Duhhh...Nimekuwa mtizamaji...Ila hapa wewe ndo umeonesha umbumbumbu wa hali ya juu..
Ni ajabu kusema mtu hana hoja bila kutoa hoja kuonesha kutokuwa kwake na hoja...
Hivi mmeelewa au mmeamua kubisha tu?
Naona watu wanajibu kama vile wametukanwa.
Kwani Lara kasema hataki kuolewa kwa vile ndoa ni unafiki?
Au Lara kasema ndoa ni kisiwa cha mateso?
Au kashauri wasio na ndoa wasiingie kwa vile ni unafiki?
Kuna sehemu kaiponda ndoa kua waliomo wamepotea??
Naona wengi mnakuja na point ambazo binti wa watu hajaziongelea kabisa.
Bora usome taratibu... NO TIME LIMIT
Unawahi kuandika yako matokeo yake unakua kituko.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi.
hata mimi nazidi kushanga jinsi wanavyo badilisha mjadala!Hivi mmeelewa au mmeamua kubisha tu?
Naona watu wanajibu kama vile wametukanwa.
Kwani Lara kasema hataki kuolewa kwa vile ndoa ni unafiki?
Au Lara kasema ndoa ni kisiwa cha mateso?
Au kashauri wasio na ndoa wasiingie kwa vile ni unafiki?
Kuna sehemu kaiponda ndoa kua waliomo wamepotea??
Naona wengi mnakuja na point ambazo binti wa watu hajaziongelea kabisa.
Bora usome taratibu... NO TIME LIMIT
Unawahi kuandika yako matokeo yake unakua kituko.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi.
km mimi kumvumilia mme wangu ni unafki sawa
Ninayosema ni kweli kwasababu ni uzoefu wa kwenye ndoa yangu na si mambo ya kusikia au kusimuliwa na sizungumzii maisha ya mtu mwingine bali ni mimi na ndoa yangu, unlike lara 1Well sipo kushabikia just said mind. ila I hope uliyosema yangekuwa hvyo bsi mna uhakika gani huyu Lara ni ke?..and kuwa ana maanisha?point inabaki kuwa tuna jadili linaloongelewa na tunayoyaona uku mtaani ni kweli yanatendka.kinachonishangaza ni kuwa Hawa wote wanaoshadadia ndoa iheshimiwe hapa uwa siwaoni kwenye threads za vitanzi tunavyofungwaga ma Mrs kuwa me lazma achepuke tupende tusipendee"",kaz zetu kufua na kulea raha Kwa vimada etc etc yaan uwa tunamvaa Lara sisi tuu vnatuuma kwelikwelii me wengiii wanashadadiaa"Leo kuwaita wanafkii kipi kiwakasirichashoo?
Kwa hio TALAKA ZOOOTE MAHAKAMANI PIA UNREALISTIC, NA PSI UJIMBE WAO ULE AAAH UMEKOSEWA HAMNA ANAE CHEPUKA?, Na waume za watu manake hii pia YAHITAJI experience tunaowachunaa aaah ni unrealistic kabisaa, kila mume yuko kwa mkewe, na hkuna mtoto aliezaliwa nje ya ndo, MA KWELI MALEZI YA LARA 1 NDO YAMELETA YOTE HAYAAAA DUUUUUUUUUU!Ninayosema ni kweli kwasababu ni uzoefu wa kwenye ndoa yangu na si mambo ya kusikia au kusimuliwa na sizungumzii maisha ya mtu mwingine bali ni mimi na ndoa yangu, unlike lara 1
Sihitaji kujua kuwa mleta thread ni me au ke, ila maudhui ya ujumbe wa muhusika hayaendani na hali halisi kwani ayasemayo ni ya kusikia,kusimuliwa na hana hata chembe ya uzoefu huo...very sad.
Huko yanatendeka, huku hayatendeki...niko kwenye ndoa na sijapata karaha azisemazo huyu dada, sijawahi kuwaza kumtaliki mwenza wangu...hata nikiangalia marafiki zangu,ndugu zangu wako poa na familia zao...matatizo/mafarakano yapo...yes kuna sababu zipelekeazo ndoa kuvunjika lakini the bottom line is hayo yote hutokea pasipokutegemea,hata ukiwa mseja waweza kukumbwa na dhoruba hilo.
Fanya uchunguzi,washabikiao michepuko na kupinga utulivu katika mahusiano wengi wao wako single au wanajifurahisha tu kwa kuiga tabia mbaya-wanatupa karata zao za bahati ili waokoteze mipira iliyokufa,na wanawapataga.
Hayo ya kufulishwa n.k umeyasikia wapi,ukiona hivyo ujue mke mwenyewe amekubaliana na hali, mbona hata ma-bf,gf wanafuliana tu...kumfulia au kumpikia mwenza wako si tatizo (change that perception) ndoa ni hatua...wanaokurupuka hukutwa na hayo ambayo wewe na lara 1 mnayoona ni sahihi.
Tatizo lenu women wa aina yako wewe na lara 1 mmekuwa created or raised with unrealistic impression of what marriage is or is supposed to look like...ukienda na mawazo hayo utashindwa hata kuishi mwenyewe...lazima muwe na matumaini na kukubali mabadiliko (optimism).
