Martha Koome mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu Afrika Mashariki

Martha Koome mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu Afrika Mashariki

At last Kenya is waking up after a 3:0 defeat by Tanzania for Speakership, vice /deputy Presidency n Presidency! Congratulations slumber!
 
Nashangaa Malazy wanajua majina ya majaji wetu ikiwemo Maraga, Mutunga, Philomena na mwingine ametaja wakili The grand Mullah. Hehe yaani na mimi sijui jina la Wakili au Jaji hata mmoja kutoka Lazyland.
 
Tume ya kupitisha jina la atakayekuwa Jaji Mkuu wa Kenya baada ya kuisha muda wa Jaji mstaafu David Maraga imepitsha jina la Jaji Martha Koome kuchukua nafasi hiyo.

Koome anakuwa mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu nchini Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla.

Si haba, akina mama wanazidi kupanda ngazi. Karibu justice Koome.


View attachment 1765752
Bado process haijakamilika Ndugu..

Sass jina lake linapelekwa kwa Rais nae ana kura yake..

Halafu jina linapelekwa Bungeni kupigiwa kura/endorsement..

Akikataliwa, vetting process inaanza upya..

So kwa sasa Lady Justice Martha Koome emepedeekezwa tu ..bado ana viunzi viwili vya kupita ili kuwa CJ.
 
Hongereni jinai,

Lakini bado sana mna safari ndefu mpaka na nyie siku mje toa Makamu Rais Mwanamke na Rais Mwanamke kama TZ.
Nyinyi watu mna taasubi za kiume za hali ya juu. Nyinyi hamjawahi kumchagua rais mwanamke. Huyu Samia hajachaguliwa kuwa rais na wananchi. Wananchi walimchagua kuwa makamu wa rais ila katiba inamruhusu kuwa rais ikiwa Rais atafariki. Subiri hadi Watanzania wampigie kura kama mgombea rais halafu mumchague yeye ili uje hapa kujipiga kifua. Hata Malawi kulikuwa na naibu rais aliyechukua usukani wakati rais alipokufa lakini wakati wa uchaguzi mkuu ulipofika, Wananchi wa malawi hawakumchagua. Walichagua mwanaume. Kuna mwanamke mmoja tu katika historia nzima ya Africa aliyegombea urais na kupigiwa kura na wananchi wake. Huyo mwanamke anaitwa Hellen Johnson Sirleaf wa Liberia.
 
Nyinyi watu mna taasubi za kiume za hali ya juu. Nyinyi hamjawahi kumchagua rais mwanamke. Huyu Samia hajachaguliwa kuwa rais na wananchi. Wananchi walimchagua kuwa makamu wa rais ila katiba inamruhusu kuwa rais ikiwa Rais atafariki. Subiri hadi Watanzania wampigie kura kama mgombea rais halafu mumchague yeye ili uje hapa kujipiga kifua. Hata Malawi kulikuwa na naibu rais aliyechukua usukani wakati rais alipokufa lakini wakati wa uchaguzi mkuu ulipofika, Wananchi wa malawi hawakumchagua. Walichagua mwanaume. Kuna mwanamke mmoja tu katika historia nzima ya Africa aliyegombea urais na kupigiwa kura na wananchi wake. Huyo mwanamke anaitwa Hellen Johnson Sirleaf wa Liberia.
wewe pumbavu kweli aligombea kama mgombea mwenza na mpiga kura yeyote aliyepigia kura CCM Urais alijua uwezekano wa Samia kuwa Rais na isitoshe 2025 atagombea tena! Nyie mko nyuma EA kwa equal opportunity for all! Mna gender imbalance ya hali ya juu! Hata baraza lenu la Mawaziri lina wanawake wachache kama Mawaziri! Usianze ubishi! Hata kuchaguwa CJ kama Samia asingekuwa kawa rais sidhani kama huyu wenu angekuwa considered! Sisi tushakuwa na Speaker mwanamke Makamu Rais Mwanamke pia nyie ndo mnaanza saahii!
 
