Marioo, utovu wa nidhamu ndio anguko lako

Tafuta hela acha ufala.
 
Kwani aliempa kipaji ni mond?
Mario na bad nation haitokaa idrop mkuu acha chuki na utimu wa kishamba.

Mpe mtu sifa yake hupungukiwi na kitu ukifanya hivyo.
Niliwai kuuliza ili swali. Majibu leo wote tunayo

 
Marioo kapiga kwenye mshonoo, na kasema wazi hajawahi kuomba kusainiwa WCB, huyo Domokayaa alipitiwa labda au alisahau ni nani alimuomba kusainiwa, na sio yeye Marioo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee chawa mkuu wa Domokayaa mmekanwaa kweupeeee.
 
Acha kumhusisha marioo na vitu vya kipuuzi. Kinachomfanya mario awe hapo alipo ni kipaji na nidhamu ya kazi yake.
 
Marioo ameshatoboa na katoboaa tenaaa.
Tutolee ashuo zako hapa, chezeaa baadiiiii weyeee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi mnaanza kuharaaaaa poleeeeee.
 
Marioo ameshatoboa na katoboaa tenaaa.
Tutolee ashuo zako hapa, chezeaa baadiiiii weyeee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi mnaanza kuharaaaaa poleeeeee.
Yeye anaemtuma Abba kwa babutale akamuombee msamaaa kwa Simba alafu anarudi media anavimba ndio anahara mtoto mdogo sana yule anahitaji kushikwa mkono afike mjini anapoenda sasa ni pagumu mno weken akiba ya maneno msimalize yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…