Martin Kadinda na mkewe, mashallah

Martin Kadinda na mkewe, mashallah

tatizo la watz mnasilkiliza maneno ya kusadikika hiyo ni dhambi kubwa kumzushia mtu uwongo
Naungana nawewe kuwa:

Kuna watu wengi wanajichumia dhambi ya kusingizia au kushabikia uongo hasa hilo la kuwaita watu mashoga bila evidences.

Labda kama ni kweli mshkaji ni shoga.
 
muulize huyo screpa ninini kilichomleta pm kwang kunitongoza ndo nikamtimua nikwambia mm sihusiki na mambo ya ushoga sasa kaamua kuja kunichafua humu nakwambie evidence zipo nitapiga screen shot hizo message nizirushe km hajaumbuka hapa
Haha wewe sema unatataka nije PM nikutongoze, kumbe ndo style yako ya kupata mabasha?Sawa usijali nitakuja😀😀😀
 
Naungana nawewe kuwa:

Kuna watu wengi wanajichumia dhambi ya kusingizia au kushabikia uongo hasa hilo la kuwaita watu mashoga bila evidences.

Labda kama ni kweli mshkaji ni shoga.
WEWE ULISHAWAHI KUMUONA MARTIN KADINDA?
 
Back
Top Bottom