Marriage is a loss to every man. Yaliyotokea siku chache kabla ya kifo cha Mr. Ibu

Marriage is a loss to every man. Yaliyotokea siku chache kabla ya kifo cha Mr. Ibu

Mbona jambo la kawaida kabisa hilo? Mke wa kaka yako akiwa katili ni lazima na mke wa baba yako awe katili? Yakikukuta wewe haimaanishi mwingine lazima yatamkuta. Hapo ulipo hakuna mwanamke mwema wa kumtazama ukajua hili?
Itakuwa mama yake ni katili kwa hiyo kwake kila mwanamke yuko hivyo
 
(1) Mke wake wa kwanza kadai talaka na kuchukua akiba zake zote

(2) Mke wake wa pili kasema jamaa analala na mtoto wake

(3) Ghafla akaugua kisukari

(4) Damu ikaanza kuganda kwenye miguu sababu ya chanjo ya korona

(5) Mtoto wake wa kike akatumia hela zote zilizobaki kufanyiwa upasuaji wa kuongeza matrako

(6) Mke wake mwingine aliendelea kudai iPhone 15 wakati mwamba mgonjwa

(7) Ameuza mali zake zote ajitibu na kuhudumia familia

(8) Akakatwa mguu ili aendelee kuishi

(9) Leo amefariki na ametengwa bila mke, bila watoto, bila mali, bila hela & bila mguu

(10) Miaka yote ya kujitafuta imeharibiwa na wanawake

(11) Huwezi kunielewa kwa sababu unatumia fluoride, huwezi kunielewa mpaka vikutokee

(12) Niliwahi kuajiriwa na baba mmoja huko maeneo ya Sinza. Ana mali nyingi sana na pesa za kutosha. Aliishi na mwanae wa kiume, housegirl na mimi. Niliwahi kumuuliza kuwa hajafikiria kuoa? Alichonijibu ni eti kakimbia nyumba yake pale Oestabay, kaacha kila kitu, mke na watoto wake wa kike ili ajitafutie maisha yake mwenyewe asije akafa angali mdogo. Alichobebelea ni mwanae wa kiume tu wa kipekee ambaye ndiye nilisaidizana naye kwenye majukumu ya yule mzee kabla hajafanyiziwa kitu kibaya kilichopelekea mimi kutembeza lasta mtaani sasa

Nahisi nimeeleweka. Wacha niwaache na kapicha ka mchekeshaji wetu bora wa AfricaView attachment 2922815
Huyu jamaa ndio P Square walimtumia kwenye Ngoma Yao ya Bank Alert akiigiza mnoko sana kwa binti yake.
 
Kuna baba mmoja karibu na kinondoni alipooza.
Kichwa tu ndo kilikuwa sawa.
Watoto, ndugu, marafiki walimkimbia. Mkewe kapambana nae kwa zaidi ya miaka 5 mpaka mauti ilipomfika. Mama wa kiislamu yule MUNGU ampe maisha marefu sana.
Kulikuwa na haja gani ya kusema mama wa kiislamu
 
Maisha yanabadilika...
Nilivyokuwa mdogo...story nyingi, hadithi na riwaya mbali mbali, zilikuwa zinaonesha wanaume ni wabaya, wanachezea watoto wa kike, wanachangia kukatisha masomo yetu, na hata walio oa wananyanyasa wake zao, wengine wakipipata pesa wanapiga chini wake zao wanatafuta mabint wadogo wanawaoa.
Na ndo tumekuwa tukiamini hivyo...kuwa ili umpate mwanaume sahihi utulivu na Mungu anahitajika.

Sasa I don't know what went wrong....!!! 😭 Mbona kama kibao kimegeuzwa?? Wanaume ndo wanalia zaidi??? Au ndo muendelezo wa kuverify manyanyaso Kwa wanawake? Au wanawake wamekuwa Sugu??? Au ninini? Hali inatisha...!
Pole sana
 
Hapo namba 11 kwamba low thinking capacity inakuwa linked direct na fluoride exposure? Kwa madai kwamba fluoride ina block pineal gland (au kama inavyoitwa third eye na baadhi ya watu?) NI KWA USHAHIDI UPI ????? Mbona maji ya kaskazini mwa tanzania ndiyo yanayoongoza kwa kiwango kikubwa mno cha fluoride lakini watu wa hiyo mikoa wapo vizuri sana upstairs?
Aina ya chakula inachangia pia kuwa na uwezo mkubwa wa kiakili
 
