GTA
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 878
- 651
Usiku wa kuamkila leo WCB ikiongozwa na Diamond Platnumz, wamemtambulisha msanii wao mpya Mbosso ambaye alikuwa Yamoto Band.
Hafla ya kumtambukisha msanii huyo iliudhuliwa na watu mabalimbali ikiwemo waandishi wa habari.
Pia Mbosso ametoa video yake mpya "Watakubali" akiwa kama solo artist, itazame hapo chini
Hafla ya kumtambukisha msanii huyo iliudhuliwa na watu mabalimbali ikiwemo waandishi wa habari.
Pia Mbosso ametoa video yake mpya "Watakubali" akiwa kama solo artist, itazame hapo chini