Kitambo sana hiyo.Kuna ile mzee anachomwa moto mbele ya mtoto wake kumbe kajifukia chini. Adui anapigwa risasi ya jicho heka heka mwanzo mwisho[emoji1787][emoji1787]. Kwanza kuna muda starring ni kama alishonwa usoni bila ganzi yaani movie full visanga tu.
Huyu hata Kwenye muvi ya No retreat no surrender
Yupo kama sikosei....
BLOODMOONJamaa alikua yupo vzr sanaa....
Unakumbuka Ile movie ya yule jamaa alikua na vidole viwili vya chumaa...
Akawatafuta
Mabigwa wotee wa ndondi akawaua...
Thanks mkuuTHE BLOOD MIDNIGHT
Kubwa la maaduiYeah, yupo nor retreat no surrender ya Blood brothers, kama Kubwa La Maadui
Kitambo sanaaKitambo sana hiyo.View attachment 2584425
Nimecheka kama mtoto.....View attachment 2584439
Kubwa la Maadui MATHIAS.....anakwambia "Forgiveness is between you and God, and my Job is to arrange the meeting"[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Brittany Murphy (R.I.P)Kwenye hii movie nilikuwa namfeel sana yule demu mzungu
Kumbe ame R.i..pBrittany Murphy (R.I.P)
Yaah yule demu Alifariki 2009 , akafuatia mume wake anaitwa Simon Monjack MWAKA 2010. Walikuwa wanabwia Unga kinomaa.Kumbe ame R.i..p
Madawa sio poaYaah yule demu Alifariki 2009 , akafuatia mume wake anaitwa Simon Monjack MWAKA 2010. Walikuwa wanabwia Unga kinomaa.
Ama kweli nguvu kitu cha kuishaView attachment 2583319
Hii ni Moja ya muvi Bora za wakati wote...
Mark Dacascos alitembeza mkono kwenye hii muvi mwanzo mwisho....
Huyo Rasta fundi gereji muoga muoga....
Ni Moja ya ubunifu Bora kabisa kuwai kutokea kwenye tasnia ya muvi za ki mapigano...
Hii muvi inakukumbusha nini?
Haahaa, ππ€£[emoji28][emoji28]ninja wa mchongo View attachment 2584506
kuna muvi moja ya kivita yupo komando kipenzi na masokolindo komando kipensi anatumwa kwenda kuomba msaada redio hazifanyi kazi vita na wavetnam mpaka anafika kambini jamaa washakufa karibia wote kuna cha uoga anajificha kichakani ana pona masokolindo alifanya kazi kubwa ila anavuta vitano mwenye kuijua jina lake tafadhari