Siwezi. Mwisho wa siku nitaishia kufanya hayo waliyofanya hao wanawake ni wazi walikuwa hawana mapenzi kwa mume wao ndio maana wakaishia kufanya hayo waliyofanya. Na mwenye wake zake huenda alikuwa anajua kabisa kwamba hawa wapo kwangu kifedha ila hakuona tatizo kwa sababu pesa ipo