Nadhani sasa utakuwa umeona dizain ya watu wa Jiwe. Hata busara kidogo hakunaVp khs mimba aliyokuachia huoni wema kwenye hilo mana sasa una mtoto kwa jina la JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani sasa utakuwa umeona dizain ya watu wa Jiwe. Hata busara kidogo hakunaVp khs mimba aliyokuachia huoni wema kwenye hilo mana sasa una mtoto kwa jina la JPM
Yaani wewe huna akili mpaka ukapewe ujasiri wa kukataa chanjo na mwanaume mwingine tena Jiwekipindi cha jiwe nchi yetu ilikua donor country, tuliwapa msumbiji msaada na malawi, kipindi cha jiwe tuliwatikisa wazungu jiwe alinipa ujasiri wa kukataa chanjo za mchongo, jiwe ni jiwe.
Kusemwa lazima asemwe milele ili isijetokea tukapa kiongozi kama yule tena. Vizazi vyote lazima vijue hiloKufilia mbali. Jamaa ameshakufa hata usemeje hakusikii😎
Sasa wewe myonge endelea kuwaza tumbo la jirani yakoAsante sana muuliwaji , Ujinga wa nchi hii upo kwa watu kama ww yan hlo halipingwi, watu mnawaza mitumbo yenu tu wapuuz wakubwa mnajficha kwenye kivuli cha democracy 😁
So unakili kuwa wewe unauwezo mdogo kuliko Jiwe?jiwe alijenga masoko nchi nzima jiwe alijenga hospitali za mikoa nchi nzima jiwe alifukuza watu waliochongesha vyeti jiwe amejenga sgr jiwe kajenga bwawa la umeme la kihistoria, jiwe kajenga stendi nzuri za mabasi nchi nzima mimi kama mtanzania mawazo yangu binafsi jiwe angekuepo ningemruhusu ajilimbikizie mali anazotaka kama gadafi, wakati wa jiwe nilienda hospitali nilihudumiwa kama niko uk, jiwe amelala nimeenda tena hospitali nimehudumiwa kama niko somalia, jiwe ni jiwe. jiwe namfananisha na putin mwanaume lazima uwe na misimamo.
Mimi ninachomaanisha ni kuwa usijisifie unyonge hata kama uko daraja la chini. Pambana utoke huko. Ukishindwa kutoka huko ila umepambana basi hayo ni matokeo tu. Swala la kujiita mnyonge siyo zuri utabaki kuchukia matajiri tuDemokrasia na maridhiano vimefanya sukari iwe shilingi ngapi? Namudu maisha yangu sijisifii unyonge ila ninafahamu kuna wanyonge wana haki pia ya kupata nafuu ya maisha, kuwa daraja la kati kimaisha kusikufanye usahau walio chini yako
Utakuwa rais wa magasho wenzioSiku nikiwa rais wa nchi hii nitamfuta kwenye kumbukumbu za serikali asitambulike tena kama mtu aliyewahi kuhudumu kama rais wa nchi hii
jiwe alikua kidume na nusu, wewe kwanini nijifananishe naye mimi ni mimi niko nyuma ya keyboard yeye aliwanyosha vibaraka wa magasho mchana kweupe mafisadi walisota rumande, ila jiwe aliwafundisha wapinzani kupambana sio kulia lia kutafuta huruma ya wananchi bila kupambania wanachotaka.So unakili kuwa wewe unauwezo mdogo kuliko Jiwe?
jiwe alikua anatembea kwenye maono yangu mimi niligoma chanjo ya mabusha nikiwa high school miaka hiyo, kabla ya jiwe kua presidenti na sina busha hadi leo lakini jpm aliokoa wengi kwanza alitutoa woga na makorona watu wachache walipotea tz na wengi sababu ya magonjwa mengine hasa ugonjwa mkubwa ulikua ni woga sio kingine.Yaani wewe huna akili mpaka ukapewe ujasiri wa kukataa chanjo na mwanaume mwingine tena Jiwe
Kumsema ni sawa na kumfufua, hii ni kuthibitisha wazi kuwa hajafa na ndio maana mmechagua kumsema. Atakuwa amekufa pale tu mtakapo sitisha kumsema.Kusemwa lazima asemwe milele ili isijetokea tukapa kiongozi kama yule tena. Vizazi vyote lazima vijue hilo
Mkuu ulipotelewa wapi?Ulikuwa malaya sana wa KISIASA enzi za JPMWewe unayesubiri kufa kwa nini unahangaika na mtu aliyekwishakufa miaka mltatu iliyopita?
Hahhaa......sijui waliomuunga mkono Magu walikuwa wanafikiria nini au ndio akili za Watanzania wengi.Brainwashed ukabakia na bichwa komwe!
Nini maoni yakoMartin bana, too funny!
😅😅 Linalalamika lilitekwa likauliwa 😅Sasa wewe myonge endelea kuwaza tumbo la jirani
Wapi nimelalamika kuwa nilitekwa? Dah aisee kuna wazazi wana hasara. Nilikuwa najiuliza wafuasi wa Jiwe wanatoka wapi, kumbe ni watu kama wewe😅😅 Linalalamika lilitekwa likauliwa 😅
Yaani kwa uovu ule aliotenda unataka aachwe kusemwa? Nduli Amin mpaka leo anasemwa na ndiyo itakavyokuwa kwa JiweKumsema ni sawa na kumfufua, hii ni kuthibitisha wazi kuwa hajafa na ndio maana mmechagua kumsema. Atakuwa amekufa pale tu mtakapo sitisha kumsema.
Hivi hujui kuwa kumsema JPM unazalisha mbegu nyingine ya JPM mpya?
Siku akiibuka JPM mpya ndio utaelewa ninachokwambia.