Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hebu tuondolee kasheshe hapaSis
Sisikilizi makelele nayapenda maskio yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuondolee kasheshe hapaSis
Sisikilizi makelele nayapenda maskio yangu
Tafuta hela acha ufala.Wote tunamjua marioo kama msanii anaejitafuta ila bado ajajipata.
Wote tunajua anakopi sana swaga za Mbosso Khan.
Wote tunajua kusoma na kuandika bado ni mtihani kwake.
Lakini huyu dogo baada ya kupigwa kidogo nyimbo zake mtaani amekuwa na dharau anavimba sana haswa kwa wasanii aliowakuta.
Nidhamu kwake imekuwa ni mtihani.
Anapewa pesa ya ghost writing yeye anaenda media kutangaza nandy nimemuandikia mimi barnaba nimemuandikia mimi...huu ni utovu wa nidhamu na kukiuka makubaliano si ustaarabu.
Lakini yote kwa yote amevuka mipaka sasa anamvimbia Simba.
Marioo wa kumwambia Simba anatafuta kick kupitia wewe wakati ulikuwa unapanga foleni ya kumuona pale mbezi ili asimamie project zako?! Mbona kina Barnaba king mopao wanakubali Simba aanawapush wewe umeenda kuomba alafu unasema Simba anatafuta kick kwako si ndio basi sawa.malipo ni hapa hapa duniani
Muziki unahitaji discipline..muulize talented aslay kuvimba kulimfikisha wapi na waliokuwa wanamshika masikio walipotelea wapi sasa hivi ata pakuishi amekuwa anabebwa.
Chunga sana kijana
View attachment 2594537
Marioo anajitafuta ajajipata muziki wake mwisho mbezi makabeKaka umeandika pumba sana, anakopi swaga za mbosso[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Marioo anajitafuta? Wejamaa dar utakuwa xmass 2
Huyu mwamba ana balaa.The kid you know. Anajitahidi 😋
Wewe mwisho wapi mkuu?Marioo anajitafuta ajajipata muziki wake mwisho mbezi makabe
Uwa mnawajaza ujinga namna hii baadae mnawasahau wanateseka peke yao.Wewe mwisho wapi mkuu?
Mario sio level za mbosso, za kulelewa usafini.
Mbona huku mkoani tunamjua?Marioo anajitafuta ajajipata muziki wake mwisho mbezi makabe
Kwani aliempa kipaji ni mond?Uwa mnawajaza ujinga namna hii baadae mnawasahau wanateseka peke yao.
Ndyooooooh!!!Baaaadiii
Mario anajua na anajua anachokifanya.
Kwa wasanii wa bongo fleva namkubali sana huyu mario.
Abbaaah!!!
Yaan kaporwa range ndo anaanza kuwehukwaaa sahivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lokole una chuki za kipumbavu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeandika kama vile umepoteza ubingwa kwa vipande vya fedha...
Niliwai kuuliza ili swali. Majibu leo wote tunayoKwani aliempa kipaji ni mond?
Mario na bad nation haitokaa idrop mkuu acha chuki na utimu wa kishamba.
Mpe mtu sifa yake hupungukiwi na kitu ukifanya hivyo.
Acha kumhusisha marioo na vitu vya kipuuzi. Kinachomfanya mario awe hapo alipo ni kipaji na nidhamu ya kazi yake.Niliwai kuuliza ili swali. Majibu leo wote tunayo
Hanstone atatoboa nje ya WCB?
Kwanza lazima tukubaliane huyu dogo ana kipaji kikubwa sana. Ndio maana wengi walikuwa wanasubiri ujio wake akiwa chini ya WCB. Na ilitegemewa ujio wake ungekuwa na kishindo. Lakini bahati mbaya amezinguana na uongozi wa Wasafi na baada ya hapo akaachia ep yake ya Amazing. EP yake japo...www.jamiiforums.com
Marioo ameshatoboa na katoboaa tenaaa.Niliwai kuuliza ili swali. Majibu leo wote tunayo
Hanstone atatoboa nje ya WCB?
Kwanza lazima tukubaliane huyu dogo ana kipaji kikubwa sana. Ndio maana wengi walikuwa wanasubiri ujio wake akiwa chini ya WCB. Na ilitegemewa ujio wake ungekuwa na kishindo. Lakini bahati mbaya amezinguana na uongozi wa Wasafi na baada ya hapo akaachia ep yake ya Amazing. EP yake japo...www.jamiiforums.com
Noma na Nusu hii, Simba ni Nyau aliechangamkaAcha kupangia watu namna ya kuishi we fa.la huyo simba ni nani kwenye hii nchi hadi kila msanii amsujudie?
Yeye anaemtuma Abba kwa babutale akamuombee msamaaa kwa Simba alafu anarudi media anavimba ndio anahara mtoto mdogo sana yule anahitaji kushikwa mkono afike mjini anapoenda sasa ni pagumu mno weken akiba ya maneno msimalize yoteMarioo ameshatoboa na katoboaa tenaaa.
Tutolee ashuo zako hapa, chezeaa baadiiiii weyeee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi mnaanza kuharaaaaa poleeeeee.
Nidhamu hana...kipaji anajitahidi ila kuna watu wana talent haswa kina aslay walijazwa ujinga namna hiiAcha kumhusisha marioo na vitu vya kipuuzi. Kinachomfanya mario awe hapo alipo ni kipaji na nidhamu ya kazi yake.