Mark Zuckerberg: Apple hawajabuni kitu chochote kwa miaka zaidi ya 20 toka Steve Jobs avumbue Iphone, wamebaki kukamua wateja

Mark Zuckerberg: Apple hawajabuni kitu chochote kwa miaka zaidi ya 20 toka Steve Jobs avumbue Iphone, wamebaki kukamua wateja

Mkuu mbona Google wenyewe wanasema RCS ina end to end encryption.

RCS chats between Google Messages users are automatically upgraded to end-to-end encryption. With end-to-end encryption, no one can read the content sent between you and the other person. End-to-end encryption works for both 1:1 chats and groups when all conversation participants use Google Messages with RCS chats turned on.

Ama unamaanisha encryption ipi?
Kwa imessanger na google messages haina encryption ndo wanalifanyia kazi mkuu
 
It was not about security, it was about monopoly. Kwanza unachobidi ufahamu walikuwa wanauwezo wa kuimplement hiyo feature kwa kupitia servers zao wenyewe. Google alipoona hawataki ndipo akatoa option ya kuunda miundombinu kwa ajili yao. Lakini sasa imebidi walazimishwe kuijumuisha. Apple security huwa ni chaka lake la kuwa monopoly.
Sasa kaiweka ndiyo maana unaona kuna suala la green na blue bubbles.
Apple umoja wa Ulaya sheria zake zinaenda kuondoa tabia yake ya kuwa monopoly. Ilikuwa inamsaidia sana kuwa na huduma exclusive kwenye bidhaa zake. Yani iPhone ni one of the best product amewahi tengeneza, kisha akaunda huduma exlusive juu ya iPhone, ila sasa sheria za umoja wa ulaya zinaondoa hiyo hali na kumfanya apple apate washidani wanaotoa huduma hizo hizo kwenye bidhaa zake mwenyewe.
Wazungu kuna muda siwaelewi, bidhaa ya kwangu ila unanilazimisha niruhusu wengine watoe huduma sawa na zangu eti kuleta ushindani. Ila sisi watumiaji hiyo ni faida kwetu.
Wazungu wa ulaya wamefirisika katika mawazo wa kiuchumi, kile kizazi cha zamani si hiki kizazi kilichopo. Kizazi cha sasa kimekuta kila kitu kipo so ni kama kimedumaa kiuchumi. Wamebaki kuwa regulators.

1. Hawana AI company, wana regulation za AI
2. Hawana Crypto company wana regulation za crypto
3. Hawana social media company, wanarugalition za social media
4. Nokia inakufa so watakuwa hawana big phones company wameshatoa charger zote zitakozouzwa kwenye nchi zao ziwe za typ C wakijificha kichama cha kunktrol electronic waste.

😂😂😂😂 Hayo ni bango ya Wamarekani wakipiga ulaya
 
Mtu pekee angeweza kuendeleza mapinduzi ya technology katika Apple ni Jony Ive.

Na Sasa nimekuwa nikijiuliza sana swali kuwa kwanini Steve Jobs hakumuacha rafiki yake Ive awe CEO na badala yake ikawa ni Tim Cook.

Nafkri kuna Hali inampata mtu kama Ive na anafreeze anajisemea moyoni, kuwa, "siwezi kutoa mchango wangu wa thamani tena, kwa kuwa sijaona nikithaminiwa".

Na kisha anaondoka Apple.
 
Mtu pekee angeweza kuendeleza mapinduzi ya technology katika Apple ni Jony Ive.

Na Sasa nimekuwa nikijiuliza sana swali kuwa kwanini Steve Jobs hakumuacha rafiki yake Ive awe CEO na badala yake ikawa ni Tim Cook.

Nafkri kuna Hali inampata mtu kama Ive na anafreeze anajisemea moyoni, kuwa, "siwezi kutoa mchango wangu wa thamani tena, kwa kuwa sijaona nikithaminiwa".

Na kisha anaondoka Apple.
Alishaondoka apple akaanzisha kampuni yake
 
Mkuu mbona Google wenyewe wanasema RCS ina end to end encryption.

RCS chats between Google Messages users are automatically upgraded to end-to-end encryption. With end-to-end encryption, no one can read the content sent between you and the other person. End-to-end encryption works for both 1:1 chats and groups when all conversation participants use Google Messages with RCS chats turned on.

Ama unamaanisha encryption ipi?
RCS ya google wameongeza hizo function, au niseme wame update, by default RCS haina end-to-end encryption.
Apple inabidi na wao waanze ku code namna yao ya ku encrypt hio RCS messages.
 
Wazungu wa ulaya wamefirisika katika mawazo wa kiuchumi, kile kizazi cha zamani si hiki kizazi kilichopo. Kizazi cha sasa kimekuta kila kitu kipo so ni kama kimedumaa kiuchumi. Wamebaki kuwa regulators.

1. Hawana AI company, wana regulation za AI
2. Hawana Crypto company wana regulation za crypto
3. Hawana social media company, wanarugalition za social media
4. Nokia inakufa so watakuwa hawana big phones company wameshatoa charger zote zitakozouzwa kwenye nchi zao ziwe za typ C wakijificha kichama cha kunktrol electronic waste.

😂😂😂😂 Hayo ni bango ya Wamarekani wakipiga ulaya
Kilichowapata ulaya andicho kitaipata Marekani kwa china.
Best talents walikuwa wanahamia marekani kwasababu ya mazingira bora ya kazi na malipo, now china inawinda best talents na inawahidi mshahara hata mara 200 ya wanaolipwa. Hiki sasa kwa marekani na ulaya imekuwa kama ni kosa wakati marekani alikuwa anafanya hivyo hivyo.
Ulaya wana matatizo mengi ya kiuchumi sasa kiasi kwamba hata haijulikani watatokaje walipo sasa
 
Mtu pekee angeweza kuendeleza mapinduzi ya technology katika Apple ni Jony Ive.

Na Sasa nimekuwa nikijiuliza sana swali kuwa kwanini Steve Jobs hakumuacha rafiki yake Ive awe CEO na badala yake ikawa ni Tim Cook.

Nafkri kuna Hali inampata mtu kama Ive na anafreeze anajisemea moyoni, kuwa, "siwezi kutoa mchango wangu wa thamani tena, kwa kuwa sijaona nikithaminiwa".

Na kisha anaondoka Apple.
Jobs aliamini sana katika anachokiamini, jamaa akikomaa idea yake ipite basi mjue itapita.
 
Umemsikiliza vizuri? Point yake haipo katika kushuka kwa sales, anazungumziq sababu za kushuka kwa sales, "UBUNIFU" anasema, over 20 years apples hawajagundua kitu kipya, hapo ndio point yake ilipo so kama unabishana nae, jikite hapo
Ubunifu kwenye smartphone upo kwenye peak, hata Samsung ukianzia S20 kuna ubunifu gani
 
Namba 2 kwa makampuni yaliyopata faida kubwa kwa mwaka 2024
Wangekuwa wabunifu sijui ingekuwaje
1000066442.jpg
 
Back
Top Bottom