Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asimame? Kwani yeye mjinga hakumbuki kilichotokea area D kwa Lissu?Gari mbili za Mbatia zilikuwa zikimfuatilia kwanini hakuchukua uamuzi wa kuisimamisha gari yake kisha angetulia ndani ya gari yake, je, Mbatia angeibeba gari yake na kimteka? Uongo unahitaji uendane na ukweli isiotia shaka, PGO.
Hakiwezi kutokea Stesheni mbele ya polisi, huyo kapandikizwa maneno ya kusema ndiyo sababu ametaka tumuonee huruma kwa kuongeza jinsia.Asimame? Kwani yeye mjinga hakumbuki kilichotokea area D kwa Lissu?
Siasa bhana....Mshono ukapasuka kwa matusi duh
Alitukanwa, pressure ikapanda mapigo ya moyo yakaongezeka, damu ikaenda kwa speed! Lakini mshono (kidonda) bado kibichi - mshono ukashindwa kuhimili speed ya damu ukaachia!Mshono ukapasuka kwa matusi duh
No ni kirusi hatari hichoMbatia aingie CDM chap NCCR ife rasmi
Nccr na Mbatia walifanya makosa makubwa sana.Wakualumiwa ni NCCR wenyewe walimtoa wapi mtu mwenye uwezo mdogo kiasi hiki na kumpa wadhifa mkubwa wa kuwa katibu mkuu wa chama chenye historia kubwa ya mageuzi ya siasa ya nchi hii. Hakukuwa na wanachama wengine wanawake wa NCCR nchi nzima wenye uwezo kumzidi huyu.
Mshono ukapasuka kwa matusi duh
Kumbe ni wewe mwenye mshono pole sana. Inaonekana ulikula sana ndio maana mshono ukaachia unapenda sana kula na hutaki kujisaidia haja kubwa tumbo likafumukaAlitukanwa, pressure ikapanda mapigo ya moyo yakaongezeka, damu ikaenda kwa speed! Lakini mshono (kidonda) bado kibichi - mshono ukashindwa kuhimili speed ya damu ukaachia!
Je! Ulitaka aseme hayo ndo uelewe? Mimi nalaumu elimu yetu na lishe kabla ya kufikisha miaka mitano, siyo wewe!
Vijana wengi lishe imekuwa taabu utotoni akili zimedumaa! Uelewa ni mdogo sana. Bahati mbaya hawahawa ndio watakuwa (viongozi) wetu!
TATIZO YULE MWANAMKE PALE IKULU ANAHARIBU SANA, uendeshaji wa nchi kwa kujidai MWANAMKE MWENZAKE AGUSWI HATA AKIKOSEA.Hivi NCCR inahitaji nguvu kubwa hivi kukiuwa?
imagine angekutana matusi ya barozi slow slowAu angekutana na jiwe akaambiwa "haya kakae na mavi yako nyumbani", nadhani angeenda kushonwa upya hapohapo.
Au utopolo wa uvccm angehara DamuNinajaribu kutafakari iwapo angekutana na matusi ya BAVICHA hali ingekuwaje!
Nchi ya hovyo sana hii. Sheria zimetupwa.Hivi NCCR inahitaji nguvu kubwa hivi kukiuwa?