Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
pesa ikiwafanya wawe karibu nawe ina maana stress za mapenzi utakuwa huna kama vile ukiwa huna salioooPesa itawafanya wanawake wawe karibu yako tu sio kukupenda, huku mtaani wapaka kucha rangi wanakula totoz kali bureeeeeee
kisa salioooo itakusumbua kwasababu utakuwa huwezi kumtunza. Mwanamke anataka laki akasuke wewe unajibu huna saliooo...lazima ugongeweUkiishi vizuri na wenye vibuyu vyao unatikisa kishkaji tu.
Ondoa aibu tu.
tunatafuta salio ili tuje kutumia na hawa viumbe wa mbavu za kushotoAlafu kingine cha kukumbusha kama kijana mpambanaji focus na goals zako kama kijana ambaye umezaliwa katika familia ya kimaskini sio vizuri kutafuta pesa et uvimbe kwa mwanamke...
Tafuta pesa ili utoke kwenye chain ya umaskini.
Tafuta pesa ili kesho yako iwe better zaidi ya your parents.
Vijana tutafuteni pesa ila sio kwa influence ya mapenzi wakuu
Maisha bila ya mapenzi yanaboaAlafu kingine cha kukumbusha kama kijana mpambanaji focus na goals zako kama kijana ambaye umezaliwa katika familia ya kimaskini sio vizuri kutafuta pesa et uvimbe kwa mwanamke...
Tafuta pesa ili utoke kwenye chain ya umaskini.
Tafuta pesa ili kesho yako iwe better zaidi ya your parents.
Vijana tutafuteni pesa ila sio kwa influence ya mapenzi wakuu
kwasababu umebeba real story...Naupenda sana
"Mjanja anamega kisela, wajinga wanachunwa hela..."kisa salioooo itakusumbua kwasababu utakuwa huwezi kumtunza. Mwanamke anataka laki akasuke wewe unajibu huna saliooo...lazima ugongewe
nilijua tu kichwa maji uliyepata F ya kiswahili NECTA form 4 utakuja kukosoa, ndio maana niliweka disclaimer kabisaNyimbo ya salio ❎ wimbo wa salio ✅. Kijana acha upumbavu
Bila Salio haifai kabisa,labda uwe na kitu kingine kinachokubeba.😅kwasababu umebeba real story...
mwanaume unajipinda kupeleka moto ila salio linamfanya akucheat
ukiombwa salio unatoka nduki .acheni baba zenu wadogo tuzichakate hizi mbususu kwasababu tuna masalio"Mjanja anamega kisela, wajinga wanachunwa hela..."
Navy kenzo - Nisogelee(2021)
hata uwe unapeleka moto kama punda ila kama huna salio atakucheat tu kwa mwenye salioooooBila Salio haifai kabisa,labda uwe na kitu kingine kinachokubeba.😅
Kabisa.hata uwe unapeleka moto kama punda ila kama huna salio atakucheat tu kwa mwenye saliooooo