Marioo, utovu wa nidhamu ndio anguko lako

Marioo, utovu wa nidhamu ndio anguko lako

Kwani simba leo kawa Mungu? kuna ulazima gan wa wasanij wote kumuabudu?
Simba ndio baba wa bongofleva uelewi nini? Yeye marioo alikuwa anafata nini kwa Simba si angeenda kwa ali kiba au mzee small wa mtwara
 
Humu amna wafatiliaji mziki wapo wasikilizaji mostly, saw a clip Abbah ana regrets maneno ya marioo, that he shouldn't have said that. Marioo kafika peak of bongo flava, yani at this point ni kwenda international. But how??! With what support?? ( alikiba, harmonize, aslay, Mr Nice, juma nature and many others have failed). And worse ni kwamba as an artist you shouldn't create tension with media power houses kama u don't have enough fans to support you with funds, diamond kama amemind marioo sana. I believe he even cancelled all projects with him as well as supporting him completly from his label artists . We will see how it ends.??! Ila marioo carrier is at cross road.
Na hapo WCB kuna international artist gani ukiacha Diamond ambaye naye hajawahii kujaza arena yoyote ile kama solo artist nje ya Africa???...

Au hujaona Zuchu ambaye ndio msanii mkubwa wa pili kwa Numbers WCB alivyofeli kujaza ukumbi USA

Au ndugu zetu kwenda global mnadhani ni nini , kujilikana EAST AND CENTRAL AFRICA ambapo marioo kashafika

Mkuu marioo hakutokea WCB wala si kwa influence ya Diamond, amefika kwenye hiyo peak on his own.. Put some respect on his name

Sijaona mantiki ya kumtisha marioo as if Diamond ana position kama aliyokuwa nayo ruge kwenye industry
 
Na hapo WCB kuna international artist gani ukiacha Diamond ambaye naye hajawahii kujaza arena yoyote ile kama solo artist nje ya Africa???...

Au hujaona Zuchu ambaye ndio msanii mkubwa wa pili kwa Numbers WCB alivyofeli kujaza ukumbi USA

Au ndugu zetu kwenda global mnadhani ni nini , kujilikana EAST AND CENTRAL AFRICA ambapo marioo kashafika

Mkuu marioo hakutokea WCB wala si kwa influence ya Diamond, amefika kwenye hiyo peak on his own.. Put some respect on his name

Sijaona mantiki ya kumtisha marioo as if Diamond ana position kama aliyokuwa nayo ruge kwenye industry


 
Back
Top Bottom