Marriage is a loss to every man. Yaliyotokea siku chache kabla ya kifo cha Mr. Ibu

Marriage is a loss to every man. Yaliyotokea siku chache kabla ya kifo cha Mr. Ibu

Maisha yanabadilika...
Nilivyokuwa mdogo...story nyingi, hadithi na riwaya mbali mbali, zilikuwa zinaonesha wanaume ni wabaya, wanachezea watoto wa kike, wanachangia kukatisha masomo yetu, na hata walio oa wananyanyasa wake zao, wengine wakipipata pesa wanapiga chini wake zao wanatafuta mabint wadogo wanawaoa.
Na ndo tumekuwa tukiamini hivyo...kuwa ili umpate mwanaume sahihi utulivu na Mungu anahitajika.

Sasa I don't know what went wrong....!!! 😭 Mbona kama kibao kimegeuzwa?? Wanaume ndo wanalia zaidi??? Au ndo muendelezo wa kuverify manyanyaso Kwa wanawake? Au wanawake wamekuwa Sugu??? Au ninini? Hali inatisha...!
Nadhani ni matokeo ya mambo mawili, moja ni nature ya mwanamke mwenyewe alivyoumbwa na mbili ni fulda aliyoipata mwanamke.

Ki asili mwanamke ni mbinafsi, si wote ila wengi wao ni wabinafsi. Yaan wakati wengi wa wanaume huwaza kupata maisha mazuri waoe waboreshe familia (si wote), wanawake wengi huwaza apate maisha mazuri aishi peke yabe na wanae. Zamani fulsa ya mwanamke kutoboa ilikua ndogo, ilq dynia ya sasa fulsa ya mwanamke kutoboa ni kubwa, so wanafanya lolote hata kama atatobolea kwa kumdhurumu mwanaume ila katoboa, na akishamdhurumu mwanaume sheria nyingi zinamlinda mwanamke.

Ndio unakuta vilio vingi vya wanaume kupigwa na vitu vizito zinaongezekq
 
Nadhani ni matokeo ya mambo mawili, moja ni nature ya mwanamke mwenyewe alivyoumbwa na mbili ni fulda aliyoipata mwanamke.

Ki asili mwanamke ni mbinafsi, si wote ila wengi wao ni wabinafsi. Yaan wakati wengi wa wanaume huwaza kupata maisha mazuri waoe waboreshe familia (si wote), wanawake wengi huwaza apate maisha mazuri aishi peke yabe na wanae. Zamani fulsa ya mwanamke kutoboa ilikua ndogo, ilq dynia ya sasa fulsa ya mwanamke kutoboa ni kubwa, so wanafanya lolote hata kama atatobolea kwa kumdhurumu mwanaume ila katoboa, na akishamdhurumu mwanaume sheria nyingi zinamlinda mwanamke.

Ndio unakuta vilio vingi vya wanaume kupigwa na vitu vizito zinaongezekq
Hapo nimeelewa...
Na logically mtoto wa kiume amesahaulika, na wa kike amejengewa Sana uwezo.
Ndio maana gap ni kubwa.
Sisi kama wazazi tunajukumu kubwa la kuwajenga hawa watoto wetu, wawe vijana wazuri baadae ili waweze Jenga familia Bora.
 
Hapo nimeelewa...
Na logically mtoto wa kiume amesahaulika, na wa kike amejengewa Sana uwezo.
Ndio maana gap ni kubwa.
Sisi kama wazazi tunajukumu kubwa la kuwajenga hawa watoto wetu, wawe vijana wazuri baadae ili waweze Jenga familia Bora.
Hakika japo vita ni kubwa mnoo. Unaweza mlea vizuri sana akiwa mdogo, akifika chuo ananzaa kuwa na smartphone yake. Hapo atajifunza kilabkitu kizuri na kibaya kuhusu dunia na ataona, kusoma na kusikia kila ambalo wewe pengine ulimficha au ulimfundisha kwenye njiabiliyonyooka, ila sasa atajua namna ya kupindisha mwenyewe.

Tote na yote ni bora kumfundisha njia sahihi na kama ataiacha hatia i juu yake.
 
tokea siku ile mwanamke alipopewa elimu, alipopewa ajira, alipopewa fedha alipopewa simu na vyombo mawasiliano, alipopewa madaraka dunia haitakuja kukaa sawa kamwe, hadi dunia itakapo jirudisha kwenye misingi yake.
 
Hakika japo vita ni kubwa mnoo. Unaweza mlea vizuri sana akiwa mdogo, akifika chuo ananzaa kuwa na smartphone yake. Hapo atajifunza kilabkitu kizuri na kibaya kuhusu dunia na ataona, kusoma na kusikia kila ambalo wewe pengine ulimficha au ulimfundisha kwenye njiabiliyonyooka, ila sasa atajua namna ya kupindisha mwenyewe.

Tote na yote ni bora kumfundisha njia sahihi na kama ataiacha hatia i juu yake.
Yeah... It's better ajue mapema!! Akibadirika ni yeye kaamua.
 
R.I.P John Ikechukwu Okafor (Mr Ibu). Kumbe ametutoka 2/03/2024.
===
Nitakumbuka movies zake, hasa moja siikumbuki jina sema Kuna visa na vikumbuka.

