Hahahahah ingekuwa jau jau eeh 🤣🤣🤣Hi mbona Kama inakuja kwenye memory fanya uweke cover l
Extrovert kinachokusumbua ila instargia effect kukumbuka moments za zamani ila ulweli movie za miaka hio hamna kitu kabisa zilikuwa kwa wakati wake sahihi tu kwa akili, maendele za wakati huo zilotufanya tuone nzuri ila ukweli hizo movie zingetoka sasahivi 😂😂😂
Yale maneno ya mwishoni kwenye jina la movie yalifanya niwe na mzuka sana hii movie 'The Hard Way the Only Way"Huyo mniga anaitwa Chuck Bishop na movie inaitwa The hard way...kitambo sana!
NsyukaMsyuka
Sisi tuliipenda kwa ajili ya tafsiri za lufufu...yaani ule ufundi wa LufufuHii movie wabongo tuliipenda Sana,lkn Cha ajabu huko ma mbele ilifanya vibaya sokoni mbaya kabisa.
Hapo hautafuti movie...unatafuta memories palSijui nazeeka siku hizi imefika mahali,natafuta movie za kizamani kama hizi tu.
Daaah aisee naipata iyo sema jina hata mimi nmelisahau kuna scene moja kuna majamaa walikuwa wezi wanafukua makaburi afu wanaibia maiti vitu vyao kama saa na kadhalika sasa kuna mmoja walimkata kiganja wakaingia nacho kwenye gari aisee kiliwasumbua kile kiganja mpk basi walikitupa nje kilivyoanguka nje kile kiganja kiwakawapa middle finger [emoji23][emoji23]Sijui nani ataijua hii movie
Ni horror movie zamani tuliita movie ya kijini, nakumbuka sehemu chache Kama kuna watu wanatupa pipa(kanista) sehemu hivi pembezoni mwa mji watoto watundu kuchezacheza usiku wanaenda kwenye pipa kumbe kwenye pipa Kuna kiumbe/zombie kwa utundu wao wanalicungulia wanakimbi
Sehemu nyengine mtoto anakimbia makaburini zombie/jini linafufuka
Kuna sehemu jini/zombie anakatwa kichwa jamaa anaweka kwenye begi
Nakumbuka sehemu hizo chakushangaza hii movie kila mdau ukimuuliza anakumbuka sehemusehemu tu Kama hizo ila movie haikumbuki jina....moja ya movie ilikuwa maarufu ya kijini wakati huo.
Anayeikumbuka
Hivi movie ni mfululizo wa zombies zinaitwa the living deadDaaah aisee naipata iyo sema jina hata mimi nmelisahau kuna scene moja kuna majamaa walikuwa wezi wanafukua makaburi afu wanaibia maiti vitu vyao kama saa na kadhalika sasa kuna mmoja walimkata kiganja wakaingia nacho kwenye gari aisee kiliwasumbua kile kiganja mpk basi walikitupa nje kilivyoanguka nje kile kiganja kiwakawapa middle finger [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu na katika hilo pipa walipofungua ulitoka moshi kama kemikali ukampata yule mwenzao mkubwa akaanza kukohoa mwisho nae alibadirika akawa zombie au sioSijui nani ataijua hii movie
Ni horror movie zamani tuliita movie ya kijini, nakumbuka sehemu chache Kama kuna watu wanatupa pipa(kanista) sehemu hivi pembezoni mwa mji watoto watundu kuchezacheza usiku wanaenda kwenye pipa kumbe kwenye pipa Kuna kiumbe/zombie kwa utundu wao wanalicungulia wanakimbi
Sehemu nyengine mtoto anakimbia makaburini zombie/jini linafufuka
Kuna sehemu jini/zombie anakatwa kichwa jamaa anaweka kwenye begi
Nakumbuka sehemu hizo chakushangaza hii movie kila mdau ukimuuliza anakumbuka sehemusehemu tu Kama hizo ila movie haikumbuki jina....moja ya movie ilikuwa maarufu ya kijini wakati huo.
Anayeikumbuka
Yes ule moshi nafikiri huenda ndio ulienda juu ukapeleka athari mpaka makaburini wafu wakaamka sijui hivyoMkuu na katika hilo pipa walipofungua ulitoka moshi kama kemikali ukampata yule mwenzao mkubwa akaanza kukohoa mwisho nae alibadirika akawa zombie au sio
Sidhani kama ni living dead, movie za living dead nyingi zilianza miaka ya 2010, yes inahusu living dead ila sidhani Kama jina lake Ni hiloHivi movie ni mfululizo wa zombies zinaitwa the living dead
Ndio hivyo hivyo mkuuYes ule moshi nafikiri huenda ndio ulienda juu ukapeleka athari mpaka makaburini wafu wakaamka sijui hivyo
Hii nikiipata niangalie maana ile imagination ya utoto zombie Kama pale linatokea kwenye kioo Cha pipa jeupe na mimoshimoshi ilikuwa na picha fulani kwenye utoto unaogopa nikiangalia Leo nitaona du mbona vidubwashaNdio hivyo hivyo mkuu
Hapo kwenye neno vidubwasha nimecheka....Hii nikiipata niangalie maana ile imagination ya utoto zombie Kama pale linatokea kwenye kioo Cha pipa jeupe na mimoshimoshi ilikuwa na picha fulani kwenye utoto unaogopa nikiangalia Leo nitaona du mbona vidubwasha
Robocop?Kuna ile nyingine ilkua ina oneshwa ITV kama sikosei zamani ..vi roboti vidogo vidogo ..dogo Ali viokoto kama toy kumbe ni vizima vikawa vita uwa watu
Huu utaratibu ni mpaka sasa au wameshaachaRobocop?
Sikumbuki ila ITV Kila Christmas na mwaka mpya wanaweka muvi usiku...
DuuuWakali kuna movie moja ya watoto wa mitaani wapo ktk kituo kinasimamiwa na masista. Wanajaribu kutoroka mara nyingi kwa sababu ya mateso wanashindwa. Mwishoni kabisaa wanafanikiwa.
Hii movie ilioneshwaga Channel 5 kipindi inaanza Anza kama sikosei. Jina lake sijui inaitwaje ile?
Halafu walikuwa weekend mchana hasa jpili wanaweka ''Point Man au Renegade''Huu utaratibu ni mpaka sasa au wameshaacha