wewe pumbavu kweli aligombea kama mgombea mwenza na mpiga kura yeyote aliyepigia kura CCM Urais alijua uwezekano wa Samia kuwa Rais na isitoshe 2025 atagombea tena! Nyie mko nyuma EA kwa equal opportunity for all! Mna gender imbalance ya hali ya juu! Hata baraza lenu la Mawaziri lina wanawake wachache kama Mawaziri! Usianze ubishi! Hata kuchaguwa CJ kama Samia asingekuwa kawa rais sidhani kama huyu wenu angekuwa considered! Sisi tushakuwa na Speaker mwanamke Makamu Rais Mwanamke pia nyie ndo mnaanza saahii!
Pumbavu ni wewe. Nangoja ile siku mtampigia yeye kura kama mgombea rais. Magufuli ndiye alikuwa mgombea 2015 na 2020. Wacha 2025 ifike agombee urais tuone kama atachaguliwa
 
Pumbavu ni wewe na nyanyako. Nangoja ile siku mtampigia yeye kura kama mgombea rais. Magufuli ndiye alikuwa mgombea 2015 na 2020. Wacha 2025 ifike agombee urais tuone kama atachaguliwa
Naona mna-learn the ropes on gender balance from Tanzania!

Here are the scores inasome


Tanzania 3 ( Lady President, deputy/vice President, speaker) : 1 (Lady Chief Judge) Kenya
 
Naona mna-learn the ropes on gender balance from Tanzania!
Hellen Johnson Sirleaf ndiye the only woman who has campaigned as a presidential candidate and been elected. Katika historia ya Africa kuna wanawake wengi sana ambao waligombea urais lakini wote walishindwa isipokuwa Hellen Johnson Sirleaf aliyechaguliwa mara mbili na raia kwenye ballot box. Rais wanawake wa Tanzania na Rais wa Malawi wamekuwa rais tu kwa sababu ya janga ila wao hawakuchaguliwa na wananchi kuwa rais.
 
Naona mna-learn the ropes on gender balance from Tanzania!

Here are the scores inasome


Tanzania 3 ( Lady President, deputy/vice President, speaker) : 1 (Lady Chief Judge) Kenya
Halafu mama Samia hajawahi kugombea urais. Yeye alichaguliwa na Magufuli kuwa mgombea mwenza maanake yeye ni deputy wa Magufuli. 2025 ndio itakuwa mara ya kwanza mama Samia kugombea urais.
 
Fafanua kuhusu huyo msomali mkuu
[https://eafeed-com]

Grand Mullah Biography, Age, Career, Source of Wealth, Wife, Net Worth

Homepage

People Kenya

[data:image/svg+xml;charset=utf-8,<svg height="439px" width="640px" xmlns="http://www][https://eafeed-com]
Ahmednasir Abdullahi (Grand Mullah). IMAGE: Daily Post

Grand Mullah Biography

Ahmednasir Abdullahi commonly known as Grand Mullah is one of Kenya’s wealthiest vocal lawyers. He is always quick to comment and air his opinions on matters justice and national issues. Apart from being a renowned lawyer, Ahmednasir is also a writer, a publisher, a columnist and a businessperson.

Grand Mullah Nickname meaning by Chief Justice Dr. Willy Mutunga

Many people are always asking where the name Grand Mullah came from. According to Ahmednasir, CJ Dr.Willy Mutunga christened him the name Grand Mullah during the Judicial Service Commission (JSC) in 2014 because of how knowledgeable he is on matters Islamic and Constitutional Law.
However, people always thought that the name was linked to his wealthy lifestyle since he is always arriving in flashy cars. Others even linked the name to him being a ‘Godfather’. Ahmednasir was quick to state that the name had nothing to do with his wealth.

Grand Mullah Age, Birthday, Place of Birth, Tribe, Nationality and Religion

Ahmednasir Abdullahi is a Kenyan renowned lawyer and columnist that was born in Mandera, Kenya. Grand Mullah is a very Staunch Muslim from the Kenyan Somali community.

Grand Mullah Family, wife, children

Ahmednasir is married to his beautiful wife and together they are blessed with four children, with a set of them, the last two, being twins. His eldest child is 14 years old.
READ: Otiende Amollo Biography – Net Worth, Age, Education, Family, Contacts

Grand Mullah Education Background

Ahmednasir went to Mandera Primary School for his primary education. He then proceeded to Nairobi School for his secondary education after which he went to the University of Nairobi to study law. Grand Mullah graduated from the University of Nairobi in 1990 after which he went in Cornell University to do Masters in Law. He also graduated from the same university with a Master’s Degree in Law in 1992.

