Martin Maranja Masese amchambua Hayati Magufuli (JPM) mwanzo mwisho

Yes tunaujuaji mwingi sometimes, Lakini kwa namna suala la Covid 19 alivyolisimamia JPM,angeamua vinginevyo hali ungekuwa mbaya sana hasa mji kama DSM ambapo asilimia kubwa Baba akitoka, familia nyumbani ndiyo wanapata chakula.Tuwe wakweli kuna mazuri mengi na mapungufu hayawezi kuepukika,leo Bureau de change zipo kila kona,ila ukienda hata dollar mia hupati,ukiuza wananunua,ila wao wanaenda kuuza Black market,leo Kkoo bila 2850 hupati.Jpm alipozifunga, dollars hadi elf 20 Bank walikuwa wanatoa......... Yes kwenye kuziondoa inawezekana haukuwa utaratibu mzuri ila uwepo wake ni kaa la moto,kila siku zinaota kama uyoga,ila wanaficha kwaajili ya black market............. JPM alifanya mazuri pia,tusiwe negative tu kila Uzi.
 
Magulification will go on.

Kaza buti, tembea kifua mbele, chapa kazi, ujiamini na uyafanyao. Afrika huru inawezekana. Tanzania huru inawezekana.

Ndio, Magulification will go on.
Jiwe alipendwa na watu wenye akili kama wewe, sasa jiulize wewe una akili za namna gani
 
Kama MMM hajakana haya
1. Kumpa ujauzito binamu yake
2. Kuingiziwa hela ya Uchawa kwenye akaunti
Basi hana Moral authority kukemea chochote ni wale wale wanaotumia fursa za kujifanya wanaharakati kumbe wanatafuta chakula tu.
Ni sawa na yule ambaye alikuwa na kesi Zenji
 
Nyumbu wa CHADEMA na CCM siku wakipevuka hii nchi labda ndio itapata ukombozi halisi. Anahitajika JPM mwingine kwa miaka 20 iajyo ili taifa liweze kusonga mbele na kuachana na sera zisizo na kichwa wala miguu kama zile za 50/50
Hahahah rais wenu wanyonge alipitiwa na Corona
 
nakumbuka shule kuna watu walikua wanajua anandika essay kurasa mbili tu halafu anakimbiza kwenye matokeo huyu mjomba ameandika uzi mrefu najua ndani kutakua na pumba tu, na mahaba huu lazima uzi wa mapenzi, au chuki, mliosoma mnikosoe? jpm alikua jembe wewe haijalishi alimuumiza nani.
 
Mbona hajaandika mazuri yake ili stori yake iwe na uzani uliokamilika!
 
Maelezo mengi hayana tija nenda mahakamani Mbowe amepokea mab ya ruzuku kaenda kujenga machame hata wafanyakazi wa gazeti hajawalipa!
Kama imekuuma sana nenda kawalipe wewe, kwani Sukuma gang mbona mnaumia sana
 
Mnapenda maisha ya kimama sana, natamani sana tupate Rais atakae mzidi JPM kwa kila kitu ulichoorodhesha kwenye bandiko lako hii nchi ndio itakomboka vinginevyo tutabaki kifala hvhv
 
Huyu hamna kitu , ukitaka kujua hamna kitu weka ubaya wa Mbowe katika Chama chake

Hivyo huyu ni Chawa wa Mbowe kama walivyo Chawa wa Mama huko CCM
Acha uongo....mbowe ana ubaya gani uweke hapa.
 
Kuwa makini aisee, yaani binadamu mwenye akili timamu unasema kuwa unahitaji kunyooshwa! Angalia usije nyooshwa kweli kweli, lakini uchaguzi ni wako kama ulikuwa unahitaji kinyooshwa pia ni uchaguzi wako
 
Magufuri alishaondoka huyu mama kwenye uchaguzi hatofanya tofauti na Mtangulizi wake badala ya kushughulika naye kabla ya uchaguzi mnaangaika na marehemu
 
Upuuzi mtupu. Ni vigumu sana kuandika uongo mrefu kiasi hicho kuhusu magufuli. Utakua mtu umeathirika kimaadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…