KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Kwa haya matendo ya mama Samia ni dhahiri kuwa nchi yetu haikujiandaa kuwa na rais mwanamke......matendo yake ni kielelezo cha uanamke wake unavyoingiliana na taasisi anayoiongoza.........
Nafasi za utumishi wa umma sio kugawiwa kwa kuhurumiana au kubebana bali kwa kuzingatia weledi,umakini na historia ya muhusika......
CCM wameifanya hii nchi kuwa kama danguro.......lakini hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.........
Nafasi za utumishi wa umma sio kugawiwa kwa kuhurumiana au kubebana bali kwa kuzingatia weledi,umakini na historia ya muhusika......
CCM wameifanya hii nchi kuwa kama danguro.......lakini hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.........