Dogo ana hatari kupiga promo lote hilo si njema sanaaaa...........Ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada ngada
Mie nampongeza sana kwa mafanikio yake, ila promo hilo ni ushamba wa kiwango cha lami.Wanaume wengi waliochangia humu wana wivu mno mfyuuu..nilijua tu nisie wanawake tunaoneana wivu kumbe hata nyie!ebu pateni hasira nanyi mtafute mkwaja bwana!acheni roho mbaya![emoji1]
Yap..!Yaani huyu atakuwa anauza unga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona mpenzi wangu ka-like picha ya mwana, safi tutafika tu.
Promo gani tena aliyoifanya! mie naona shabiki wake kaamua kumsifia tu [HASHTAG]#nohardfeelings[/HASHTAG]Mie nampongeza sana kwa mafanikio yake, ila promo hilo ni ushamba wa kiwango cha lami.
Kuna mshikaji wangu moja jana kamoona montepuez na jeep kali nyeupe yenye jina lake(promo)..analiuza..kakosa mteja kaondoka jana kuelekea Pemba(Mozambique)..alishajitoa hata kwenye ruby ana deal na magari tu south Africa na Mozambique!The truth is here lakini pia yapo ya South Africa si unaona GP!!? Gauteng Province
Ikishindikana ataambiwa apeleke vyeti vya kuzaliwa sambamba na kumpima mkojo.!Kiasi watanzania tusiende mbele kimaendeleo,bila hata watu kumjua huyu dogo tayari wameshaijua kazi anayofanya,tayari wameshampa jina la muuza unga,...kesho kutwa polisi watakwenda nyumbani kwake kumpekua kama hawajamuona na kitu watamuwekea kidhibiti,ndio maisha ya Dogo yatakuwa yamemalizia hapo,,,,juhudi zake zote za kupambana ndio zitakuwa zimemalizika na kusahaulika..!!
Kwanini Watanzania tuko hivi,kuanzia Raisi wetu mpaka mtanzania wa maisha ya chini kabisa mawazo yetu yanafanana,tuko na chuki,wivu,choyo,uhasidi..!!
kwanini hatumuombei tu huyu Dogo azidi kufanikiwa,tujiombee na sisi vile vile tufanikiwe ili tusonge mbele katika masiha yetu ya kawaida pamoja na tunaowapenda zikiwemo na familia zetu
Ray Kigosi wetu?😛😛😛kwani kila kidude chote lazma mfananishe na Diamond? why msiwafananishe na kingwendu ao harmorapa ao kiba
naona umekata tamaa kabisa ya kutafuta pesa, umeamua kujifariji...inauma sana unakimbizana kila siku na kodi ya nyumba...halafu kunz watu wanatanua tu na mijumba ya kifahari...tutafika lakiniDunia imegeuka roho ya utajiri imeshika hatamu na kuwapofua macho vijana......hawaoni mbele ingawa wanakimbia sana kuikimbiza hela.....wapo tayari hata kuhatarisha tunu ya uhai na afya kwa ujumla kwa ajili ya fedha.....lakini mwisho wa siku wanakuja kugundua kuwa fedha ni kipande cha thamani kwa ajili ya kubadilishana na huduma au bidhaa....baada ya hilo fedha haina thamani.....wanakuja kugundua kuwa kuna vitu muhimu walivitoa sadaka kwa ajili ya fedha ambavyo hawawezi kuvipata tena pamoja na mahela waliyojaza mifukoni mwao.......
NB
Nyuma ya tabasamu la mwenye fedha kuna majonzi mengi sana.....ambayo ni vile anavyotaka watu wayaone maisha yake.....
Shabiki wa magari ya jamaa au?Promo gani tena aliyoifanya! mie naona shabiki wake kaamua kumsifia tu [HASHTAG]#nohardfeelings[/HASHTAG]
😱Ikishindikana ataambiwa apeleke vyeti vya kuzaliwa sambamba na kumpima mkojo.!
Naona wema sepetu akinywa safari lager paleHongera zake kijana,nimepitia page yake kwa mbali nikaona sura za mabinti wa mjini.View attachment 738273
Mbona kama mchaga?
Mbongo Mozambique anafata madiniUkifuatilia vizuri huyu Jamaa kama wa mozombique
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Km Jina Langu