Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

yap its true turudi kwenye familia zetu na tujirekebishe ndoa zina raha na karaha pia ila sisi km sisi tujiheshimu hakuna jipya chini ya jua
tuthaminiane,tupendane na kuheshimiana.
ili watu km LARA wasipate guts za kutuattack

kweli kabisa tubadilke ili hawa wenzetu waje nao wabadilike waiangalie ndoa in positive eyes,na hata wale ambao hawakubahatika maana wote hatuwez kuwa ndoani watakuwa na mtizamo mzuri juu ya ndoa kwamba kamwe Ndoa si taasisi ya kinafiki. Ndoa na iheshimiwe na watu wote haswaa wanandoa wenyewe.
 
Dada geniveros,natumaini utakubaliana nami kwamba hata urafiki wa
boyfrend na girlfriend una machungu yake,au sio? Hata maofisin kuna conflicts!!na ndio maan kuna conflict management traing at work place au sio?

ndio zipo ndo ila mahusiano yasiyo na ndoa kapigana chini ni dkk sifuri tu ila ndoani ni ngumu sana kwangu mimi eti nigombane na mme wangu tunatupiana mineno ya ajabu ajabu...?!!
hamna mi ntajitahd kushuka ili apoe sipendi tukose amani na hata kidogo ntamuomba msamaha baas maisha yanaenda
but i dont regret kuolewa na MUNGU amtupe shetani mbali kabisa na sisi as long as mi ni mwanamke naamini niko chini ya mume wangu sidhani km kuna usawa kati yetu.
 
Anueonghaseyoooooooooooooooooooooooooo!

Kutokana na watu kusafiria nyota yangu any allegations against me nazijibu kwa thread! Siendi kwenye thread ya mtu maana nakujazia trafic, unapata umaarufu, saivi nakula jasho langu mwenyewe! Mtasnisamehe! Ruksa kuniita Lara 1, jibu nitakupa ila kwa nakijibu kwa thread yangu!

Okaya kwasababu huu mjadala bado unauza tuendelee nao mpaka utakapo acha kuuza.

SIFUTI KAULI MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION 101. Kwa hoja zifuatazo!

Ni institution ya kibinadamu automatically. Ule uana damu hauwezi katu kutenganishwa na UNAFIKI! Ni jadi tu ya wanadamu hio katika hood way kama kuwa senstivie, kuwa polite, au bad way kama kuchachua au kutaka mwenzio asikuzidi! EITHER WAY UNAFIKI NI UNAFIKI UWE MZURI AU MBAYA!

Ndoa ni part ya jamii TUNAMOISHI KILA SIKU, is not as if wanandoa mnakaa MARS afu wengineo waseja, single, mabachela wanakaa pluto useme huwezi kujua ya ndoani! Thbutuuuuuuu! Hao hao wanandoa ni watu ndugu, jamaa, marafiki, majirani unaiteract nao, wanatoa testimony, wanahanyaa hanyaa vikinuka humo humo kwenye jamii! So tunayajua uzuuuuuriiiiii!

(Kipengele hiki kimefutwa kwa maombi ya wengi kuwa kiliwakwaza, kuwanyima uhuru wa ku comment! na kuingilia mipaka ya kidini, na kuleta hisi za blasphemmy na Kwa kuweka hiki kipengele Nakuungamia Mungu wangu na nanyi ndugu zangu nilikosa mnoo, nilikosa mimi kurefer kule, nilikosa sanaa! Na nimefuta naomba mnisamehe na Mungu anisamehe pia.) Kishatoka tuendelee na mada!