Grand Mullah Career Background and Businesses

Ahmednasir has always been so passionate about making it in life. As a little boy in the small dusty town of Mandera, he spent much of his time selling in his dad’s shop that was situated at Mandera town. Slowly but surely, he found his way out of Mandera and into the big city of Nairobi to venture into media and law.
In 1993, Ahmednasir had ventured into the law firm business with just Kshs. 7,000. In 2017, Grand Mullah partnered informing First Community Bank. He has also consulted and appeared for the World Bank, UNHCR, various Corporations as well as the Government of Kenya on certain issues. This clearly shows that Ahmednasir is a Jack of All Trades.
He became a publisher of the Nairobi Law Monthly, which is a magazine that gives highly opinionated law and political voices a new place to sound off. It is barely six months later and the magazine currently has 4 issues out.
The magazine attracts so many readers who are interested in delving deeper into political issues and the current state of affairs. It also gets to showcase advertisements from the national government, something that keeps it growing by the day. Ahmednasir Abdullahi also works as a columnist on the Sunday Nation newspaper.

Grand Mullah Lawyer

Ahmednasir Abdullahi is undeniably one of the most controversial lawyers that Kenya has ever had. He stands by his word and makes no apologies. According to him, people think that he is an arrogant and aggressive person who is always utterly objective. He, however says that, he is very open about what he says and does and has never wanted to be anyone but himself.
Ahmednasir has been hated by some people in power for being very vocal. He claims that money has never been and will never be his box to tick when it comes to inspiration behind his career. Ahmednasir likes cases where he gets to show the rich and powerful people involved that justice will triumph.

He has previously differed by Murkomen on political matters. ‘Murkomen is my friend. He is a baby. He is a good guy with great ideas. You know people thought that I fought Shollei as well but I never did. The system did,’ said Ahmednasir. He also had recent wounding comments to the Interior Cabinet Secretary, Joseph ole Lenku.

Grand Mullah Money

Ahmednasir is currently one of the richest lawyers in Kenya. He is always quick to state that the late Mutula Kilonzo taught him in the early 90s while in School of Law that the more you charge a client, the more they love you. Judging from how he flaunts his riches, you can tell that Grand Mullah lives by these words.

Grand Mullah Law Firm

Ahmednasir Abdullahi co-owns the Ahmednasir, Abdikadir & Company Advocates, which represents clients in all facets of law. The company has strategic litigation, experienced attorneys, multidimensional complex challenges, experience, contact and influence, trial capacity and practical insight as well as skill set and breadth of experience. The company has tackled a number of big cases in the country.

Grand Mullah Suits and Clothes

If you claim that people can hardly dress well, then you are yet to meet Ahmednasir. He always makes sure that he shows up looking spick and span, almost always suited up in designer suits. His greatest extravagance is clothes, which are his suits, shirts, shoes and ties. When he travels around the world, his shops. He collects clothes as souvenirs, always reminding him of where he has been.
He clearly is into labels where most of his jeans and suits are by Brioni. According to Grand Mullah, clothes maketh a man, hence he treats people based on how they dress. For him though, he dresses for himself and he becomes more confident when he is well suited up.

Grand Mullah Donald Kipkorir

The bromance between Ahmednasir Abdullahi and Donald Kipkorir became shaky once Donald accused Ahmednasir of betraying him by siding with Tom Ojienda. Donald went ahead and penned an open letter to Ahmednasir, stating his disbelief. He posted it on facebook, demanding for answers from his ‘friend’.

Grand Mullah Cars

The flamboyant lawyer owns a fleet of flashy cars such as Bentley Bentyaga, Toyota Landcruiser, Porsche Cayenne, G Wagon and Land Rover Discovery. He recently spent about ksh.20million on his new ride, the Mercedes Benz AMG G63.

Grand Mullah Quotes

‘The President does not have people who support him and implement his agenda. He is a one man army; a general without soldiers.’ He said this during his live interview on Jeff Koinange Live.

