hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Kabisa mkuuHadithi hii umeegemea upande mmoja wa shilingi na hivyo huyo Nathan anabebeshwa lawama zote.. ..!kana kwamba Rose kalikuwa ni katoto kadogo under 18 hakajui madawa ya kulevya ni mabaya,kuzini tena na mume wa mtu ni dhambi,n.k..!embu acheni unafiki.Mtu huvuna anachokipanda hata kama ulipanda gizani.