Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye anazo hizo za kuchezea ?Kiongozi wa UWT asema watu wanaoikosoa Serikali wachezee ndevu na si kuchezea Dola. Nini maana ya kauli hii kwa wale wajuvi ya kiswahili? Je ni kama Jino kwa Jino au Ngangari na Ngunguri?
Siku zote ukitaka kujua Uwezo wa akili wa MTU, sikiliza anachokiongea.Kiongozi wa UWT asema watu wanaoikosoa Serikali wachezee ndevu na si kuchezea Dola. Nini maana ya kauli hii kwa wale wajuvi ya kiswahili?
Je, ni kama Jino kwa Jino au Ngangari na Ngunguri?
Kuna wamama wanakuwa na ndevu, sijui yeye anayo? Au ujumbe wake ulilenga kina Mama peke yao?Kwani yeye anazo hizo za kuchezea ?
Alimtishia pia Mh Makonda kuwa anawadhalilisha wanawake. Sijamsikia kukemea watekaji na wauaji.Kila siku vitisho tu.
Alimtishia pia Mh Makonda kuwa anawadhalilisha wanawake. Sijamsikia kukemea watekaji na wauaji.
Wechezee mchicha wasichezee sharubu, "paka halii nyau eti mpaka aone mchicha"Kiongozi wa UWT asema watu wanaoikosoa Serikali wachezee ndevu na si kuchezea Dola. Nini maana ya kauli hii kwa wale wajuvi ya kiswahili?
Je, ni kama Jino kwa Jino au Ngangari na Ngunguri?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu bibi kutwa anawaza ngono pekee
Kule Msena alikolazwa watakuwa walichezea sana tu. Hata hivyo ndevu au sharubu nani anatakiwa achezee?Nimecheka kama mazuri. Kwa nguvu haswa.![]()
Hivi ni nani aliyeweza kuchezea "sharubu" za Simba yule?🤭😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwambie aache kuiga misemo ya watu huo msemo aliwahi kuusema Raisi Salmin Amour Mzee wa kidombo Alisema hivi "Chezea ndevu chezea ndevu usichezee dola"Kiongozi wa UWT asema watu wanaoikosoa Serikali wachezee ndevu na si kuchezea Dola. Nini maana ya kauli hii kwa wale wajuvi ya kiswahili?
Je, ni kama Jino kwa Jino au Ngangari na Ngunguri?
Ameanza kuota NdevuMary Chatanda ni mropokaji