Increased divorce rates, marriage councelling, maombi na mifungo, vikao vya ukoo, kutimka kwa mapatna, kuzaa na wanawake tofauti tofauti wakati mke unae ndani inaonesha jinsi gani HALI SI SHWARI na upepo unapoolekea siko! Ikiwa mambo ni SWARIIIIIIII ndani ya hio taasis mbona matemdo tuyaonayo kwenye jamii ni CONTRARY na ushswariii? MBA Married But Available mmeongezeka sanaaa siku hizi! Hadi mtu anaamua makusudikally kuzaa na mume wa mtu, na mume anakubali pasipo kushurutishwa na mtu yeyote! HYPOCRARICY KWA BAADHI YENU IMEANZA KUGEUKA CONSPIRACY! Kuzaa nje makusudi ni CONSPIRACY kabisaa hio! Kuiita HYPOCRICY NI UNDERSTATEMENT!

The bi.tch KARMA nae pia ni source ya hii HYPOCRICY! Hamna mtu ana oa au olewa ili aachike, no! I am the special one theory ambapo kila mtu anajiona special! Sasa KARMA ndo inaletaga mtafaruku na mitafutano kibaoo na ni moja ya michimbuko kuu la HYPOCRISY pale tu Mother KARMA anaamua kumsulubisha mmoja, na kumzidishia mmoja! Usiombe mwanaume ndo msalaba ukuhusu! Hulalaaaa! Plus KARMA ndo inasababisha watu expectations zao while they marry zisitimie kwa makusudi, au ziyumbe yumbe na kusababisha mwenye unmet expectations akumbwe na kigugumizi cha WHETHER TO REMAIN A LOOSER AND KEEP TRYING HARD OR WALK AWAY! Hapa watoto wa mjini sifa yenu kubwa ni KI WALK AWAY!

Siple equation! Ndoa = binadamu +binadamu, binadamu = unafiki (moja ya sifa wanyama wengine hawana) Hence UNAFIKI +UNAFIKI =??????????? Mi chichemiii!

Unafiki unaweza kukabiliwa kwa Kuu ignore, ku u confront, ku walk away, kujicomvise hauexist japo kona ya mwisho ya moyoni inajua upo, kuuzoea tu na kuufanya part ya maisha yako, kumuomba Mungu, ETC japo hivo voote haviondoi maina point kuwa UPO!

Na challange yetu wana wa adamu ni HOW BOLD ARE YOU? Je utaruhusu unafiki wa mwenzio ukutafunee nafsi till u walk away from 10 yrs of ya life? Je are you strong enough to turn a blind eye? Are you weak enough to give up everything for just few mistakes? Are you fast enough to change your fate? Are you powerful enough to influence conduct za mtu mwenye oblongata yake? HII SASA INATEGEMEA NTU NTU!

Viongozi wa dini mtanisamehe, na pia nitatubu binafsi kuitoa hii hoja kwa makwazo nitayo wapa! BUT IT IS WHAT IT IS!

Kubalini tu kuna baadhi yenu WMEJITAHIDI MNOO KUIPAKA MATOPE HII TAASISI KWA MATENDO YAO yasiyo ya kiungwana na imelipa! Hahaaa! Kuna mtu ofisin nilimwambia ujue unaipaka matope taasis akanijibu NANI MSAFI ASIE IPAKA MATOPE? Hahaaa! 0 remorse! Nikamwambia flani, akanijibu hujamjua tu, kachungulie sim ya flani! Hahahaaa! ONE MAN CAN MAKE A DIFFRENCE TRY TO BE THAT ONE MAN! Mmoja moja MAY BE, and i mean MAY BE mnaweza kurudisha lost glory! Ila hivi sasa aaaaah! People dnt even try wamekubali tu ku accomodate hypocrisy kama part ya package!

Ni kazi chafu ila ilinilazimu kuifanya! Leo ukijisikia kutukana tukanaaaa mpaka roho yako itakate isiingie Iddi na kinyongo! Afterall hio ndo silaha ya mnyonge! Ubishani wa hoja nitajibi!

THE FEAST TO KILL THE MESSENGER MAY BEGIN! Hahaaaaa!

binafsi nakushangaa,!!!!
 
