Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaporwa na aliyemhonga niniYaan kaporwa range ndo anaanza kuwehukwaaa sahivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sahv nakula reggae ......saf kiongoz
Sinza pazuri hapo anavua shati na boxerUMENENA "Eti vua shati uoneshe boksa" DUh!
Wewe ndiye ulikuwa demu wake?Wote tunamjua marioo kama msanii anaejitafuta ila bado ajajipata.
Wote tunajua anakopi sana swaga za Mbosso Khan.
Wote tunajua kusoma na kuandika bado ni mtihani kwake.
Lakini huyu dogo baada ya kupigwa kidogo nyimbo zake mtaani amekuwa na dharau anavimba sana haswa kwa wasanii aliowakuta.
Nidhamu kwake imekuwa ni mtihani.
Anapewa pesa ya ghost writing yeye anaenda media kutangaza nandy nimemuandikia mimi barnaba nimemuandikia mimi...huu ni utovu wa nidhamu na kukiuka makubaliano si ustaarabu.
Lakini yote kwa yote amevuka mipaka sasa anamvimbia Simba.
Marioo wa kumwambia Simba anatafuta kick kupitia wewe wakati ulikuwa unapanga foleni ya kumuona pale mbezi ili asimamie project zako?! Mbona kina Barnaba king mopao wanakubali Simba aanawapush wewe umeenda kuomba alafu unasema Simba anatafuta kick kwako si ndio basi sawa.malipo ni hapa hapa duniani
Muziki unahitaji discipline..muulize talented aslay kuvimba kulimfikisha wapi na waliokuwa wanamshika masikio walipotelea wapi sasa hivi ata pakuishi amekuwa anabebwa.
Chunga sana kijana
View attachment 2594537
Hahaha daudi bana haha [emoji1]Msanii yoyote akienda kuhojiwa pale Wasafi tv/radio lazima aulizwe ‘unamzungumziaje Diamond’ [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nae jaman mweeehKaporwa na aliyemhonga nini
Ova
Jamaa ana mambo ya ki David..marioo na mboso wap n wap
sema una chuki na dogo
unasema kusoma na kuandika kwake mtihani, alafu unasema kawaandikia watu anajisifu (sasa aliwaandikiaje na kusoma na kuandika kwake mtihani)
wewe ndo mwenye akili ndogo mnooooo, una chuki za kipumbavu mnoooo
Kwani Nani alimpa jamani mji una Mambo huu?Yaan kaporwa range ndo anaanza kuwehukwaaa sahivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pedeshee tyuuh mwayaaaKwani Nani alimpa jamani mji una Mambo huu?
Huyu lokole enzi hizo anakata mauno tm academia,eti leo kawa msema ovyoPedeshee tyuuh mwayaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waende wapiii??Huyu lokole enzi hizo anakata mauno tm academia,eti leo kawa msema ovyo
Hivi wazee wake bado wako sinza
Ova
Kwani ni uongo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]Hivi wewe ndio uliyesema Dizasta Vina ni km Mrisho mpoto? Nilijikuta nakufananisha na sehem za Siri za mwanamke.. Samahani lakn km si wew!!