Marioo, utovu wa nidhamu ndio anguko lako

Pale wasafi hakuna hata msanii mmoja anayemuweza mario kuanzia kuimba mpaka kuandika sema tu wale jamaa wapo vizuri upande wa pili.
 
Wewe ndiye ulikuwa demu wake?

Mpigie simu umwambie ama hapokei simu zako?
 
Jamaa ana mambo ya ki David..
 
Wewe Marioo anaimba kaswida tangu lini?maana Mbosso anaomba kaswida na dufu.....Marioo habari nyingine wewe............
 
Marioo anawapa pressure hapo USAFINI eeh
Huyu dogo hamtaweza kumshusha zama hizi ya social network
 
Huyu lokole enzi hizo anakata mauno tm academia,eti leo kawa msema ovyo
Hivi wazee wake bado wako sinza

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waende wapiii??
 
Hivi wewe ndio uliyesema Dizasta Vina ni km Mrisho mpoto? Nilijikuta nakufananisha na sehem za Siri za mwanamke.. Samahani lakn km si wew!!
 
Hivi wewe ndio uliyesema Dizasta Vina ni km Mrisho mpoto? Nilijikuta nakufananisha na sehem za Siri za mwanamke.. Samahani lakn km si wew!!
Kwani ni uongo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…