Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

Hizo ndinga ni za ukweli sana,
Sasa na ukwasi wote huo,huyu jamaa ni nani?anafanya nini?kumiliki magari sio hoja,hata Mo Dewji anayo,tofauti ni kwamba Mo ni mfanyabiashara mzawa,anayetoa ajira kibao kwa wananchi.
Sasa huyu "dollars" yeye anafanya nini kwa jamii?
Amepitia wapi kupata huo ukwasi?maana MTU kama Masanja mkandamizaji,au joti,au Diamond,tunajua walipotoka,huyu kaibukia wapi?
Hapo alipo sidhani kama ana miaka hata 35,sasa kama ujapewa ulithi! Au hujaiba,mpaka unamaliza shahada ya kwanza una miaka 27,sasa kuweza kupata ajira na umiliki hizo Mali,kwa miaka 8,ni ngumu,may be,kama alipomaliza akaajiriwa Ikulu,au UN!!
Kapata wapi mali!amefanya nini kijana mwenzetu na sisi tuige!
Siku hizi hatushoboki sana na ma "bling bling" kama hayo,tuna "admire tu" then tunaendelea na maisha yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni uchawi wa grade bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee unatufanya wote ni WAKOLOMIJE? Ruby gani impe utajiri wa namna hiyo? Hivi umeona kmpani ya huyo unayesema anafanya biashara ya RUBY? Washikaji wake wengi ni watu wabongo ambao wapo South na ukiwafatilia hao washikaji zake wa south unawaona wanasafiri sana kwenda china na hawajawai hata kuweka wazi huko china wanaenda kufanya nini lakini instagram wanweka wapo china,mapicha kibao kwenye ndege na malls za china,HUYO NI MUUZA NGADA tu.

Sema mkuu unataka kumjua hao wote unaowasema marafiki zake wanaishi S.A si kweli hana Rafiki tofauti na family yake iliyoko hapa Da’slaam
Na ni bora kuuliza ili umjue hata history yake ya maisha mpaka kufikia hapa alipo sasa...Watz inabidi tuache kuwa na selfish TUPAMBANE KUTAFUTA MAJUNGU HAYAJENGI
 
Nasikia dogo ni pusha, ila labda ni wale jamaa wa forex

Unasikia ni pusha labda jamaa wa forex 🤣🤣🤣🤣Fanya kazi Ndg upate size yako [emoji108][emoji108][emoji108]watu wana hustle haswa ninyi mkiona gari 2/3 pusha daaaa Watz tuko chini sana coz ya kutopendeana mazuri bado tuna kwanini YEYE NOT MIMI
 
Unasikia ni pusha labda jamaa wa forex 🤣🤣🤣🤣Fanya kazi Ndg upate size yako [emoji108][emoji108][emoji108]watu wana hustle haswa ninyi mkiona gari 2/3 pusha daaaa Watz tuko chini sana coz ya kutopendeana mazuri bado tuna kwanini YEYE NOT MIMI
Naona umekuja kujibu tuhuma mwenyewe ha ha
 
"Get rich or die trying" hii kauli ya kiume pekee mwanaume akienda tofauti na hii kauli lazima aliwe tako tu for " hustlers only" tuache majungu na umbea tutafute pesa vingnevyo mtafuta jasho na kung'ata godoro kama Dada zenu
 
Sema mkuu unataka kumjua hao wote unaowasema marafiki zake wanaishi S.A si kweli hana Rafiki tofauti na family yake iliyoko hapa Da’slaam
Na ni bora kuuliza ili umjue hata history yake ya maisha mpaka kufikia hapa alipo sasa...Watz inabidi tuache kuwa na selfish TUPAMBANE KUTAFUTA MAJUNGU HAYAJENGI
SIwezi kuona wivu kwa MUUZA NGADA.
 
"Get rich or die trying" hii kauli ya kiume pekee mwanaume akienda tofauti na hii kauli lazima aliwe tako tu for " hustlers only" tuache majungu na umbea tutafute pesa vingnevyo mtafuta jasho na kung'ata godoro kama Dada zenu
Hiyo status yangu tangu nianze kutumia Whatsapp.
50 Cent nilimkubali sana na hii ngoma.
 
Kumiliki hizo gari zoote jamani na kama hana a huge registered known company, ntabaki najiuliza maswali tu.

na lazima yoooote yawe yanalenga kwenye kuuza ngano!!! Au utapeli flani au amerithi kama motel!!!


Vijana wengine muige basi[emoji28][emoji28][emoji28]
Noma sana!
 
Back
Top Bottom