Alikuwa ameoba wake wawili na hao wake wakawaleta Mama zao pale kwake, mtiti ulikuwa si kidogo, halafu hao wake wakawa wajawazito... vurugu za nyumbani zikamkosesha ufanisi kazi....katafukuzwa kazini ....kasheshe ilikuwa siku ya anapewa barua ya kuachishwa kazi ...pale Ofisi hapakutosha...alianzisha timbwili si la kitoto....!!!!
====

John Ikechukwu Okafor (17 October 1961 – 2 March 2024), popularly known as Mr. Ibu, was a Nigerian actor and comedian.[1][2][3] He appeared in over 200 Nollywood films including those from the Mr. Ibu series.
Me naikumbuka ile ya Mr Ibu katongoza Demu kwenye daladala wakapeana ahadi washuke si akatangulia Ibu kushuka huku anamsubilia demu nae ashuke, ile anashuka kumbe demu ni kiwete ikabidi Mr Ibu amkimbie huku akiomba Daladala lisimame apande
 
Ni kweli wanawake wengi wana roho mbaya, ila ubaya wao wengi huwa tunauandaa kwa eidha kuufumbia macho au kutafuta mchepuko ili muumizane kihisia.

Ka hizo mbanga hapo bila shaka huyo Mr Ibu kuna mahali alikua anafeli.
 
Reference: Female insects that kill their mates after intercourse

Drone bee's

Drone bees are the male bees in a bee colony. In bee colonies, there are three types of bees: a queen bee, worker bees which are females, and drone bees which are males.

While these worker bees fly from flower to flower collecting pollen and returning home to the hive to make honey, the drone bees do not participate in collecting of nectar or pollen and they do not even sting. Their only interest is to mate with a receptive queen.

Drone bees are sometimes driven out of the colony by worker bees. This is to ensure that there is enough food for the queen, the workers and the bee larvae, or babies.

Drone bees’ only job is to mate with the queen so that she can lay eggs for future bees. Even when their job seems pretty much easy, the life of a drone bee is very difficult and short.

They do not live for more than 90 days. They automatically die when they mate with the queen bee. They mate with the queen while flying. If a drone bee succeeds in mating with the queen, the first thing that happens is that all of the drone’s blood in its body will rush to its endophallus and causes it lose control over its entire body.

What happens next is that its body will fall away, leaving a portion of his endophallus attached to the queen which helps guide the next drone in the queen.

Also, a queen mating yard must have many drones to be successful. Drone bees have bigger bodies than worker bees, but are usually smaller than the queen.
 
Umeongea point moja hapo juu jinsi malezi ya watoto wengi wa kike wanapokuwa wadogo,wamama wapumbavu na ndio walio wengi,hulea mabinti zao kwa kuwapandikiza chuki juu ya wanaume,mwisho wa siku wakiolewa anakuwa na hali ya kujihami kwa kila kitu,inakuwa kama anaishi na adui yake,hii husababisha msuguano mkali sana kwenye ndoa.Nasema kila siku na ninarudia tena,ndoa bila ya kumshirikisha Mungu mwanaume mwenzangu usitegemee muujiza,kuna mahali inafikia unahisi unapambana na huyo mwanamke kumbe uko kwenye vita ya moja kwa moja na shetani...
Ukweli huo,unatumia nguvu kubwa kupambana nae habadiliki,kumbe siyo yeye kuna shetani ndani yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
J
(1) Mke wake wa kwanza kadai talaka na kuchukua akiba zake zote

(2) Mke wake wa pili kasema jamaa analala na mtoto wake

(3) Ghafla akaugua kisukari

(4) Damu ikaanza kuganda kwenye miguu sababu ya chanjo ya korona

(5) Mtoto wake wa kike akatumia hela zote zilizobaki kufanyiwa upasuaji wa kuongeza matrako

(6) Mke wake mwingine aliendelea kudai iPhone 15 wakati mwamba mgonjwa

(7) Ameuza mali zake zote ajitibu na kuhudumia familia

(8) Akakatwa mguu ili aendelee kuishi

(9) Leo amefariki na ametengwa bila mke, bila watoto, bila mali, bila hela & bila mguu

(10) Miaka yote ya kujitafuta imeharibiwa na wanawake

(11) Huwezi kunielewa kwa sababu unatumia fluoride, huwezi kunielewa mpaka vikutokee

(12) Niliwahi kuajiriwa na baba mmoja huko maeneo ya Sinza. Ana mali nyingi sana na pesa za kutosha. Aliishi na mwanae wa kiume, housegirl na mimi. Niliwahi kumuuliza kuwa hajafikiria kuoa? Alichonijibu ni eti kakimbia nyumba yake pale Oestabay, kaacha kila kitu, mke na watoto wake wa kike ili ajitafutie maisha yake mwenyewe asije akafa angali mdogo. Alichobebelea ni mwanae wa kiume tu wa kipekee ambaye ndiye nilisaidizana naye kwenye majukumu ya yule mzee kabla hajafanyiziwa kitu kibaya kilichopelekea mimi kutembeza lasta mtaani sasa

Nahisi nimeeleweka. Wacha niwaache na kapicha ka mchekeshaji wetu bora wa AfricaView attachment 2922815
R I P John Ikechukwu Okafor
 
Mhhhh hawa wakina Rukia kila siku kwa waganga mara ametupiwa jini mara sheikh amempa jini zuri. Jaman waislam kuna jini zuri ?
Na wapo kina Kuruthumu ambao hujakaa vizuri umekodiwa majambazi. Mm kusema mama wa kiisilamu alikuwa mwema kwa mume wake aliyepooza sijahitimisha kuwa wanawake waislamu wote ni wema.
 
Hata wenye makalio wanatakiwa waolewe
Kuna watu wameoa vimbaumbau na bado wanawanyoosha
Kwenye maisha hakuna ajuaye kesho
Hujanielewa. Sijamaanisha wenye matako wana tabia mbaya...nilichomaanisha ni kwamba ndoa ni zaidi ya physical attraction. Usioe tu mtu yeyote kwa sababu tu unaweza kuafford kuwa naye kwa sababu hakuna ajuaye kesho
 
Back
Top Bottom