Marioo afunguliwa kesi ya Madai ya Tsh. Milioni 550 kwa kukiuka Mkataba wa Tamasha

Marioo afunguliwa kesi ya Madai ya Tsh. Milioni 550 kwa kukiuka Mkataba wa Tamasha

Kutoka Omary Mwanga hadi Marioo.duuh

Anyway, wana-overestimate ili waki-settle hiyo gharama ishuke..
 
Hii ni kesi au mavi. Kwamba wao walitegemea wampe milioni 15 ili wao wavune faida ya milioni 550? Kwa show ipi ya mavi kama.hio ya kuwaimbia hao mamiss uchwara
Kwan ulivyosoma mkuu, hiyo 550m ni hasara au ni madai ya fidia? Maana msije mkawa mnakurupuka tu.

Ay na Fa walitaka fidia ya 1b toka Tigo, kwan walitumia factors gan kudai hiyo figure maana uwekezajo wao katika ile audio haifiki hata hiyo 15m!.

Nafikir haya ni masuala ya mikataba na terms dictated as pelnaties incase one undermines the agreement.

Ni kama wewe tu, unaweza mpa mpangaji wako mkataba wa kodi ya 150k na ukaambatanisha kifungu cha kulipwa 200M endapo mteja akiunguza taa, so akikubaliana na mashart why iomekane kitu cha ajabu??
 
Tamasha lilifanyika au halikufanyika???? Kama lilifanyika watu waliingia au hawakuingia??
Je Tamasha la mamiss au la Marioooooo?
Kesi nyepesi hiyoooo
Ubi jus ibi remedium....."where there is a right, there is a remedy."
 
View attachment 2931230
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Mwanga, maarufu Marioo, anayedaiwa zaidi ya Sh. milioni 500 kwa kuvunja mkataba, anatarajiwa kujitetea Mahakama Kuu Machi 18 na 19, mwaka huu.

Marioo na Meneja wake Sweetbert Mwinula wameshtakiwa katika Mahakama Kuu Masjala ya Wilaya ya Arusha mbele ya Jaji Joackim Tiganga, wakidaiwa jumla ya Sh. 550,000,000 kwa madai ya kuvunja mkataba wa kutumbuiza katika hafla ya Mr & Miss Vyuo Vikuu Kanda ya Kaskazini.

Mdai katika shauri hilo ni Kampuni ya Kismaty inayojihusisha na kuandaa matukio ya burudani mbalimbali nchini.

Mdai anayewakilishwa na Wakili John Lairumbe, anadai kuwa Septemba 23, 2021, aliingia mkataba na wadaiwa kutumbuiza siku ya mashindano hayo kwa gharama ya Sh. milioni 15.

NIPASHE
At least Alie anzisha Uzi at least angeweka na prayers zilipo kwenye plaint/hati ya madai watu wajue hio 550 inefikaje ila kuna item kama
1. Hio contractual amount 15m
2. Specific damages
3. General damages
4. Punitive damages
5. Interest on contractual amount and
5. Any other reliefs pleaded
 
Kwan ulivyosoma mkuu, hiyo 550m ni hasara au ni madai ya fidia? Maana msije mkawa mnakurupuka tu.

Ay na Fa walitaka fidia ya 1b toka Tigo, kwan walitumia factors gan kudai hiyo figure maana uwekezajo wao katika ile audio haifiki hata hiyo 15m!.

Nafikir haya ni masuala ya mikataba na terms dictated as pelnaties incase one undermines the agreement.

Ni kama wewe tu, unaweza mpa mpangaji wako mkataba wa kodi ya 150k na ukaambatanisha kifungu cha kulipwa 200M endapo mteja akiunguza taa, so akikubaliana na mashart why iomekane kitu cha ajabu??
Correction kidogo, walimtaka zaidi ya billion 6, Waka pata 2.1 hivi.
 
View attachment 2931230
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Mwanga, maarufu Marioo, anayedaiwa zaidi ya Sh. milioni 500 kwa kuvunja mkataba, anatarajiwa kujitetea Mahakama Kuu Machi 18 na 19, mwaka huu.

Marioo na Meneja wake Sweetbert Mwinula wameshtakiwa katika Mahakama Kuu Masjala ya Wilaya ya Arusha mbele ya Jaji Joackim Tiganga, wakidaiwa jumla ya Sh. 550,000,000 kwa madai ya kuvunja mkataba wa kutumbuiza katika hafla ya Mr & Miss Vyuo Vikuu Kanda ya Kaskazini.

Mdai katika shauri hilo ni Kampuni ya Kismaty inayojihusisha na kuandaa matukio ya burudani mbalimbali nchini.

Mdai anayewakilishwa na Wakili John Lairumbe, anadai kuwa Septemba 23, 2021, aliingia mkataba na wadaiwa kutumbuiza siku ya mashindano hayo kwa gharama ya Sh. milioni 15.

NIPASHE
Jaji Tiganga😄😄
 
Back
Top Bottom