Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Vp khs mimba aliyokuachia huoni wema kwenye hilo mana sasa una mtoto kwa jina la JPMHakuna jema alifanya kwa faida ya nchi. Yeye ndiye mwanzo wa zao la watu kama Bashite na Saambaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp khs mimba aliyokuachia huoni wema kwenye hilo mana sasa una mtoto kwa jina la JPMHakuna jema alifanya kwa faida ya nchi. Yeye ndiye mwanzo wa zao la watu kama Bashite na Saambaya
Ccm ni ile ile mafisadi wa Magufuli ndio wale wale mmebaki mnalalamka tu.Demokrasia na maridhiano vimefanya sukari iwe shilingi ngapi? Namudu maisha yangu sijisifii unyonge ila ninafahamu kuna wanyonge wana haki pia ya kupata nafuu ya maisha, kuwa daraja la kati kimaisha kusikufanye usahau walio chini yako
kipindi cha jiwe nchi yetu ilikua donor country, tuliwapa msumbiji msaada na malawi, kipindi cha jiwe tuliwatikisa wazungu jiwe alinipa ujasiri wa kukataa chanjo za mchongo, jiwe ni jiwe.Baada ya hayo yote umaskini wako Umeisha?
Umaskini na Roho mbaya ni pete na kidole
Na cha ajabu hadi Mungu alimpenda na kumfunulia kwamba hatoponaNashangaa san hata viongozi wa dini wameingia katika mkumbo wa kusifia watawala aina ya Magufuli.
Siku hizi ni bora kusali nyumbani kwako au chini ya mti.
Mlishindwa kutoa msaa kagera- Donor kantri mavikipindi cha jiwe nchi yetu ilikua donor country, tuliwapa msumbiji msaada na malawi, kipindi cha jiwe tuliwatikisa wazungu jiwe alinipa ujasiri wa kukataa chanjo za mchongo, jiwe ni jiwe.
Sawa, mkivimbiwa mchele wenye virutubisho msisahau kutoa salamu za pongezi kwa mama KizimkaziCcm ni ile ile mafisadi wa Magufuli ndio wale wale mmebaki mnalalamka tu.
Mtakoma s/gang muamue kuacha uovu muishi kwa amani.Sawa, mkivimbiwa mchele wenye virutubisho msisahau kutoa salamu za pongezi kwa mama Kizimkazi
Jiwe hakuleta tetemeko wale kule si wanajisifu wanazo pesa na usomi unadhani jiwe hakusikia dharau zao aliwanyosha jiwe alikua kidume ukizingua alikua anakuzingua mara 100 na jiwe alitaka wathibitishie uma wa watanzania kua wao ni wasomi na wana hela aliwanyosha unacheza na jiwe.Mlishindwa kutoa msaa kagera- Donor kantri mavi
Hiyo ni tabia za wagonjwa wengi. Hasa wale wenye dhambi. Hujatubu ukiwa mzima haisaidii kituNa cha ajabu hadi Mungu alimpenda na kumfunulia kwamba hatopona
Na akawaita watumishi wa Mungu wamemuombee kipindi anakaribia kufa
Mungu atukuzwe
Punguza chuki na makasirikoHiyo ni tabia za wagonjwa wengi. Hasa wale wenye dhambi. Hujatubu ukiwa mzima haisaidii kitu
Hao aliowaita sasa wazee wenyewe😄Punguza chuki na makasiriko
Kama wewe ulimchukia Basi Mungu Alimpenda zaidi. Na mimi na wewe tuombe kifo chema ndugu Yangu
Soma hili andiko la YAKOBO
14 Je, kuna mtu miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi awaite wazee wa kanisa wamwombee na kumpaka mafuta katika jina la Bwana. 15 Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa huyo na Bwana atamwinua. Kama ametenda dhambi, atasamehewa.
Heshimu imani ya Watu hiyo ni BibliaHao aliowaita sasa wazee wenyewe😄
Acha kuchanganya siasa na diniHeshimu imani ya Watu hiyo ni Biblia
Kama wewe ni imani tofauti jaribu kuheshimu imani ya watu tukaanza kukejeli dini humu tutafika mbali sana
Sawa JKAcha kuchanganya siasa na dini
Brainwashed ukabakia na bichwa komwe!MAJIZI YA VYETI mkae nyumbani sasa, tumewachoka na masimango yenu dhidi ya shujaa Magufuli.
Tupe uongo kwenye hili bandikoAmeeleza Mengi! U7
Ameeleza Mengi ya kumsagia Hayati Magufuli kunguni,itachukua miaka 100 Tanzania kupata Rais bora kama Shujaa MAGUFULI niko chato kwenye kumbukizi ya huyu MWAMBA kuwahi kutokea kuiongoza Nchi kwà mafanikio Makubwa
Enzi za mkapa 750 kwa kiloEnzi hizo sukari ulikua unanunua shilingi ngapi kwa kilo??
Kumbe huyo na huyu ni WALE WALE tu sasa ujasiri wa kukemea mwenzake unatoka wapiKuna yule alizaa na mdogo wa mke wake sema Mungu alishamuondoa kwa maslahi ya Taifa letu
Usitumie wingi wewe, wakisikja hilo jina tu, wanapata hasira sanaDah! Yaani mtu akimsema vibaya Magufuli wetu Huwa najisikia vibaya
Pumzika Kwa Amani mpendwa wetu
JPM