Hapo chachaaahapa naona mashambulizi binafsi sioni majibu! Yani unahita ndoa taasisi takatifu wakati waliomo hawawezi kuwa wa takatifu!
Kwani anajua hilo naona kaandaa na katimu kake kakumsaidia kamwe hawawezi badili ukweli huu.
NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE
Kama namuona jinsi kajitengenezea kahawa anacheka.
haaa ukimaliza kumuombea Lara..., uje na kwangu lols Mama mchungaji.
Mkuu biblia imetengenezwa kutumiwa na watu wote! Lakini sijaona majibuKutumia BIBLIA TAKATIFU kwenye maandiko ya yako ya KISHETANI Ukome.Ni bora ungetamani kuwa MTAWA,siyo KUGONGWA Kama MBWA
we ni kahaba mwenzie period:
Wacha tuu...Mi nacheka tuu hapa...
Pro-marriage wamepandwa na jazba..
Tutambue kwamba hapa duniani kila mtu kaumbwa kivyake na ananyota yake na mipango yake aliyoipanga Mungu.
Kama ww umeumbwa kwaajili ya kustarehesha utakuwa mstareheshaji tu na utaichukia ndoa maisha yako yote hata ueleweshwe na mashehe na mapadre lakn bado utaidis ndoa kwasababu hulka yako ipo kwaajili ya kustarehesha hata kweye vitabu vya dini walikuwepo akina rahabu.
Sio kila mwanamke yupo kwaajili ya kuolewa na kuwa mke.........
Hahaaaaa! MKUKI KWA NGURUWEEE KWENU MCHUNGU! Usijisahaulishe Mgiriki wewe ndio CHIMBUKO HASWAAAAA LA YOTE HAYA!
Back to your point!
KWA HIO HII HOJA YAKO NDO INAFANYA MARRIAGE KUWA SACRED INSTITUTION? Okay! What a noble institution it is!
Wewe una kubaliana na mtoa mada!Ndoa ni wanandoa.
Si kila mwanaume ni husband material.
Si kila mwanamke ni wife material.
Ndoa kama taasisi yoyote inachangamoto zake, zinaweza kuijenga au kuibomoa.
Kila ndoa duniani ni ya aina yake, hakuna mbili zinazofanana. Ni kama finger print.
Uvumilivu katika ndoa ni muhimu. Kama ilivyo ili kufikia malengo yoyote yale.
What more should I say? Marriage is a very noble institution!
socrate daughter!
excellent point, na usipokuwa na nauli ya kuingilia humo basini, usitukane waliofanikiwa kuingia kwa kuwaita wanafiki na wasio maana...
Kama vipi tafuta basi jingine hata kama jua linaelekea kuzama, utafika tu hata kama ni usiku wa manane....
hahahaaaa! Kwahyo umeyaandika haya kwaajili ya kujibu mashambulizi? Usiipondee ndoa wakat hata huijui inakuwaje, uchungu au utamu wa maisha ya ndoa hutegemeana na nyinyi wenyew wanandoa.
Kwa fikra zako hizi hata ukija kuolewa ndoa yako itakuwa gaza na wachache watakaoona mtiti wa ndoa yako ndio watakuwa wanazidis kama ufanyavyo ww lakn hawajua kuwa wahusika mmeshindwa kujua maana ya ndoa
umeona eeeeh kama huna nauli kaa pembeni so uanze kutoa visingizio oohoo basi bovu,limejaa sana, linaweza kupinduka , n.k tunaita maneno ya kujifariji kwa kukosa ticketi