Marriage is a loss to every man. Yaliyotokea siku chache kabla ya kifo cha Mr. Ibu

Marriage is a loss to every man. Yaliyotokea siku chache kabla ya kifo cha Mr. Ibu

Upendo au mapenzi ni kupendana ila km sio ivyo bas ni mattzo tu
Wanawake na watoto wa kike weng tu wamekua msaada kwa wazee wao pale wanapokua na mattzo
Nadhani kwa uyo comedian hakupendwa na wala akupata wa kumpenda ila wote mama ma watoto walimpenda kwa mali zake sio yeye
Kwenye mapenzi na mtu wa kujenga nae familia pesa sio kla kitu
Hit and run pesa inasaidia ila km ni kujenga familia pesa haina maana
 
Inasemekana ameokoka na aliwahi kuugua vibaya sana huyu mchekeshaji.

Labda fluoride ndiyo imenituma nijibu hivi bandiko lako
Mr Ibu kwa uhalisia alikufa mwaka mmoja nyuma ,tangu siku ile ya birthday yake alikuwa kama zezeta ,mwaka jana ndio alikatwa mguu mwezi wa 10 kama sijakosea
R.I.P John Ikechukwu Okafor (Mr Ibu). Kumbe ametutoka 2/03/2024.
===
Nitakumbuka movies zake, hasa moja siikumbuki jina sema Kuna visa na vikumbuka.

Alikuwa ameoba wake wawili na hao wake wakawaleta Mama zao pale kwake, mtiti ulikuwa si kidogo, halafu hao wake wakawa wajawazito... vurugu za nyumbani zikamkosesha ufanisi kazi....katafukuzwa kazini ....kasheshe ilikuwa siku ya anapewa barua ya kuachishwa kazi ...pale Ofisi hapakutosha...alianzisha timbwili si la kitoto....!!!!
====

John Ikechukwu Okafor (17 October 1961 – 2 March 2024), popularly known as Mr. Ibu, was a Nigerian actor and comedian.[1][2][3] He appeared in over 200 Nollywood films including those from the Mr. Ibu series.
 
Kuna baba mmoja karibu na kinondoni alipooza.
Kichwa tu ndo kilikuwa sawa.
Watoto, ndugu, marafiki walimkimbia. Mkewe kapambana nae kwa zaidi ya miaka 5 mpaka mauti ilipomfika. Mama wa kiislamu yule MUNGU ampe maisha marefu sana.
Nadra sana kupata rafiki wa maisha kwenye ndoa aisee.
 
Kibaya zaidi 60% ya hizo pesa ilibebwa na mtoto wake wa kike kwa ajili ya kufanyiwa oparesheni ya kuongeza matako. Na alifanikiwa kufanya hivyo. Utamuona tu msibani mkuu. Sijui naye atakuwa analia[emoji848]
Toto jinga sana hilo aisee. Na ndio huwa wanasema mtoto wa kike anamjali baba yake hilo sijui limekuwaje.
 
Ila ukumbuke kuwa hakuna utofauti kati ya mwanamke na mwanamke. Mwanamke ni yule yule tu. Yupo kimaslahi, ukiona unapatana naye, ujue kuna kitu anabenefit kutoka kwako, siku ukipoteza ndo basi tena. Hata maandiko yanasema tuishi nao kwa akili

Siwezi mhusisha mwanamke kwenye masuala ya pesa ama mali zangu za nje. Ama hata kimawazo, sihitaji cha ziada kutoka kwake zaidi ya unyumba, watoto na uwepo wake tu. Hawachelewi kukugeuka. Nimeshuhudia wangapi! Ni wengi sana mkuu

Hawa viumbe ni wa kukaa nao mbali sana mkuu. Watu wamelia sana na kusaga meno
Inaonekana ni muoga wa maisha sana
 
Jamii imeacha kutrain watoto wa kike kuwa wake msisitizo ulikuwa kuwatrain wanaume kuwa mume bora ila wakasahau mume bora anahitaji mke bora.

Watoto wa kike wa miaka hii tabia zake zinategemea amekulia wapi na alikuwa na nani kwenye ukuaji wake. Kimsingi wanawake kwasasa ni changamoto na huu msiba utakuja kuwaelemea watoto wetu wa kike siku zijazo wanaume watakaposusa mahusiano na kutafuta mpango wa kuishi bila wake.
 