Point nzuri sana hii nadhani ni fundisho kwa wanaume na wanawake wa MMU walioko ndoani, hapa kinachogomba ni ndoa kuitwa taasisi ya Unafiki baasiii!!
Ambapo imeitwa hivi kwa vyanzo kama huo ukurubembe wa members wa taasis hio!
 
joto hasira tu...!!!
ngoja nkwambie,siku moja mi na wifi yangu(mke wa mdogo wangu )tulikua tumekaa mara akapita jirani(mamaT)akaniambia wii jana mme wangu kanambia alimpeleka (babaT)kule bondeni kwa demu wake.Akaniambia mi nnaambiwa ya mwenzangu na yangu namimk yanasemwa kwa watu ukute hvyooo.
Honestly niliumia ukfkria (babaT)kwake mkewe hamjali hadi anatia huruma ila nyumba ndogo anapeleka mazagazaga.
JE HUU NI UUNGWANA?!!

LA HASHAAAAA SI UUNGWANA! Haya mambo ndo yanamuweka Joyce Kiria mjini! Hahaa!
 
Wewe ndo unachanganya!

Turudi unakochanganya wewe

KWANINI MTU AVUMILIE. KITU? NA KWANINI UFANYE KITU SI CHA KUMFURAHISHA MWENZIO KIMFANYE AVUMILIE? UNAFIKI WA MTU MMOJA NDO UNALETA UVUMILIVU KWA MWENZIE! Na kitendo cha kuvumilia kujifanya umeridhika na kitu ama kile kitu kinachofanywa na mwenzio japo shubiri unajionesha uko poa tu pia ni UNAFIKI haijalishi unafanya kwa sake ipi.

UNAFIKI UNALETA MACHUNGU AMBAYO HUSABABISHA UVUMILIVU!

Exactly sehemu zingine hawafanyi dressing kuwa HALI NI TAMBARAREEEE! Wanakubali WAZI mahusiano ni changamoto! Kwa kukubali huko wazi kunawaondoa kutoka sifa ya BUNCH OF HYPOCRITES!

huna hoja una zunguka zunguka tu….. NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE
 
haina haja ya kuendeleza ubishi... Hcho ni kilio cha mkosaji ili tufike mwisho wa safar salama kila mtu aamini anachokiamin na akitendee kazi
Hahaaa! Basi mi nahitimisha kwa KUKUONYA USIAMSHE WALIO LALA UKIWAAMSHA UTALALA WEWE!
 
Hawa failures wa ndoa ndio wamekuwa wasemaji wa ndoa zetu.Andika thread page bilion na bilion bado hutaweza badirisha ukweli kwamba ndoa ni msingi wa taifa lolote!!Endelea(ni) kujipa faraja...na slogan za "mwanamke bila ndoa inawezekana".

Njoo page ya 17 kuna ujumbe wako toka kwa MKE WA MUYAHUDI NA WAKE ZENU WENGINE, MIE SAIVI MTIZAMAJI TU, WAMESHUKA WENYEWE HYPOCRISY YENU IMEWACHOSHA! Hahaaaa!
 
Skiliza ww iara mwanamke hata awe upstairs vzr awe na Mali VP bila mume ni buree..I think u have inferiority complex usione ndoa zote Chungu depend on your choise madame!muokotane clubs sijui one month unatangaza ndoa expect bomshelz!!ww tulia kuna chembechembe za Wenge around 29 th hujapata hata dalili ya ndoa basiii stresses mpakaa n kuona ndoa zote ovyoo!!sijui ohhh waume za watu sijui nn !hakuna mwanamke asiependa wala wish wearing white dress wewe iyo ni wengeeeeeeee...
Hahaaaa! SWEETY IM 40 ALREADY AND SINGLE, WISH I WAS 29! Hahaaaa naona HYPOCRISY imekujaaa, unaona kama nimeinhiamo moyoni mwako! Hahaaaa! Punguza hasira kidogo!