‘Raila is the most consequential leader in Kenya in the last 2 decades. He creates the narrative, the chaos and the peace. He is more consequential than the last 2 presidents we had in terms of him making history either for the right or wrong reasons’ He also said this on JKL live.

‘If Uhuru wanted to leave a proper legacy, he would have added law and order.’ –JKL .

Grand Mullah Net worth

Ahmednasir is one controversial person who lives a very flashy lifestyle. Apart from the fleet of flashy cars he owns, he wears a watch that costs about Kshs. 1 million and writes with a Montblanc pen that is worth about Kshs.42,000. Grand Mullah’s current net worth is over Kshs. 252 million.

Recent Posts

Citizen TV Empire of Lies Full Cast, Actors, Characters, Episodes
Empire of Lies (Imperio De Mentiras) Citizen TV Episodes summary Empire of Lies, translated as…

18 hours ago



Best Digital Educational Tools for Interactive Teaching Online
We are living in a world of technology, and it is everywhere these days in…

4 days ago



Ibraah Biography, Age, Education, Album, Songs, Girlfriend, Net Worth
Ibrahim Abdallah Nampunga popularly known as Ibraah is a Tanzanian fast-rising songwriter and singer. Currently,…

4 days ago



Retha RSA Biography, Age, Career, Education, Dances, Net Worth
Retha RSA Biography Real Name Retha RSA (born Rethabile Mokgatla) is one of South Africa's…

4 days ago



Brenda Wairimu Biography, Career, Personal Life, Family and Net Worth
Brenda Wairimu Biography Kenya's talent base is greatly diversified with a huge shift from past…

5 days ago



Purity Mwambia Biography, Age, Career, Salary, Husband, Net Worth
Purity Mwambia is a Citizen TV Investigative Reporter well known for her exposés. Her investigative…

5 days ago



Chris Embarambamba Biography, Career, Net Worth, Songs, Family, Wife
Chris Embarambamba (born Christopher Nyangwara Mosioma) is a Gusii gospel music and internet sensation. His…

5 days ago



Mbosso Biography – Age, Education, Girlfriend, Songs, Net Worth
Mbosso Biography Joseph Kulungi famously known as Mbosso is a Tanzanian love song singer and…

6 days ago



Simba Arati Biography, Age, Real Name, Career, Family, Net Worth
Paul Simba Arati is a Kenyan politician in the Orange Democratic Movement and a member…

1 week ago



Mc Oluomo Biography, Net Worth, Age, Career, Education, Wife, Family
MC Oluomo (born Ayinde Musilu Akinsanya), The Richest Agbero, as many refer to him is…

1 week ago



Destiny Etiko Biography, Net Worth, Age, Career, Education, Husband
Award-winning Nigerian actress Destiny Etiko is a creative who is climbing up the ranks in…

1 week ago



Coco Soboo Moto Biography, Real Name, Career, Education, Net Worth
With a broadly recognizable raspy voice and infectious hearty laughter, JahSeed alias Coco Soboo Moto…

1 week ago

DMCA Policy



Privacy Policy



Contact us

Eafeed LLC [emoji2398] 2019 | All Rights Reserved | View Non-AMP Version
This website uses cookies.
Accept



 
Halafu mama Samia hajawahi kugombea urais. Yeye alichaguliwa na Magufuli kuwa mgombea mwenza maanake yeye ni deputy wa Magufuli. 2025 ndio itakuwa mara ya kwanza mama Samia kugombea urais.
Wewe huko Kunyaland lini mmekuwa na deputy/vice President hata wa kuteuliwa? kwa hiyo hakufanya kampeni kugombea Umakamu Urais na Urais kwa CCM?

Ndo maana nakuambia una ufalamanga mwingi huwa huna facts! FYI mama Samia kashawahi kuwa Mbunge wa Kuchaguliwa na Waziri pia



 
Fafanua kuhusu huyo msomali mkuu
Ahmedir Nasser kama sijakosea ni mwanasheria kihiyo lakini kwa kutumia pesa za Alshababu amefanikiwa sana kimaisha kwa kutumia hizo pesa kuwahonga majaji,wanasheria na watu wa vyombo vingine vya sheria, kila kesi ya mabilioni utamkuta yupo na kila kesi anashinda kimagumashi na si kwa weledi wake
 
Back
Top Bottom