Martha Mwaipaja atoboa siri sakata la Rose Muhando

Kabisa mkuu
 
Huo mwaipaja na yeye itakuwa ni wale wale tu ,'" ndege wa fananao .. story yake imejaa chai mno ..full uwongo
 
Huyo mwaipaja na yeye itakuwa ni wale wale tu ,'" ndege wa fananao .. story yake imejaa chai mno ..full uwongo
 
Tusipende kuhukumu haukuna mkamilifu, hata Rose naye ni mwanadamu. Tusiruhusu shetani atuongoze kwenye maisha yetu matokeo yake ndo kama hayo ya Rose
 
Sorry siyo kila mwanamke hilo nakataa. Huyu Nathan ni mtoto wa tajiri mmoja Dodoma mzee Mwaluganje sijui kama bado yupo hai. Je huyu siyo Rose aliyekampeinia CCM 2015 hata baadaye kila mara anaonekana kwenye matamasha ya mr. pombe?
 
Now your talking, sasa mwanzo ulipokuja na kontena la lawama hukujua kama lengo la huu uzi ni kuufahamisha umma juu ya hali ya mpendwa wetu ili apate msaada?

Na mimi niliongea hayo sababu aliyoyapitia nayajua nimeshaona wanamuziki wengi wakiangukia pua sababu ya fitna mbalimbali,
Kiwanda cha Music na Filamu duniani kote hua na fitna sana na mwisho wa siku msanii huishia kwenye madawa au kujiua.
 
Me mwenyewe hiyo skendo ya madawa niliambiwa kitambo ila sikutaka kuiwekea kipaumbele nilijua labda ni bangi tu ila atakua sawa.
Na wanamuziki weng stress ndio hupelekea kuanza kutumia madawa au maadui zao huwachanganyia kidogo kidogo kwenye vinywaji ili apotee kwenyee game, haya mambo yapo sana basi tu.
 
Kwani rose alishawahi kuwa mlokele..yeye ni msanii tu sema aliona fursa kupitia nyimbo za injili.
 
Ila Martha nae alishindwa kabisa kumuokoa mwenzie kabla mambo hayajafikia yalipofikia sasa ...wanawake bana
 
Siupendi uongo. Eti stress ndo ule unga ?!? Hii ni kuhalalisha dhambi . Rose Muhando ni dhaifu hata kabla ya kuingia mziki wa Injili. Huko kwenye dini wamejificha waovu tupu. Tumruhusu Mungu afunue hakuna excuse ya MLA unga hivyo Nathan asilaumiwe.
 
Wakati hayo yakiendelea.......

Upande mmoja


Upande mwingine

 
Aliyeongea siyo Martha mwaipaja,,,nadhani ni Martha baraka
 
Wakuu nimefanikiwa kuzipandisha clips za Martha Mwaipaja akisimulia sakata la Rose Muhando kwenye Uzi huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…