haha..unasema bn1 ndio hela yake..wachaga wangapi wana zaidi ha hizo bn..ktk kila mji na wilaya tz...? hiyo hela hata wauza spear wanaoonekana kuwa wadogo tuu wanayo, wauza viatu na nguo za kichina wananunua viwanja kila siku kwa bei hiyo achilia mbali kuvijenga.
kubwa jinga we..!
