Martha Mwaipaja atoboa siri sakata la Rose Muhando

Hakuna namna Wanasheria wanaweza msaidia Rose? Huyo Nathan ni shetani kabisa.
Mimi nadhani Nathani sio wa kulaumiwa, Rose Mhando sio mtoto mdogo kiasi cha kufanyiwa hayo huku akiangalia tu, hivi inakuchukua muda gani kugundua kwamba mtu unaefanya nae kazi anakutumia na anakudhulumu ?, Rose aliwahi kufanya makosa ya maadili yeye kama muimbaji wa Injili Viongozi wa dini wakamuonya, badala ya kujihoji akawa antoa majibu ya dhihaka na kejeli kwa wale waliokuwa wanamshauri, kumbe angeweza kujishusha na kutafakari maneno ya washauri kwani walikuwa wanamtakia mema, yeye kwa ujeuri ya hela alizokuwa nazo akawaona hawafai, lakini mtu anawezeje kukutumia Kimapenzi bila utashi wako ?, Jibu ni kwamba alipenda mwenyewe, mtu anawezaje kukuvutisha madawa ya kulevya na wewe unaangalia tu, Jibu ni kwamba alipenda, Biblia inasema Shetani hawezi kukuingia mpaka pale utakapokuwa Umemruhusu, Shetani huwa anajaribu mtu, ukikubali kujaribiwa anakuingia, Rose alitahadharishwa na watu kwamba huyu Mdhamini wako sio mtu mzuri hakutaka kusikia, kwa hiyo tusijikite kuonesha kwamba Rose ameonewa hatutamsaidia, angekuwa msikivu angeepuka haya.
 
Ulokole huu. hlf anaimba kumtukuza Mungu. Bora angehamia bongo fleva
 
My God, it real hurt!!Yesu mtetezi mkuu asimame katika hili' lililo kusudio lake likapate kusimama, nilikuwa nalaumu sana mara nyingi Rose alikuwa anawekewa pesa aje ibadani haji more than 3 times,kumbe ni haya!!daah
Asa hapo alikua anafuata ibada au pesa?
 
Hapo kweli kabisaa yani wamefeli, inshort mapenzi na mafanikio yaliwalevya
 
Sio waimbaji wa injili ndio wamechukua nafasi ya shetani Bali wanadamu ndio wamechukua nafasi ya shetani.Mwanadamu aliumbwa baada ya lucifer/shetani kumuasi Mungu!
 
Ongeza na nyankundo
 
Kwasababu alikuwa hana nuru ya usoni na ngozi kumbe madawa ya kulevya ila hii issue ya madawa nilisikia kitambo sana
Pole zake Rose ila Msama wewe umeokoka na mkeo Nini kumtumikia shetani na huyo Nathani mnamtumia dada wawatu kubeba unga nyie mnajidai mnatajirika na kuuza nyimbo za dini
 
Utafikiri kuna mahali pameandikwa ukiwa house girl hutakiwi kufanikiwa kimaisha ukawa tajiri. Kuna wazulumati duniani kuliko matajiri au masikini atakudhulumu nn cha maana?
 
sikunya kwanza namuona huyo dada rose akicheza anazungusha kichwa kwenye video zake nilijua awezi kukoswa pepo.
sasa mapepo yameamua kuchonganisha watumishi.
 
 
Kati ya watu ambao tangu niwafahamu nawaona ni Matapeli Mchundo ni huyo Makengeza MSAMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…