2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,718
(3) Ghafla akaugua kisukari
(4) Damu ikaanza kuganda kwenye miguu sababu ya chanjo ya korona
Watetee tu. HayajakukutaKuna baba mmoja karibu na kinondoni alipooza.
Kichwa tu ndo kilikuwa sawa.
Watoto, ndugu, marafiki walimkimbia. Mkewe kapambana nae kwa zaidi ya miaka 5 mpaka mauti ilipomfika. Mama wa kiislamu yule MUNGU ampe maisha marefu sana.
Inasemekana ameokoka na aliwahi kuugua vibaya sana huyu mchekeshaji.Nahisi nimeeleweka. Wacha niwaache na kapicha ka mchekeshaji wetu bora wa Africa
Pengine mama alipambana nae akijua kuna kitu anabaki nacho after mzee kuondoka.Watetee tu. Hayajakukuta
Mbona jambo la kawaida kabisa hilo? Mke wa kaka yako akiwa katili ni lazima na mke wa baba yako awe katili? Yakikukuta wewe haimaanishi mwingine lazima yatamkuta. Hapo ulipo hakuna mwanamke mwema wa kumtazama ukajua hili?Watetee tu. Hayajakukuta
Na huku kwetu mtwara si ndio wanawake hawahawa wa kiislamu wanaotelekeza waume zao? Mpaka inafikia hatua wanaume wa pwani wanatamani sana kuoa mabinti wa kikristo wa kibena na kikinga?Kuna baba mmoja karibu na kinondoni alipooza.
Kichwa tu ndo kilikuwa sawa.
Watoto, ndugu, marafiki walimkimbia. Mkewe kapambana nae kwa zaidi ya miaka 5 mpaka mauti ilipomfika. Mama wa kiislamu yule MUNGU ampe maisha marefu sana.
🤔🤔, udini mbaya sana.... UdiniMkewe kapambana nae kwa zaidi ya miaka 5 mpaka mauti ilipomfika. Mama wa kiislamu yule MUNGU ampe maisha marefu sana.
Huenda ikawa sahihi. Maake hawa viumbe bhanaPengine mama alipambana nae akijua kuna kitu anabaki nacho after mzee kuondoka.
Si lazima kuwa kwa sababu huyu mzee alioa mke mwema wa kiislamu basi wanawake wa kiislamu ni wema. Kwanini mnaassume maisha ni kama mti kuwa yapo fixed sehemu moja tu?Na huku kwetu mtwara si ndio wanawake hawahawa wa kiislamu wanaotelekeza waume zao? Mpaka inafikia hatua wanaume wa pwani wanatamani sana kuoa mabinti wa kikristo wa kibena na kikinga?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, ngoja niibookmark hii post yako kabisaaaa. Siku ukileta uzi wa kulia lia hapa, itajua hujui. Kumbuka sisi ni pipo mkuuMbona jambo la kawaida kabisa hilo? Mke wa kaka yako akiwa katili ni lazima na mke wa baba yako awe katili? Yakikukuta wewe haimaanishi mwingine lazima yatamkuta. Hapo ulipo hakuna mwanamke mwema wa kumtazama ukajua hili?
Udini umeuwaza wewe. Mama aliyemuhudumia yule mzee alikuwa ni muislam.🤔🤔, udini mbaya sana.... Udini
Melki, Nikilialia ndo inahalalisha kuwa wanawake wote hawafai? Maisha yangu na chaguzi zangu si hitimisho la maisha ya wengine na chaguzi zao.[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, ngoja niibookmark hii post yako kabisaaaa. Siku ukileta uzi wa kulia lia hapa, itajua hujui. Kumbuka sisi ni pipo mkuu