Mark Dacascos mkali wa muvi ya Drive

Mark Dacascos mkali wa muvi ya Drive

Hi mbona Kama inakuja kwenye memory fanya uweke cover l



Extrovert kinachokusumbua ila instargia effect kukumbuka moments za zamani ila ulweli movie za miaka hio hamna kitu kabisa zilikuwa kwa wakati wake sahihi tu kwa akili, maendele za wakati huo zilotufanya tuone nzuri ila ukweli hizo movie zingetoka sasahivi 😂😂😂
Hahahahah ingekuwa jau jau eeh 🤣🤣🤣
 
Mwamba wa Magitaa[emoji28]
1555595796.jpg
 
Sijui nani ataijua hii movie

Ni horror movie zamani tuliita movie ya kijini, nakumbuka sehemu chache Kama kuna watu wanatupa pipa(kanista) sehemu hivi pembezoni mwa mji watoto watundu kuchezacheza usiku wanaenda kwenye pipa kumbe kwenye pipa Kuna kiumbe/zombie kwa utundu wao wanalicungulia wanakimbi

Sehemu nyengine mtoto anakimbia makaburini zombie/jini linafufuka

Kuna sehemu jini/zombie anakatwa kichwa jamaa anaweka kwenye begi

Nakumbuka sehemu hizo chakushangaza hii movie kila mdau ukimuuliza anakumbuka sehemusehemu tu Kama hizo ila movie haikumbuki jina....moja ya movie ilikuwa maarufu ya kijini wakati huo.

Anayeikumbuka
Daaah aisee naipata iyo sema jina hata mimi nmelisahau kuna scene moja kuna majamaa walikuwa wezi wanafukua makaburi afu wanaibia maiti vitu vyao kama saa na kadhalika sasa kuna mmoja walimkata kiganja wakaingia nacho kwenye gari aisee kiliwasumbua kile kiganja mpk basi walikitupa nje kilivyoanguka nje kile kiganja kiwakawapa middle finger [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah aisee naipata iyo sema jina hata mimi nmelisahau kuna scene moja kuna majamaa walikuwa wezi wanafukua makaburi afu wanaibia maiti vitu vyao kama saa na kadhalika sasa kuna mmoja walimkata kiganja wakaingia nacho kwenye gari aisee kiliwasumbua kile kiganja mpk basi walikitupa nje kilivyoanguka nje kile kiganja kiwakawapa middle finger [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi movie ni mfululizo wa zombies zinaitwa the living dead
 
Sijui nani ataijua hii movie

Ni horror movie zamani tuliita movie ya kijini, nakumbuka sehemu chache Kama kuna watu wanatupa pipa(kanista) sehemu hivi pembezoni mwa mji watoto watundu kuchezacheza usiku wanaenda kwenye pipa kumbe kwenye pipa Kuna kiumbe/zombie kwa utundu wao wanalicungulia wanakimbi

Sehemu nyengine mtoto anakimbia makaburini zombie/jini linafufuka

Kuna sehemu jini/zombie anakatwa kichwa jamaa anaweka kwenye begi

Nakumbuka sehemu hizo chakushangaza hii movie kila mdau ukimuuliza anakumbuka sehemusehemu tu Kama hizo ila movie haikumbuki jina....moja ya movie ilikuwa maarufu ya kijini wakati huo.

Anayeikumbuka
Mkuu na katika hilo pipa walipofungua ulitoka moshi kama kemikali ukampata yule mwenzao mkubwa akaanza kukohoa mwisho nae alibadirika akawa zombie au sio
 
Mkuu na katika hilo pipa walipofungua ulitoka moshi kama kemikali ukampata yule mwenzao mkubwa akaanza kukohoa mwisho nae alibadirika akawa zombie au sio
Yes ule moshi nafikiri huenda ndio ulienda juu ukapeleka athari mpaka makaburini wafu wakaamka sijui hivyo
 
Ndio hivyo hivyo mkuu
Hii nikiipata niangalie maana ile imagination ya utoto zombie Kama pale linatokea kwenye kioo Cha pipa jeupe na mimoshimoshi ilikuwa na picha fulani kwenye utoto unaogopa nikiangalia Leo nitaona du mbona vidubwasha
 
Hii nikiipata niangalie maana ile imagination ya utoto zombie Kama pale linatokea kwenye kioo Cha pipa jeupe na mimoshimoshi ilikuwa na picha fulani kwenye utoto unaogopa nikiangalia Leo nitaona du mbona vidubwasha
Hapo kwenye neno vidubwasha nimecheka....
 
KUNA MUVI MOJA WALI PENDA IONYESHA ITV,

ILIKUA YA KICHAWI MPK TUNAOGOPA KUINGIA NDANI BY THEN....

MIAKA YA DHAMANI INAITWA "KIBUYU"
 
Kuna ile nyingine ilkua ina oneshwa ITV kama sikosei zamani ..vi roboti vidogo vidogo ..dogo Ali viokoto kama toy kumbe ni vizima vikawa vita uwa watu
 
Kuna ile nyingine ilkua ina oneshwa ITV kama sikosei zamani ..vi roboti vidogo vidogo ..dogo Ali viokoto kama toy kumbe ni vizima vikawa vita uwa watu
Robocop?
Sikumbuki ila ITV Kila Christmas na mwaka mpya wanaweka muvi usiku...
 
Wakali kuna movie moja ya watoto wa mitaani wapo ktk kituo kinasimamiwa na masista. Wanajaribu kutoroka mara nyingi kwa sababu ya mateso wanashindwa. Mwishoni kabisaa wanafanikiwa.
Hii movie ilioneshwaga Channel 5 kipindi inaanza Anza kama sikosei. Jina lake sijui inaitwaje ile?
Duuu
 
Back
Top Bottom