Hata sikubaliani nanyi.
lara 1 NINA SWALI MOJA TU..TAFADHARI NIJIBU..... ''HUWA UNAPATA KADI ZA MICHANGO NA MIALIKO YA HARUSI/KITCHEN PARTY NA SENDOFF????''...UNACHANGIA/KUHUDHURIA AMA TUPA KULE??..JIBU LAKO NI MUHIMU SANA(It may sound off topic)....
Kuna oda imetoka mambo ya bible yasijadiliwe ndani ya hii mada! Mwenyewe nimefuta yote! Sorry its a bit late!Ngoja na mie niseme yangu lara 1.
Kidogo na mie Biblia nimeisomapo. Tukianzia hapoo, yaani Biblia iko full kuelezea pande zote za shilingi.
Ukisema Ibrahim na Sara, upande mwingine wako Isaka na Rebeka.
Ukisema Hosea na Gomeri, wako Musa na Zipora.
Ukisema Daudi, yuko Esta.
Wako kina Ruthi na Boazi, Mariam na Yusufu, Elizabeti na mumewe. Kina Nuhu, Yusufu, Ayubu na wengine wengi ambao upande wa pili haujasemwa unaweza kuhisi hadi waitwe wema lazima walikuwa wako vizuri kwenye ndoa zao.
Ukiongelea kupenda, Samson na Yakobo, na Sulemani wanaonyesha chaguzi zilivyo ngumu.
Ukisema mwanaume hawezi kuwa mwaminifu ukijitetea kwa Suleiman, Daudi na Ibrahim wapo waseja Danieli, Eliya,Paulo watakuhukumu.
Mwanamke ukisema sitaweza vishawishi kwa reference ya Bethsheba au mke wa Potifa, wapo kina nabii Anna na Tamari watakushuhudia.
Kwa ufupi, dunia yako chaguo lako. Wote, waliochagua kuishi wenyewe au kuwa na ndoa mitikasi ni constant. Ukibahatisha hewala hewala, mkiamua kuwa kama Rebeka na Isaka sawa, pia kama Ahabu na Yezebeli ushirikiano utakuwa juu. Ole wao wapatao aina za Gomeri, Bethsheba, mke wa Potifa, Nabali, Daudi na Sulemani. Ukichagua unafiki, unafiki utaishi ndani yako ya moyo, ukichagua kusimamia show kama Abigaili na kwenyewe ni heri.
Ndoa ni entity isiyo na umbo kama maji. Kwa hiyo wewe kifaa ukiwa ovyo, itakuwa ovyo ukiwa poa itakuwa poa.
Upande wa pili, kwa kina sie tusiofaa ambao hatujakamilika na tungependa kukamilika ndoa ni mtihani mzuri wa kufikia ule utu kamili. Kwa kirefu, hakuna sehemu duniani ukalala na betrayer asiye ndugu yako na kesho ukamsaidia kupata mahitaji yake kwa roho moja eti mke wangu au mume wangu, what a love!
Daaaaaaah! Ngoja nilale wadau! Maana ubishani huu kwapa lote hoi kwa kutype! Kama nalipwaaaa!
Jilalie mama, maana nyie msio na wakumweleza matatizo mnazeeka mapema sana. Tuache wenzio timeze piliton usingizi automatic, wewe mpaka ujichoshe ndo stress zikome ulale.
Kwa hio ulikuwa unasubiri nilale ndo uje? Hahaaa! Change of plans LEO FRIDAY NIMETOKA! Utalalje kama kuku mapema yote hii, ijumaa!
Sio kweli mkuu, hauwezi kusema mboga hii haina chumvi wakati haujaionja na wala ww sio mpishiDebate hi haita reach conclusion mana kila mtu na mtazamo.wake anavo perceive issues na ku tackle kila cha msingi kila mtu afanye anachoona chema machoni pake mwenyewe mwingne anaweza kuona kitu hiki kizuri wakati mwingne anakiona kibaya
Daaaaaaah! Ngoja nilale wadau! Maana ubishani huu kwapa lote hoi kwa kutype! Kama nalipwaaaa!
socrate daughter!
excellent point, na usipokuwa na nauli ya kuingilia humo basini, usitukane waliofanikiwa kuingia kwa kuwaita wanafiki na wasio maana...
Kama vipi tafuta basi jingine hata kama jua linaelekea kuzama, utafika tu hata kama ni usiku wa manane....
life is more than marriage.... its just a matter of play your card well...ndoa imesababisha mengi humu duniani mabaya na mazuri .... any way we are waiting kwa hao amabo wanaushuhuda mzuri na mbaya pia
Wewe ndo unachanganya!
Turudi unakochanganya wewe
KWANINI MTU AVUMILIE. KITU? NA KWANINI UFANYE KITU SI CHA KUMFURAHISHA MWENZIO KIMFANYE AVUMILIE? UNAFIKI WA MTU MMOJA NDO UNALETA UVUMILIVU KWA MWENZIE! Na kitendo cha kuvumilia kujifanya umeridhika na kitu ama kile kitu kinachofanywa na mwenzio japo shubiri unajionesha uko poa tu pia ni UNAFIKI haijalishi unafanya kwa sake ipi.
UNAFIKI UNALETA MACHUNGU AMBAYO HUSABABISHA UVUMILIVU!
Exactly sehemu zingine hawafanyi dressing kuwa HALI NI TAMBARAREEEE! Wanakubali WAZI mahusiano ni changamoto! Kwa kukubali huko wazi kunawaondoa kutoka sifa ya BUNCH OF HYPOCRITES!