Mark Zuckerberg: Apple hawajabuni kitu chochote kwa miaka zaidi ya 20 toka Steve Jobs avumbue Iphone, wamebaki kukamua wateja

Mark Zuckerberg: Apple hawajabuni kitu chochote kwa miaka zaidi ya 20 toka Steve Jobs avumbue Iphone, wamebaki kukamua wateja

2006s...
Hivi unaikumbuka The Grid kwenye 2009s/2010s
29674_t.jpg
The grid nmeitumia sana, mig33, nimbuzz, moja sijui ilikuwa quid squid hata nmeisahau
 
the grid ilikua tamu miaka hiyo! Nakumbuka niliwahi chati na binti mmoja wa kitanzania kipindi hicho alikua anasoma India! tukawa marafiki sana..Sijui yupo wapi sahizi nilishamsahau hata jina..!
Hatari sana...
Kabla kila mtu hajavamia, zilikuwa sehemu za kistaarabu sana..
Mi whatsapp inaingia, nakumbuka nilikuwa natumia blackberry, nikajiunga whatsapp nikakuta kuna contacts moja ama mbili wapo whatsapp, nikaifuta..😀
 
Bwana Mark hasisahau kwamba hata yeye hakuna alichobuni zaidi ya kuchukua idea za watu na kuzifanyia modification, hata Facebook yenyewe tu aliiba idea kutoka Kwa Winklevoss twins kitu kilichopelekea kuwa maadui mpaka leo.
 
Ni mawazo yake, kuwa bilionea haimaanishi kama ushauri wake una maana sana au ana akili nyingi, Mark alibahatika tu kutengeneza website flani nzuri kwa lugha ya html na php ndipo ikawa facebook ... lakini tayari social media kama myspace zilikuwepo...

Meta ni mtoto mdogo kwa Apple...
Yeye mwenyewe tu ni mwizi/mdhulumati wa idea za watu, kwanzia Facebook ilikuwa ni project aliyoshirikishwa na wenzake ila baadae akawazunguka na hatimae kuifanya yake... Na pia mark ni mtu asiyependa competition ndio maana social networks karibu zilizonekana ni tishio Kwa Facebook miaka hiyo alizinunua, alichemka kwenye Twitter tu.

Hata hii kauli kaisema hili Apple wafanye mabadiliko ya bidhaa zao hasa hapo kwenye ipod kutofanya kazi nje ya Apple ecosystem.
 
Yeye mwenyewe tu ni mwizi/mdhulumati wa idea za watu, kwanzia Facebook ilikuwa ni project aliyoshirikishwa na wenzake ila baadae akawazunguka na hatimae kuifanya yake... Na pia mark ni mtu asiyependa competition ndio maana social networks karibu zilizonekana ni tishio Kwa Facebook miaka hiyo alizinunua, alichemka kwenye Twitter tu.

Hata hii kauli kaisema hili Apple wafanye mabadiliko ya bidhaa zao hasa hapo kwenye ipod kutofanya kazi nje ya Apple ecosystem.
Hakuna anayependa competetion apple kanunua makampuni mengi na kisha kuyaua, same to microsoft, adobe, google.
Suala la kununua washindani ni suala la makampuni yote huko.
 
Hakuna anayependa competetion apple kanunua makampuni mengi na kisha kuyaua, same to microsoft, adobe, google.
Suala la kununua washindani ni suala la makampuni yote huko.
Wamejifunza kutoka kwa makampuni kama blockbuster ilivyomalizwa na NetFlix, au microsoft ilivyomaliza IBM, na google inavyompelekesha microsoft n.k....
 
Yeye mwenyewe tu ni mwizi/mdhulumati wa idea za watu, kwanzia Facebook ilikuwa ni project aliyoshirikishwa na wenzake ila baadae akawazunguka na hatimae kuifanya yake... Na pia mark ni mtu asiyependa competition ndio maana social networks karibu zilizonekana ni tishio Kwa Facebook miaka hiyo alizinunua, alichemka kwenye Twitter tu.

Hata hii kauli kaisema hili Apple wafanye mabadiliko ya bidhaa zao hasa hapo kwenye ipod kutofanya kazi nje ya Apple ecosystem.
Anaelewa fika level a Apple ni next..
Ye mwenyewe ukimsikiliza anavyozungumza anajidhihirisha ni fanboy wa Apple..
 
Sijajua, Lakini nilisikiaga tu Adobe akitaka kuinunua Figma...
Lakini Canva imekuwa platform kubwa sana..
Hivi hakuweza kuinunua? Figma noma sana. Sema naona adobe na microsoft walishtuka kuwa web based app zinazotehemea cloud is the future nao wanajitahidi kwenda nao sawa.
Mimi niko kwenye field ya localization naona clients wengi siku hizi hawapendi trados studio wana prefer memoq, memsource google yeye anayo yake inaitwa polyglot na haipatikani kwa public domain unless unafanya nao kazi ndipo wanakupa access yake.
 
Hivi hakuweza kuinunua? Figma noma sana. Sema naona adobe na microsoft walishtuka kuwa web based app zinazotehemea cloud is the future nao wanajitahidi kwenda nao sawa.
Mimi niko kwenye field ya localization naona clients wengi siku hizi hawapendi trados studio wana prefer memoq, memsource google yeye anayo yake inaitwa polyglot na haipatikani kwa public domain unless unafanya nao kazi ndipo wanakupa access yake.
Sikufuatilia lakini nimesoa kwenye net nimeona wali terminate hio deal hivi karibuni...

Ina maana kwenye CAT tools, hio polyglot ndio the best right?
 
Sikufuatilia lakini nimesoa kwenye net nimeona wali terminate hio deal hivi karibuni...

Ina maana kwenye CAT tools, hio polyglot ndio the best right?
Hapana mkuu haijatofautiana sana na memsource au memoq ila nadhani inakuwa rahisi kwao kumanage projects zao inhouse. Haijatofautiana sana hata na smartcat. Hata facebook wanayo ya kwao pia ni inhouse mpaka wakupe access na wana kuassign kwa kutumia account yako ya facebook.
 
RCS by default haina end-to-end encryption, end-to-end encryption unatengeneza wenyewe kama plugin niseme ama add-on flani kwenye software...
Mkuu mbona Google wenyewe wanasema RCS ina end to end encryption.

RCS chats between Google Messages users are automatically upgraded to end-to-end encryption. With end-to-end encryption, no one can read the content sent between you and the other person. End-to-end encryption works for both 1:1 chats and groups when all conversation participants use Google Messages with RCS chats turned on.

Ama unamaanisha encryption ipi?
 
Back
Top Bottom