Marlaw: Sina mpango wa kushiriki kampeni za kisiasa tena

Marlaw: Sina mpango wa kushiriki kampeni za kisiasa tena

Mbona ngwair 2005 alimpigia kikwete kampeni na hakushuka na alijiita mtoto wa jakaya??,yy tu aliporomoka kimziki basi ntng else
 
Mbona diamond alishiriki kampeni na sasa anafanya vizuri sana tena ni miongoni mwa mwana muziki mwenye mafanikio makubwa kuliko yeyote Tanzania kwa sasa!

Marlow tafuta sababu nyingine! Yaani unataka kusema Afande Selle mfalme wa hip hop ameporomoka baada ya kujiunga na CDM? The answer is Big NO!

Afande Selle weed ndio imemponza hata Prof Jay ni sababu ya competition toka kwa vijana!

Unajua kuna utofauti kati ya mafanikio na umaarufu?
 
Weka picha mkuu stori za kutunga tumezichoka kabisa acha umbea mkuu hauna posho kabisa.

WEWE KILA KITU UNABSHA HYO HAPO JUU SIO PICHA..TATIZO KUKULIA ITILIMA NAKUJA MJINI KWA MBIO ZA MWENGE..basi ushakua mjuaj
 
Music ni biashara,kama hawakulipi vizuri achana nao....kama malipo safi fanya kazi.
 
diamond ana zaidi ya 1 billion kwenye account yake.! hayo sio mafanikio?

Hahahaaa ...!!! Diamond ana zaidi bilioni 1???!!! Kazi kweli kweli, na ndiyo maana maisha ya wasanii wa bongo ni duni. Wasanii wa bongo wana safari ndefu sana ya mafanikio
 
Hahahaaa ...!!! Diamond ana zaidi bilioni 1???!!! Kazi kweli kweli, na ndiyo maana maisha ya wasanii wa bongo ni duni. Wasanii wa bongo wana safari ndefu sana ya mafanikio

kwa hiyo 1 billion kwako ni ndogo sana eeeh...we una sh. ngapi? umevurugwa wewe
 
kwa hiyo 1 billion kwako ni ndogo sana eeeh...we una sh. ngapi? umevurugwa wewe

Nimevurugwa kivp?! Kisa cha 1billion? It seems umekaa kipambe mno. Unataka ujue mimi nina sh. ngapi ili iweje?!
 
Nimevurugwa kivp?! Kisa cha 1billion? It seems umekaa kipambe mno. Unataka ujue mimi nina sh. ngapi ili iweje?!

acha wivu dada..wewe na ukoo wako wote kwa pamoja hamuwezi kufikia hata robo ya mafanikio ya diamond.
 
Sio mpango, sema umechuja huuzi tena nani atakutaka kwenye kampeni zake wakati hauna ishu tena? Mnatumika kama condom wasanii wa bongo, yani bao moja kwishney mnahitaji mapinduzi makubwa sana ili mnufaike na jasho lenu.
 
afadhali asem ukweli.....kipindi kile vijana walimind sana yeye akakomaa sana kwenda wapa tough maCCM..sasa sijui ataaminika vipi tena.
 
we mburura wa kichagga na wachaga wote hamuwezi kufikia mafanikio ya diamond
haha..unasema bn1 ndio hela yake..wachaga wangapi wana zaidi ha hizo bn..ktk kila mji na wilaya tz...? hiyo hela hata wauza spear wanaoonekana kuwa wadogo tuu wanayo, wauza viatu na nguo za kichina wananunua viwanja kila siku kwa bei hiyo achilia mbali kuvijenga.
 
haha..unasema bn1 ndio hela yake..wachaga wangapi wana zaidi ha hizo bn..ktk kila mji na wilaya tz...? hiyo hela hata wauza spear wanaoonekana kuwa wadogo tuu wanayo, wauza viatu na nguo za kichina wananunua viwanja kila siku kwa bei hiyo achilia mbali kuvijenga.

---- we....!
 
Back
Top Bottom