Ndoa haijawahi kuwa kitu kibaya. Tatizo mkishaona matako mnakimbilia kuoa bila kujali utu wa huyo unayemuoa...kwa sababu tu una pesa anaamini kila kitu kitakuendea kama unavyotaka mnasahau kwenye maisha kuna kupanda na kushuka
Hata wenye makalio wanatakiwa waolewe
Kuna watu wameoa vimbaumbau na bado wanawanyoosha
Kwenye maisha hakuna ajuaye kesho
 
Tatizo wanadamu wanaogopa maisha
Mwanadamu uwe tayari kwa lolote gumu litakalokuja mbele yako

Mazuri na mabaya yote ni ya wanadamu mfano waliozaliwa vilema hawakupenda; same kwa wanapata matatizo hawakupenda yote ni maisha
Point ya muhimu mno hii.
 
Kwenye hili hakuna justification. Hatuwezi kusema ni kweli au si kweli. Wapo wanawake huuguza waume zao hadi mwisho na wapo amabao hukimbia na kila kitu.

Pia wapo wanaume huuguza wake zao hadi mwisho na wapo ambao hutelekeza mazima. Huvyo ukipata wa kukufaa shukuru ukikosa usiseme hawapo kabisa.
 
Point ya muhimu mno hii.
Kwa sisi wakristo tunaamini baada ya adam na mkewe kula tunda la uzima na ubaya maana yake mazuri na mabaya ni sehemu ya maisha ya mwanadamu

Watu wengi sana wanahusisha mabaya na shetani sio kweli au mazuri na Mungu sio kweli sababu ule mti wa uzima na ubaya alioupanda ni Mungu na sio shetani

Kwenye nature ya hii dunia kuna mabaya na mazuri
Hata Mungu anatumia mazuri na mabaya kutekeleza mipango yake same kwa shetani
 
R.I.P John Ikechukwu Okafor (Mr Ibu). Kumbe ametutoka 2/03/2024.
===
Nitakumbuka movies zake, hasa moja siikumbuki jina sema Kuna visa na vikumbuka.

Alikuwa ameoba wake wawili na hao wake wakawaleta Mama zao pale kwake, mtiti ulikuwa si kidogo, halafu hao wake wakawa wajawazito... vurugu za nyumbani zikamkosesha ufanisi kazi....katafukuzwa kazini ....kasheshe ilikuwa siku ya anapewa barua ya kuachishwa kazi ...pale Ofisi hapakutosha...alianzisha timbwili si la kitoto....!!!!
====

John Ikechukwu Okafor (17 October 1961 – 2 March 2024), popularly known as Mr. Ibu, was a Nigerian actor and comedian.[1][2][3] He appeared in over 200 Nollywood films including those from the Mr. Ibu series.
Hii video clip inaumiza sana sana
 
Nadhani tatizo kubwa la wanaume tukishakuwa na hela hata kama mwanamke alikuwa mapepe tunajipa matumaini atatulia baada ya kuingia kwenye ndoa nadhani matatizo mengi yanaanzia hapo ndo shida hyo.
 
Si lazima kuwa kwa sababu huyu mzee alioa mke mwema wa kiislamu basi wanawake wa kiislamu ni wema. Kwanini mnaassume maisha ni kama mti kuwa yapo fixed sehemu moja tu?
Mhhhh hawa wakina Rukia kila siku kwa waganga mara ametupiwa jini mara sheikh amempa jini zuri. Jaman waislam kuna jini zuri ?
 
