Marioo, utovu wa nidhamu ndio anguko lako

Marioo, utovu wa nidhamu ndio anguko lako

Niliwai kuuliza ili swali. Majibu leo wote tunayo

Kwani Marioo yupo WCB?
Uchawa halafu ukiwa huna akili tatizo kubwa
 
Marioo kapiga kwenye mshonoo, na kasema wazi hajawahi kuomba kusainiwa WCB, huyo Domokayaa alipitiwa labda au alisahau ni nani alimuomba kusainiwa, na sio yeye Marioo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee chawa mkuu wa Domokayaa mmekanwaa kweupeeee.
Alitaka Marioo ampapatikie huyo boss wao aliyeshindwa muziki, Marioo brand kubwa
 
Yeye anaemtuma Abba kwa babutale akamuombee msamaaa kwa Simba alafu anarudi media anavimba ndio anahara mtoto mdogo sana yule anahitaji kushikwa mkono afike mjini anapoenda sasa ni pagumu mno weken akiba ya maneno msimalize yote
Hiloooooooo kubwa zima akili kisoda [emoji1787][emoji1787]
Huyo Boss wako angemshika Mkono Mbosso, Lava Lava na Darleen mbona wanaelea tu, Duniani hawapo mbinguni wanatafutwa
 
Humu amna wafatiliaji mziki wapo wasikilizaji mostly, saw a clip Abbah ana regrets maneno ya marioo, that he shouldn't have said that. Marioo kafika peak of bongo flava, yani at this point ni kwenda international. But how??! With what support?? ( alikiba, harmonize, aslay, Mr Nice, juma nature and many others have failed). And worse ni kwamba as an artist you shouldn't create tension with media power houses kama u don't have enough fans to support you with funds, diamond kama amemind marioo sana. I believe he even cancelled all projects with him as well as supporting him completly from his label artists . We will see how it ends.??! Ila marioo carrier is at cross road.
Marioo angekua mpuuzi wa mwisho kama angekubali kusainiwa WCB, huko international huyo Mondi yeye kafika wapi? Mbona tunawaona Wa Nigeria tu wanapishana kwenye viwanja vya Marekani na Uingereza, acheni ujinga nyie wa kumvisha huyo boss wenu uchwara kilemba cha ukoka
 
Marioo ndyo mwanamuziki nambari UNO kwa Sasa nchini Tanzania kubali kataa

Nakubali diamond n msanii Bora ila kwa Sasa kubalini huyo dogo kwa Sasa Ni noma Tena Sana


Mboso hawez mfikia huyo kijana mboso anaimba taarab m hanganyiko na nachinachi Kutoka bara Hindi
 
Marioo kapiga kwenye mshonoo, na kasema wazi hajawahi kuomba kusainiwa WCB, huyo Domokayaa alipitiwa labda au alisahau ni nani alimuomba kusainiwa, na sio yeye Marioo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee chawa mkuu wa Domokayaa mmekanwaa kweupeeee.
Issue ni kwamba....Marioo anawaumiza Vichwa sana pale Usafini..
 
Back
Top Bottom