Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

Kwa haya matendo ya mama Samia ni dhahiri kuwa nchi yetu haikujiandaa kuwa na rais mwanamke......matendo yake ni kielelezo cha uanamke wake unavyoingiliana na taasisi anayoiongoza.........

Nafasi za utumishi wa umma sio kugawiwa kwa kuhurumiana au kubebana bali kwa kuzingatia weledi,umakini na historia ya muhusika......

CCM wameifanya hii nchi kuwa kama danguro.......lakini hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.........
 
Mama yupo vizuri sana tatizo mnataka afanye mnachotaka nyie hapo ndipo shida inapoanzia. Hakuna kiongozi atayewafurahisha watu wote hivyo mwacheni mama achape kazi.

Yaani mama akifanya mambo mnayoyaoenda mnamsifia skafanya msiyoyapenda mnaaza kumkosoa tena bila adabu, hivi nyie mnajua maana ya demokrasia kweli? Au demokrasia ni nzuri endapo intawafavour nyie?
Hawa watu ni wapumbavu sana.

Demokrasia wanaijua ACT Wazalendo . Angalia Zanzibar wanavyoishi kwa furaha na amani tele.
 
Huyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya hovyo ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.

Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.

Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Katafuteni kazi za kufanya, mmekuwa mkibwata mitandaoni miaka mingi sana, hamna lolote mlichowaongezea wananchi. Na katiba ya kumpa kula Mbowe na genge lake dogo halitatokea. Msahau katiba ya matakwa yenu. Tukiifanya itakuwa katiba ya wananchi na kwa manufaa yao, na sio chadema
 
Huyu Mama ni tatizo na ameamua kurithi na kuyaenzi baadhi ya mambo ya hovyo ya Mwendazake yaliyotuharibia hii nchi.

Kwa kifupi, hatoshi na bora muda wake uishe aondoke.

Hata Katiba Mpya sidhani kama itakuwa ni moja ya vipaumbele vyake kwani inaonekana ameanza kufurahia hii katiba mbovu inayompa mamlaka makubwa ya kufanya atakavyo.
Jombaaa subir mkeka mwinginee..utateuliwaa tuu..mana naona unapwapwayaa sanaaaa..ila hupati teuzi..
 
Maza yuko vizuri tatizo analemewa na kelele ndani ya ccm...ishu ya sabaya imeleta mgawanyiko mkubwa sana.. Kwakuwa ilionekana ni ushindi kwa CDM na mwenyekiti...! Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga
We mzee nae..mataga na nassari wapi na wapi? Nenda kalee puree bhanaa..na bado mtaona mengi ya huyuu mama..msianze kugeuka tartiibuuu...uzuri jf inatunzaa andiko la kila mmojaaa..
 
Hivi ndivyo watu walivyochambua na kupinga uteuzi wa Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya.

View attachment 1825048

View attachment 1825050
INAONEKANA NASARI BADO ANAWAFANYA MUWEWESEKE KILA SIKU HAPO UFIPANI. HIVYO VIPEPERUSHI VYA MASENGENYO NI SAWA NA KELELE ZA CHURA AMBAZO HAZIMZUII NG'OMBE KUNYWA MAJI. NASARI NI JEMADARI NA SHUJAAA WA MAPAMBANO TENA MCHAPA KAZI. TULIENI KIMYA.
 
Issue ya Sabaya ni ushindi kwa Chadema? Kila kitu Sio siasa mjinga kweli wewe what about:

  • Watoto waliobakwa na kula witiwa?
  • wanavyuo waliobakwa na kulawitiwa?
  • walioteswa?
  • waliozulumiwa?

Nyie CCM hamna akili kabisa! Na huu ubinafai wenu unafika mwisho si Mda mrefu!
Kuna mtoto hata mmoja aliebakwaa? Au kuna mtoto wa jiran yako uliemshudia akilawitiwaa...au mnaskiliza hao watoto waliokusanywaa mitaani kwa kulipwa hela kusema uongo! Mmesahau kesi ya babu sea au?? Acheni upuuzi kuongea mkiwa hamna ushahid..hiyoo sabaya atatoka na kufutiwa mashataka yotee..nanyi mtabaki midomo wazii..
 
Issue ya Sabaya ni ushindi kwa Chadema? Kila kitu Sio siasa mjinga kweli wewe what about:

  • Watoto waliobakwa na kula witiwa?
  • wanavyuo waliobakwa na kulawitiwa?
  • walioteswa?
  • waliozulumiwa?

Nyie CCM hamna akili kabisa! Na huu ubinafai wenu unafika mwisho si Mda mrefu!
Kama wanasema ishu ya Sabaya ni ushindi kwa chadema, basi tuseme yale aliyoyafanya/anayotuhumiwa nayo ni maagizo ya chama chake
 
Kama bunge limewashikilia wakina mama 19 wasio na chama, wanaoitwa wabunge wa upinzani bungeni. Mbona hili la Nasari ni cha mtoto.

Hii ndiyo Tanzania.
Hata wakipige kelele huo ndiyo, mkeka wa Mama swali fikirishi katiba Ya Tanganyika inasemaje kuhusu uteuzi
 
UPUUZI MTUPU!!!! Huo utafiti wako kwamba Chadema hawawezi kuongoza nchi uliufanya wapi na lini? Hao waliokaa madarakani miaka 60 ndiyo wanaweza kuendesha Nchi!? Sasa kama ndiyo hivyo kwanini nchi haina lolote la kujivunia baada ya miaka yao 60 ya kuwa madarakani?
Kama wameonyesha uwezo mkubwa wa kuendesha nchi kwanini wahofie Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ili tuwe na uchaguzi huru na wa haki!?
Kwanini wanabaka demokrasi nchini kwa kufanya wizi wa kura kwa kutumia mtutu wa bunduki na Tume FAKE ya uchaguzi!? Acha kuonyesha ujuha wako hadharani.
Nchi haina lolote la kujivunia???

Nyinyi ni kupinga tu kila linalofanyika. Sasa si uhame uende kwenye nchi zenye lolote. Mbona umeng'ang'ania hapa???

Kama Tanzania haina lolote tafuta huko kwenye lolote uende
 
Back
Top Bottom