haha..unasema bn1 ndio hela yake..wachaga wangapi wana zaidi ha hizo bn..ktk kila mji na wilaya tz...? hiyo hela hata wauza spear wanaoonekana kuwa wadogo tuu wanayo, wauza viatu na nguo za kichina wananunua viwanja kila siku kwa bei hiyo achilia mbali kuvijenga.
Na hii clip ndio imeua kabisa...
Liwe funzo kwa wengine...
Hata wakati wa Mabutu kuna watu waliamua kutimkia Belgium kwa kuwa waliimba nyimbo za kumpinga...lakini baadae mabadiliko yalipokuja wakapewa hadi uwaziri...
Vijana inabidi mfikiri long-term benefits na si pesa ya ugali tu...
Sina maana kuwa CCM au CHADEMA ni bora...ila mwanamziki anapata heshima akiwa ni reformist...kukosoa serikali iliyopo madarakani badala ya kuipamba kwa mapambio...ili serikali ipate ujumbe ambao watu wa kawaida hawajapata fursa ya kuufikisha...
Kuna vijana wanachana mistari vibaya sana...japo mi si mpenzi wa hip hop lakini najikuta nafuatilia message...
pole yako....---- we....!
ROma mkatoliki ni noma....message za kwenyw hip hop najikuta tu nazijua binti yangu kuna siku alishangaa nilivokuwa naghani 2030 ya Roma Mkatoliki !! wanatuliza akili kwa kweli!
Una original copy ngapi za wanamuziki wa bongo flavour???!!!
Umenena
Aweke picha gani sasa ya mkewe Besta?Weka picha mkuu stori za kutunga tumezichoka kabisa acha umbea mkuu hauna posho kabisa.
Aweke picha gani sasa ya mkewe Besta?
Una shida kubwa ya uelewaYa Marlaw
Nitaanza tena kusikiliza miziki yake...