaji Tiganga😄😄View attachment 2931230
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Mwanga, maarufu Marioo, anayedaiwa zaidi ya Sh. milioni 500 kwa kuvunja mkataba, anatarajiwa kujitetea Mahakama Kuu Machi 18 na 19, mwaka huu.
Marioo na Meneja wake Sweetbert Mwinula wameshtakiwa katika Mahakama Kuu Masjala ya Wilaya ya Arusha mbele ya Jaji Joackim Tiganga, wakidaiwa jumla ya Sh. 550,000,000 kwa madai ya kuvunja mkataba wa kutumbuiza katika hafla ya Mr & Miss Vyuo Vikuu Kanda ya Kaskazini.
Mdai katika shauri hilo ni Kampuni ya Kismaty inayojihusisha na kuandaa matukio ya burudani mbalimbali nchini.
Mdai anayewakilishwa na Wakili John Lairumbe, anadai kuwa Septemba 23, 2021, aliingia mkataba na wadaiwa kutumbuiza siku ya mashindano hayo kwa gharama ya Sh. milioni 15.
NIPASHE
[emoji16][emoji16]Tamasha lilifanyika au halikufanyika???? Kama lilifanyika watu waliingia au hawakuingia??
Je Tamasha la mamiss au la Marioooooo?
Kesi nyepesi hiyoooo
Pesa za ZimbabweMarioo kwa sasa anachukua mpaka 50m per show.