Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kumbe walifanya kusudi?Mkurugenzi mtendaji na mmiliki wa Facebook ametangaza kurudi hewani kwa mitandao hiyo ambayo ni Facebook, WhatsApp, instagram na messenger ambayo inamilikiwa na facebook.
Mark Zuckerberg amesema mitandao hiyo imerudi hewani saa moja lililo pita na kuwaomba radhi watumiaji wake kwa kusema anajua kiasi gani wanatumia huduma hiyo na walivyo teseka baada ya kutokuwa hewani kwa mitandao hiyo.
Ila facebook imeripoti kwa watumiaji wake kuwa ilikuwa inaweka vyema huduma zake na kwa sasa zipo vizuri na zimerudi hewani.
Instagram yangu juzi nimekuta imekuwa logged out na google accounts zote!Na kuna tetesi accounts kibao wamiliki hawana access nazo. Wahuni waliohack wanataka pesa ndefu ili waziachie accounts hizo. Hawa Hackers wanataka turudi nineteen kweusi.
Mie hata passcode haikubaliHii imetokea kwa wengi sana... na baadhi yao tatizo lilitatuliwa kwa ku badili pass code!
Amedrop kawa wa sita right nowIla hajashuka nafasi ya 5 kama mtu tajiri duniani,kabaki pale pale.
Hata ukitumia option ya ku reset!??Mie hata passcode haikubali
Yeah inanizinguaHata ukitumia option ya ku reset!??
Basi inawezekana.. alibadili njia zote za mawasiliano, yaani email and namba ya simuYeah inanizingua
Do you Know Bitcoin..?Hizo pesa zitatumwa au watazipata kwa njia gani bila kuonekana?
Bora ya ww walilog out tu ikaisha, mm kuna jamaa tulikuwa tunachat nae fb kama rafk badae tukabadilishana no, e bwana we, ck moja nikatumia email notification kuwa someone else trying to login to ur google account. Nilipuuza nikajiaminisha hawezi kuingia coz nimeweka pin moja strong sanaaaππ, baada ya kwenye lisaa hivi wakat natumia sm ikawa inaenda ovyo tu, nikajua imejaa ngoja nifute baadhi ya vitu. Wakat naendelea kushangaa nikaona sm inaniletea phone is going deep fomatinππ yani kama vile movie nikaona inajiweka okay! Eee bana simu ikazungukaaa mwishowe ikazima alafu ikajiwashaπππ, ikawa kama ilivotoka dukan kuanza kuifanyia setting. Nilivyomaliza nikaingia fb tena nikaona yule msenge amenitumia picha za screen shot ambazo alipiga kwenye simu yang pich zangu, video zilizokuwepo, majina yote alafu likaniblock!! Heee kichwa kilitaka kupasuka, nikaingia google faster kubadili password nikaiwekea na ulinzi mkubwa, nikaenda playstore nikadownload app ya kugundua haraka kama cm inataka kuhakiwaππππ,. Nyieee awa mahacker ni motoππ, badae nikasema ngoja nione login history ya google akaunt yng nikakuta simu iliyo login muda akaunt inafutika ilikuwa Samsung Galaxy S10 wakati mimi natumia infinix hot 6 ππππ, kuanzia hapo nilifuta akaunt ya fb kabisa ππππInstagram yangu juzi nimekuta imekuwa logged out na google accounts zote!
Wamebadili password ya instagram, ni siku nyingi ilikuwa inanipa notifications kwamba kuna mtu amelog in toka location ingine nikawa napuuza dahπ kimeumana
Walikukomesha kweli mzee mie najionea duble duble tu account yangu ipo ila siwezi loginBora ya ww walilog out tu ikaisha, mm kuna jamaa tulikuwa tunachat nae fb kama rafk badae tukabadilishana no, e bwana we, ck moja nikatumia email notification kuwa someone else trying to login to ur google account. Nilipuuza nikajiaminisha hawezi kuingia coz nimeweka pin moja strong sanaaaππ, baada ya kwenye lisaa hivi wakat natumia sm ikawa inaenda ovyo tu, nikajua imejaa ngoja nifute baadhi ya vitu. Wakat naendelea kushangaa nikaona sm inaniletea phone is going deep fomatinππ yani kama vile movie nikaona inajiweka okay! Eee bana simu ikazungukaaa mwishowe ikazima alafu ikajiwashaπππ, ikawa kama ilivotoka dukan kuanza kuifanyia setting. Nilivyomaliza nikaingia fb tena nikaona yule msenge amenitumia picha za screen shot ambazo alipiga kwenye simu yang pich zangu, video zilizokuwepo, majina yote alafu likaniblock!! Heee kichwa kilitaka kupasuka, nikaingia google faster kubadili password nikaiwekea na ulinzi mkubwa, nikaenda playstore nikadownload app ya kugundua haraka kama cm inataka kuhakiwaππππ,. Nyieee awa mahacker ni motoππ, badae nikasema ngoja nione login history ya google akaunt yng nikakuta simu iliyo login muda akaunt inafutika ilikuwa Samsung Galaxy S10 ππππ, kuanzia hapo nilifuta akaunt ya fb kabisa ππππ
Hawa watu wasikie tu kwa jirani, imagine mm wamefuta tu simu yangu ila kuna wengine wanahitaji wawalipe hela ndo waachie akaunt zao na kama hutaki wanatishia kuanza kupost mambo yako ya siri/faragha ππππ unakuta kwenye cm yk ushapigaga au kurekodi zile picha zetuπππ kaka utaenda hadi kukopa bank ili uwalipe wasenge waleππππWalikukomesha kweli mzee mie najionea duble duble tu account yangu ipo ila siwezi login
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hawa watu wasikie tu kwa jirani, imagine mm wamefuta tu simu yangu ila kuna wengine wanahitaji wawalipe hela ndo waachie akaunt zao na kama hutaki wanatishia kuanza kupost mambo yako ya siri/faragha ππππ unakuta kwenye cm yk ushapugaga au kukekodi zile picha zetuπππ kaka utaenda hadi kukopa bank ili uwalipe wasenge waleππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo pesa zitatumwa au watazipata kwa njia gani bila kuonekana?
Hiyo isingekuwa dawa maana watu wangetumia mbadala kama vile twitter kwa mbadala wa facebook na instagram, pia wangetumia telegraph kwa mbadala wa WhatsApp na messanger.wangebaki hivi kwa 3days..
kuna watu wangepata mimba.
kuna ndoa zingepata furaha.
kuna watu wangelala mapema.
Makazini ufanisi ungeongezeka.
kuna watu wangepunguza dhambi.
kuna watu wangelala muda wa kutosha.
nk, nk, nk, nk, nk.
Ngoja tusubiri huu mziki tuone unavyo kwenda.Frances Haugen yule dada alikua mfanyakazi wa Facebook naona ndio anamkimbiza jumatatu alikua anahojiwa kuhusu usalama wa Facebook na kudai Mark anajali sana faida kuliko usalama wa watumiaji wake na amekua achukui tafiti za kitalaamu kama madhara kwa watoto wadogo kwenye kutumia Instagram na pia wanasiasa kutoa taarifa za uongo na kutumwa Facebook ngoja tuone hili saga linaishaje...