Okay so kama mimi niko 40 NDO NAWASABABISHA MUACHIKE HUO DAILY, WAUME ZENU WAZAE NJE, MKIMBIWE MAJUMBANI, WACHEPUKE, WASIWATAMANI TENA! Ama kweli mimi kuwa 40 ni kizai zai kwa wadada maybe if iget to be 50 mtajipumzisha kidogo!
 
Hivi kwani tatizo ni nini hasa?? Maana naona maneno mengi sana...nini na nini full kukandia ndoa...etc etc...mimi naamini mtu anabadilika kutokana na mazingira hichi anacho amini mleta mada ni zao la vitu alivyofifanya au kuviona kua haviendi ndo vilivyopelekea kua na msimamo au imani hii anayo isema sema hapa...!!
USIDANDIE TRENI KWA MBELE HII PART 4, NA PART 5 ISHATOKA! Fanya uanze mwanzo ndo utafaidi huu mkasa, ukiibukia juu juaautaachwa!
 
Hahaaa! Basi mi nahitimisha kwa KUKUONYA USIAMSHE WALIO LALA UKIWAAMSHA UTALALA WEWE!

mmmmh! Ubishi tu..... Unawapotosha wenzio... Hawajui kuwa mwenzao umekata tamaa baada ya kusota kwa kipindi kirefu
 
mmmmh! Ubishi tu..... Unawapotosha wenzio... Hawajui kuwa mwenzao umekata tamaa baada ya kusota kwa kipindi kirefu
Hahahaaaa! NOW IMEKUWA MSEMAJI WANGU! Tu assume SAWA NIMEKATA TAMAA NA HIZI 40YRS ZANGU,JE NISIPOANDIKA HAPA DIVORSE RATE ITASHUKA? Michepuko itapungua? Amani itaongezeka ndoani? Watu wataacha kutembea na waume za watu, mtapunguza kwa familia zenu? I TOO WISH INGEKUWA NISIPOANDIKA HAPA ALL TJIS GOES AWAY NISINGE ANDIKA KABISAAAAA!

Bt we all know it is what it is WEMBE NI ULE ULE REGARDLESS NIANDIKE NISIANDIKE NDO MAANA PSI WAMEAMUA KUWWCHANA REDIONI NA TV KUWA WANA TAASISI SI WAUNGWANA NI WACHEPUKAJI!
 
ndio zipo ndo ila mahusiano yasiyo na ndoa kapigana chini ni dkk sifuri tu ila ndoani ni ngumu sana kwangu mimi eti nigombane na mme wangu tunatupiana mineno ya ajabu ajabu...?!!
hamna mi ntajitahd kushuka ili apoe sipendi tukose amani na hata kidogo ntamuomba msamaha baas maisha yanaenda
but i dont regret kuolewa na MUNGU amtupe shetani mbali kabisa na sisi as long as mi ni mwanamke naamini niko chini ya mume wangu sidhani km kuna usawa kati yetu.

Hiki ulichokiandika ndo "UNAFIKI "wenyewe anaaouzungumzia lara1.....

Wengi hamjamuelewa mleta thread....
 
Last edited by a moderator:
huna hoja una zunguka zunguka tu….. NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE

Duhhh...Nimekuwa mtizamaji...Ila hapa wewe ndo umeonesha umbumbumbu wa hali ya juu..

Ni ajabu kusema mtu hana hoja bila kutoa hoja kuonesha kutokuwa kwake na hoja...
 
Hivi mmeelewa au mmeamua kubisha tu?

Naona watu wanajibu kama vile wametukanwa.
Kwani Lara kasema hataki kuolewa kwa vile ndoa ni unafiki?
Au Lara kasema ndoa ni kisiwa cha mateso?
Au kashauri wasio na ndoa wasiingie kwa vile ni unafiki?
Kuna sehemu kaiponda ndoa kua waliomo wamepotea??
Naona wengi mnakuja na point ambazo binti wa watu hajaziongelea kabisa.
Bora usome taratibu... NO TIME LIMIT
Unawahi kuandika yako matokeo yake unakua kituko.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi.
 
Back
Top Bottom