Kuna baba mmoja karibu na kinondoni alipooza.
Kichwa tu ndo kilikuwa sawa.
Watoto, ndugu, marafiki walimkimbia. Mkewe kapambana nae kwa zaidi ya miaka 5 mpaka mauti ilipomfika. Mama wa kiislamu yule MUNGU ampe maisha marefu sana.
Sija ona maana ya kuweka dini hapo .are you normal ?
 
Vitu vizuri ni nadra boss.

Ni nadra kuwa tajiri ila wapo matajiri.
Tatizo wanadamu wanaogopa maisha
Mwanadamu uwe tayari kwa lolote gumu litakalokuja mbele yako na mengine yanakuja bila taarifa

Mazuri na mabaya yote ni ya wanadamu mfano waliozaliwa vilema hawakupenda; same kwa wanapata matatizo hawakupenda yote ni maisha ukipata magumu usilaumu sana sababu hata waliopata mazuri hawakuomba
 
Jamii imeacha kutrain watoto wa kike kuwa wake msisitizo ulikuwa kuwatrain wanaume kuwa mume bora ila wakasahau mume bora anahitaji mke bora.

Watoto wa kike wa miaka hii tabia zake zinategemea amekulia wapi na alikuwa na nani kwenye ukuaji wake. Kimsingi wanawake kwasasa ni changamoto na huu msiba utakuja kuwaelemea watoto wetu wa kike siku zijazo wanaume watakaposusa mahusiano na kutafuta mpango wa kuishi bila wake.
Kwenye maisha kuna mabaya na mazuri na yote hayo tumeumbiwa wanadamu
Hata tulaumu kizazi cha sahivi ni kuwaonea tu sababu hiyo ni rule of game

Kuna watu wamezaliwa vilema hawakuomba na hawakupenda bali ni rule of nature

Kwenye maisha mda mwingine unaweza pata mema iyo ni rule of nature; mda mwingine unaweza pata mabaya
Kiujumla mabaya na mazuri tumeumbiwa wanadamu kikubwa tuwe tayari kukubaliana na magumu au mazuri hayo ndo maisha
 
Maisha yanabadilika...
Nilivyokuwa mdogo...story nyingi, hadithi na riwaya mbali mbali, zilikuwa zinaonesha wanaume ni wabaya, wanachezea watoto wa kike, wanachangia kukatisha masomo yetu, na hata walio oa wananyanyasa wake zao, wengine wakipipata pesa wanapiga chini wake zao wanatafuta mabint wadogo wanawaoa.
Na ndo tumekuwa tukiamini hivyo...kuwa ili umpate mwanaume sahihi utulivu na Mungu anahitajika.

Sasa I don't know what went wrong....!!! 😭 Mbona kama kibao kimegeuzwa?? Wanaume ndo wanalia zaidi??? Au ndo muendelezo wa kuverify manyanyaso Kwa wanawake? Au wanawake wamekuwa Sugu??? Au ninini? Hali inatisha...!
 
Katika jambo nimejifunza sana kwenye maisha yangu hadi sasa ni kuwa wenzetu Waislam wanamjua Mungu kweli kweli sio maneno maneno tuuu!
Waislam ni mara chache sana ukasikia kesi za wanawake kukimbia au kutelekeza waume zao au kutaka kuwatoa roho…..
Wakristo hasa wanawake baadhi wamejawa na ukatili wa ajabu sana na ni wanafiki sana sana….hela ikiisha wanakimbia kabisa ….
Wanapeana sana talaka
Waislaimu mwanamke ukimzingua anaomba talaka wana option tofauti na wakristo amboa ndoa haivunjiki ukivunja umevunja kwa utashi wako
 
Na huku kwetu mtwara si ndio wanawake hawahawa wa kiislamu wanaotelekeza waume zao? Mpaka inafikia hatua wanaume wa pwani wanatamani sana kuoa mabinti wa kikristo wa kibena na kikinga?
Nimeona sana mtwara)masasi watu wana prefer kuoa waha/wangoni au wabena na si wanawake wa kwao.
 
Back
Top Bottom