Martha Chiromba: Nilitukanwa matusi yote ya duniani na vijana wa Mbatia mpaka mshono wa operation ukatatuka nusu

Martha Chiromba: Nilitukanwa matusi yote ya duniani na vijana wa Mbatia mpaka mshono wa operation ukatatuka nusu

Gari mbili za Mbatia zilikuwa zikimfuatilia kwanini hakuchukua uamuzi wa kuisimamisha gari yake kisha angetulia ndani ya gari yake, je, Mbatia angeibeba gari yake na kimteka? Uongo unahitaji uendane na ukweli isiotia shaka, PGO.
Asimame? Kwani yeye mjinga hakumbuki kilichotokea area D kwa Lissu?
 
Wakualumiwa ni NCCR wenyewe walimtoa wapi mtu mwenye uwezo mdogo kiasi hiki na kumpa wadhifa mkubwa wa kuwa katibu mkuu wa chama chenye historia kubwa ya mageuzi ya siasa ya nchi hii. Hakukuwa na wanachama wengine wanawake wa NCCR nchi nzima wenye uwezo kumzidi huyu.
 
Mshono ukapasuka kwa matusi duh
Alitukanwa, pressure ikapanda mapigo ya moyo yakaongezeka, damu ikaenda kwa speed! Lakini mshono (kidonda) bado kibichi - mshono ukashindwa kuhimili speed ya damu ukaachia!
Je! Ulitaka aseme hayo ndo uelewe? Mimi nalaumu elimu yetu na lishe kabla ya kufikisha miaka mitano, siyo wewe!
Vijana wengi lishe imekuwa taabu utotoni akili zimedumaa! Uelewa ni mdogo sana. Bahati mbaya hawahawa ndio watakuwa (viongozi) wetu!
 
Huo mshono ulipasuliwa na mchepuko wake aliyetaka kula tunda kimasihara kabla ya wakati kufika.
Aache fix zake za chekechea.
 
Binafsi sina chuki na wanawake katika ngazi za uongozi lakini ni Hatari sana kumpa mwanamke asiye na hekima nafasi nyeti na kubwa Katika Taasisi, Chama, Au hata kampuni....

Kwa sababu siku akikosea na akataka kuwajibishwa au kuadhibiwa kwa sababu ya Makosa yake Atatumia 'Gender Card' kama silaha yake ya mwisho ya kujitetea na ni vigumu sana kumshinda

kwa maana akitoka kwenye Press na Kuanza kulia lia na kusema nilidhalilishwa mara nilijifungua kwa Upasuaji..mara nilinyanyaswa kijinsia...Wanaharakati na NGO zote watamuamini na kumtetea na ukute sasa nyie mnaopambana naye ni wanaume...hapo mjue hamna chenu hata kama yeye ndiye Mkosaji lakini atawaaibisha mchana kweupe...

Binafsi nafanya kazi kwa Tahadhari sana na mtu ambaye anatumia jinsia yake (hasa wanawake) kama karata ya kumfanya akubalike na aaminike
Mtu wa namna hiyo ni hatari sana...

Wanawake ni wachapakazi na waaminifu sana kuliko wanaume...lakini wakikosa Hekima na ukataka kumwajibisha anapokosea jiandae kuumia labda utumie hekima ya hali ha juu sana.

'CHUKUA TAHADHARI'
 
Wakualumiwa ni NCCR wenyewe walimtoa wapi mtu mwenye uwezo mdogo kiasi hiki na kumpa wadhifa mkubwa wa kuwa katibu mkuu wa chama chenye historia kubwa ya mageuzi ya siasa ya nchi hii. Hakukuwa na wanachama wengine wanawake wa NCCR nchi nzima wenye uwezo kumzidi huyu.
Nccr na Mbatia walifanya makosa makubwa sana.

Huyu mama 2015 aligombea udiwani kawe kupitia Chadema akashindwa na Miata,

Mhamiaji amekuwa katibu mkuu, na leo mshono umeachia kwa matusi,

Alimkaribisha Nccr ni aliyekuwa naibu katibu mkuu bara Elizabeth Mhagama ambaye anaishi wanishi mtaa mmoja Kawe,
 
Ana mishono na mtoto, pengine hana? Angependa mtoto ajue aje kuwa mwongo kama yeye?
 
Alitukanwa, pressure ikapanda mapigo ya moyo yakaongezeka, damu ikaenda kwa speed! Lakini mshono (kidonda) bado kibichi - mshono ukashindwa kuhimili speed ya damu ukaachia!
Je! Ulitaka aseme hayo ndo uelewe? Mimi nalaumu elimu yetu na lishe kabla ya kufikisha miaka mitano, siyo wewe!
Vijana wengi lishe imekuwa taabu utotoni akili zimedumaa! Uelewa ni mdogo sana. Bahati mbaya hawahawa ndio watakuwa (viongozi) wetu!
Kumbe ni wewe mwenye mshono pole sana. Inaonekana ulikula sana ndio maana mshono ukaachia unapenda sana kula na hutaki kujisaidia haja kubwa tumbo likafumuka
 
Hivi NCCR inahitaji nguvu kubwa hivi kukiuwa?
TATIZO YULE MWANAMKE PALE IKULU ANAHARIBU SANA, uendeshaji wa nchi kwa kujidai MWANAMKE MWENZAKE AGUSWI HATA AKIKOSEA.
Usitegemee kuna jema hapo, na kama akiendelea 2025 ndio ataleta vioja zaidi kwenye teuzi zake!!
 
Hivi NCCR inahitaji nguvu kubwa hivi kukiuwa?
Nchi ya hovyo sana hii. Sheria zimetupwa.
Mama kanuna, Kisa tu Mbatia kajitoa kikosi kazi. Wanamuonesha nguvu ya dola.
Samia acha hizi mambo za KISHETANI.
 
Back
Top Bottom