Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

Marley Dollars $$ kijana anayetingisha Bongo kwa Mandinga makali

Mfanyabiashara tu wa madini
Nishakutana naye mtopwesh

Ova

Kauli yako ni sheria ujue vijana walianza kusemasema huyu dogo anauza sembe, sawa na madogo walioibukia siku hizi kuexport dhahabu every week yuko dubai au canada wanakula maisha kweli maana kuna dogo anatembea na kilo tatu faida kwa mwezi mbwa haruki sasa huyu watu watasema anauza sembe kwa majumba anayojenga kwa sasa
 
Huyu jamaaa ananikumbusha maisha ya 𝐆𝐈𝐍𝐈𝐌𝐁𝐈 , 𝐈𝐕𝐀𝐍 𝐃𝐎𝐍, 𝐇𝐔𝐒𝐇𝐏𝐀𝐏𝐈, 𝐊𝐈𝐍𝐆 𝐆𝐊 𝐒𝐇𝐎𝐏𝐀 [emoji1487] tutafute pesa aiseee [emoji1488]
Sahihi mkuu, japo hamfikii ginimbi hata nusu
 
Nipe connection nimpeleke sehemu madini yapo ya kutosha Yani unaokota tu yani. Aina aja ya kuchimba chimba
 
Hawa watu walitamba sana enzi za JK wakishirikiana na Ridhiwani na sasa wanarudi upyaa huku wakichekelea bafuni kama hawana akili vile🤔
 
Piga kazi jomba acha kuwaza ujinga kila siku!! Wenzako akaunti zinaendelea kusoma wakati unawaza kwamba kila mtu mpigaji

Achukue huu ushauri kumchukia tajiri haina msaada kwako wewe maskini akifuata huu ushauri atafika mbali, magufuli alituaminisha kila mwenye uwezo au pesa ni fisadi na mpigaji hapana sio kweli lazima tupambane fursa zipo nyingi sana
 
Hawa watu walitamba sana enzi za JK wakishirikiana na Ridhiwani na sasa wanarudi upyaa huku wakichekelea bafuni kama hawana akili vile[emoji848]

Acha ufwetere wewe pambana upate njuruku zako maisha yaendelee
 
Apo magali yenyew ya bei poa tu mond ana ile royce na zile zinhine mbili x6 na ma v8 3 na vigari vidogo vya kutosha mondo bado mtu sana mzee acha chuki
 
Asiposepa anajitafutia matatizo.
Km ulikuwepo, iko ivi baada ya Miaka miwili kazini!! Jamaa angu bana, kajibanaaa!!! akanunua ka suzuki Carry!! kamoja! Bana!! akiwa kazini..... maweeee!! kupitia mkewe akasema kwa Ma boss!! chupi zikawabana!! walinuna haoooo!! hkn hata cha salamuuu!!......

kumkomesha dogo wakamkatia kam- shahara kao na marupurupu km yooote!....kwa kisingizio cha kijinga kabisaa!..ukiiona hivi unajua ni wivu tu wa kijinga! wenye asili ya familia za kimaskini!!

Kuumbe dogo alikuwa na source nyinyinge tofauti na kazini!!.....walipo muweka Bench!!! ndiyo dogo kazidisha Mbwembwe!! akaanza kivyake Mara ya mwisho nimekutana nae Sydney amebadirika kawa whiteeeee!!! jua la bongo tena halimchomi km mwanzo!

Waswahili wana hila! tena zinaanzia nyumbani mwako..... hasa kwa Jiwe zilizidi mnooo!! wabongo mna safari ndefu sana! nawambieni kila siku hameni Bongo hamtaki...ooh!! nara nyumbani ni nyumbaniiii!! hayaaaa!
 
Km ulikuwepo, iko ivi baada ya Miaka miwili kazini!! Jamaa angu bana, kajibanaaa!!! akanunua ka suzuki Carry!! kamoja! Bana!! akiwa kazini..... maweeee!! kupitia mkewe akasema kwa Ma boss!! chupi zikawabana!! walinuna haoooo!! hkn hata cha salamuuu!!......

kumkomesha dogo wakamkatia kam- shahara kao na marupurupu km yooote!....kwa kisingizio cha kijinga kabisaa!..ukiiona hivi unajua ni wivu tu wa kijinga! wenye asili ya familia za kimaskini!!

Kuumbe dogo alikuwa na source nyinyinge tofauti na kazini!!.....walipo muweka Bench!!! ndiyo dogo kazidisha Mbwembwe!! akaanza kivyake Mara ya mwisho nimekutana nae Sydney amebadirika kawa whiteeeee!!! jua la bongo tena halimchomi km mwanzo!

Waswahili wana hila! tena zinaanzia nyumbani mwako..... hasa kwa Jiwe zilizidi mnooo!! wabongo mna safari ndefu sana! nawambieni kila siku hameni Bongo hamtaki...ooh!! nara nyumbani ni nyumbaniiii!! hayaaaa!

Me huwa sielewi kma kuwa maskini kunatokana na roho mbaya au mtu anazaliwa tu na roho ya umaskini,

Aiyebarikiwa kuwa navyo amebarikiwa tu hata umewekee miiba ataruka tu na unaendelea kubakia hapo hapo na liroho lako libaya,

Enzi za magu watu wamelishwa matango pori haswa,
 
Kama sio kuuza unga,atakua jambazi huko south,na kwa utawala huu huenda hayupo nchini alishakimbia tayari

Atakuwa mwizi wa magari huko South Africa na kupitishia Msumbiji; huoni hicho kibao cha MAPUTO? Pia kwenye haya magari wanasafirisha NGADA; ona mabunda ya $$$ hayo anayolingisha ni lazima anauza Unga!
 
Me huwa sielewi kma kuwa maskini kunatokana na roho mbaya au mtu anazaliwa tu na roho ya umaskini,

Aiyebarikiwa kuwa navyo amebarikiwa tu hata umewekee miiba ataruka tu na unaendelea kubakia hapo hapo na liroho lako libaya,

Enzi za magu watu wamelishwa matango pori haswa,
Kabisa mkuu yaani?? Roho mbaya kusema kweli haifai!!..... saaana wataishia aibu tu!!....tena mara nyingi wakishindwa kukubania na weye ukatusua huwaga wanakukimbia ile mbaya!! wakisikia umekuja likizo wanajifungia ndani ndiiii!!.... huwaoni!
 
Back
Top Bottom