milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Amejisahau ! Ajiulize mtangulizi ( Mama Kabaka) wa hiyo nafasi aliyonayo Yuko wapi na alifanyiwa nini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujibu hoja sio personality ya mtu. Siasa za kishenzi hizo imagine ana watoto humu.Huyu bibi kutwa anawaza ngono pekee
Anazo nyingi ila ziko kule kwengineKuna wamama wanakuwa na ndevu, sijui yeye anayo? Au ujumbe wake ulilenga kina Mama peke yao?
Kwani yeye ametoa hoja?Tujibu hoja sio personality ya mtu. Siasa za kishenzi hizo imagine ana watoto humu.
Nimemtukana...... wakumbushe malipo ni hapa. Haya magenge wanayoyajenga yatawamaliza wenyewe one dayKiongozi wa UWT asema watu wanaoikosoa Serikali wachezee ndevu na si kuchezea Dola. Nini maana ya kauli hii kwa wale wajuvi ya kiswahili?
Je, ni kama Jino kwa Jino au Ngangari na Ngunguri?
Hoja yake iko Wapi? Kushawishi watu waumizwe?Tujibu hoja sio personality ya mtu. Siasa za kishenzi hizo imagine ana watoto humu.
Mwambie aache kuiga misemo ya watu huo msemo aliwahi kuusema Raisi Salmin Amour Mzee wa kidombo Alisema hivi "Chezea ndevu chezea ndevu usichezee dola"
Ingia hapa utaona
View: https://youtu.be/UVFzbJ--7jM?si=8UvTSRuPUQpyFdoH
Nungayembe katika moja na mbili zake. Hakuna ulevi mbaya kama ulevi wa madarakaKiongozi wa UWT asema watu wanaoikosoa Serikali wachezee ndevu na si kuchezea Dola. Nini maana ya kauli hii kwa wale wajuvi ya kiswahili?
Je, ni kama Jino kwa Jino au Ngangari na Ngunguri?
Waliichezea hadi kalioKule Msena alikolazwa watakuwa walichezea sana tu. Hata hivyo ndevu au sharubu nani anatakiwa achezee?
Ndo ujibu kweny context hiohio sio attackingHoja yake iko Wapi? Kushawishi watu waumizwe?
Sijawahi kujibu ujinga....Ndo ujibu kweny context hiohio sio attacking
Kukosoa serikali ni haki ya kikatiba na kiutu.Kiongozi wa UWT asema watu wanaoikosoa Serikali wachezee ndevu na si kuchezea Dola. Nini maana ya kauli hii kwa wale wajuvi ya kiswahili?
Je, ni kama Jino kwa Jino au Ngangari na Ngunguri?
Kama ana waza ngono tuseme ana waza mbinguni?Tujibu hoja sio personality ya mtu. Siasa za kishenzi hizo imagine ana watoto humu.
wewe mwenyew mjinga ila kujibu ujinga ndo huwez?Sijawahi kujibu ujinga....
Kwahiyo yeye anataka Dola isifiwe tu auKiongozi wa UWT asema watu wanaoikosoa Serikali wachezee ndevu na si kuchezea Dola. Nini maana ya kauli hii kwa wale wajuvi ya kiswahili?
Je, ni kama Jino kwa Jino au Ngangari na Ngunguri?
Ni muwaza ngono tu,kila siku anafikiria ufahari wa ndevu kwa wanaume.Mary Chatanda ni mropokaji
Duh kumbe ni mfungua vizibo vya beer !!Huyo barmaid atuondolee upumbavu wake hapa