Nadhani tatizo kubwa la wanaume tukishakuwa na hela hata kama mwanamke alikuwa mapepe tunajipa matumaini atatulia baada ya kuingia kwenye ndoa nadhani matatizo mengi yanaanzia hapo ndo shida hyo.
Hata ufanyaje hakuna ajuaye kesho kwenye maisha lolote lile linakuja bila ya taarifa
Wengine lazima wafail ili wawe fundisho kwa wengine na wengine wafanikiwe ili wawe fundisho kwa wengine
Swali utakua kwenye kundi lipi hakuna ajuaye
 
(1) Mke wake wa kwanza kadai talaka na kuchukua akiba zake zote

(2) Mke wake wa pili kasema jamaa analala na mtoto wake

(3) Ghafla akaugua kisukari

(4) Damu ikaanza kuganda kwenye miguu sababu ya chanjo ya korona

(5) Mtoto wake wa kike akatumia hela zote zilizobaki kufanyiwa upasuaji wa kuongeza matrako

(6) Mke wake mwingine aliendelea kudai iPhone 15 wakati mwamba mgonjwa

(7) Ameuza mali zake zote ajitibu na kuhudumia familia

(8) Akakatwa mguu ili aendelee kuishi

(9) Leo amefariki na ametengwa bila mke, bila watoto, bila mali, bila hela & bila mguu

(10) Miaka yote ya kujitafuta imeharibiwa na wanawake

(11) Huwezi kunielewa kwa sababu unatumia fluoride, huwezi kunielewa mpaka vikutokee

(12) Niliwahi kuajiriwa na baba mmoja huko maeneo ya Sinza. Ana mali nyingi sana na pesa za kutosha. Aliishi na mwanae wa kiume, housegirl na mimi. Niliwahi kumuuliza kuwa hajafikiria kuoa? Alichonijibu ni eti kakimbia nyumba yake pale Oestabay, kaacha kila kitu, mke na watoto wake wa kike ili ajitafutie maisha yake mwenyewe asije akafa angali mdogo. Alichobebelea ni mwanae wa kiume tu wa kipekee ambaye ndiye nilisaidizana naye kwenye majukumu ya yule mzee kabla hajafanyiziwa kitu kibaya kilichopelekea mimi kutembeza lasta mtaani sasa

Nahisi nimeeleweka. Wacha niwaache na kapicha ka mchekeshaji wetu bora wa AfricaView attachment 2922815
Wanawake ni majini.
 
Maisha yanabadilika...
Nilivyokuwa mdogo...story nyingi, hadithi na riwaya mbali mbali, zilikuwa zinaonesha wanaume ni wabaya, wanachezea watoto wa kike, wanachangia kukatisha masomo yetu, na hata walio oa wananyanyasa wake zao, wengine wakipipata pesa wanapiga chini wake zao wanatafuta mabint wadogo wanawaoa.
Na ndo tumekuwa tukiamini hivyo...kuwa ili umpate mwanaume sahihi utulivu na Mungu anahitajika.

Sasa I don't know what went wrong....!!! 😭 Mbona kama kibao kimegeuzwa?? Wanaume ndo wanalia zaidi??? Au ndo muendelezo wa kuverify manyanyaso Kwa wanawake? Au wanawake wamekuwa Sugu??? Au ninini? Hali inatisha...!
Umeongea point moja hapo juu jinsi malezi ya watoto wengi wa kike wanapokuwa wadogo,wamama wapumbavu na ndio walio wengi,hulea mabinti zao kwa kuwapandikiza chuki juu ya wanaume,mwisho wa siku wakiolewa anakuwa na hali ya kujihami kwa kila kitu,inakuwa kama anaishi na adui yake,hii husababisha msuguano mkali sana kwenye ndoa.Nasema kila siku na ninarudia tena,ndoa bila ya kumshirikisha Mungu mwanaume mwenzangu usitegemee muujiza,kuna mahali inafikia unahisi unapambana na huyo mwanamke kumbe uko kwenye vita ya moja kwa moja na shetani...
 
Umeongea point moja hapo juu jinsi malezi ya watoto wengi wa kike wanapokuwa wadogo,wamama wapumbavu na ndio walio wengi,hulea mabinti zao kwa kuwapandikiza chuki juu ya wanaume,mwisho wa siku wakiolewa anakuwa na hali ya kujihami kwa kila kitu,inakuwa kama anaishi na adui yake,hii husababisha msuguano mkali sana kwenye ndoa.Nasema kila siku na ninarudia tena,ndoa bila ya kumshirikisha Mungu mwanaume mwenzangu usitegemee muujiza,kuna mahali inafikia unahisi unapambana na huyo mwanamke kumbe uko kwenye vita ya moja kwa moja na shetani...
Umeandika Point Kubwa Msaada ni Yesu tu
 
Back
Top Bottom