Marufuku kuvaa nguo yenye bendera ya Tanzania bila kibali!

Marufuku kuvaa nguo yenye bendera ya Tanzania bila kibali!

Squidward

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
7,828
Reaction score
9,546
Wakuu hili suala la serikali kupiga marufuku uvaaji wa nguo ya aina yoyote yenye bendera ya Tanzania mnalichukuliaje, binafsi naona inamnyima Mtanzania kuwa huru na nchi yake kwa kujivunia rangi nzuri za bendera kupitia shati au kacha. Alafu inaleta uzalendo kwa kiwango kikubwa sana.

Nimefuatilia wenzetu Kenya aisee wale jamaa ni wazalendo na wanaipenda sana nchi yao wako huru kuitangaza bendera ya nchi yao kupitia mavazi na baadhi ya mapambo ila kwetu ni marufuku na sheria iko wazi kuwa ukikutwa umenunua vazi lenye bendera ya nchi utatozwa faini au kifungu miaka miwili jela.

Natoa rai kwa Wahusika hili suala litazamwe upya tena liwe discussed bungeni upya, hii sheria ipitiwe upya watu waruhusiwe kuitumia bendera kwa vitu positive na sio vinginevyo.

images.jpeg.jpg
 

Attachments

Kampuni Parimatch wakati fulani ilikuwa inatumia picha za dada mmoja aliyevaa chupi yenye rangi za bendera ya Tanzania kufanya matangazo yao mtandaoni.

Hili jambo lilinikera binafsi na nikaona sasa rangi za bendera yetu ya thamani zinatumika na makahaba kunadi kamari tena kahaba aliyevaa nusu utupu.

Hili jambo walitazame kwa jicho la pili na la tatu kama wanahisi kuwa wako sahihi basi wanakosea sana. Si rahisi ukutane na mtu kavaa nguo yeye rangi za bendera na ukikutana naye ujue huyo mtu sio mwehu wa kuvaa nguo ya aina hiyo. Ifike wakati wananchi watumie bendera au rangi ya bendera ili kuubali Utanzania wao.

Msipokubali tutavaa hata bendera ya Kenya [emoji1139] na Uganda [emoji1254] mbona zina mwonekano mzuri tu.
 
Dah! Ahsante kwa Taarifa,ninayo ndani huwa nikijisikia tuu navaa...umeniokoa mkuu.

Kaa mbali na
- Kacha yenye bendera ya TZ
- Leso au kitambaa chenye bendera ya TZ
- Begi lenye bendera ya TZ
- na nguo za aina zote iwe shati, tshirt, suruali au scarf yenye bendera ya TZ.

Ukikamatwa jela miaka 2.
 
Kaa mbali na
- Kacha yenye bendera ya TZ
- Leso au kitambaa chenye bendera ya TZ
- Begi lenye bendera ya TZ
- na nguo za aina zote iwe shati, tshirt, suruali au scarf yenye bendera ya TZ.

Ukikamatwa jela miaka 2.
Nitatumia Kacha zenye nembo ya Kenya nilikuwa naona rafiki yangu akivaa namshangaa kumbe kuna muda inatakiwa tuvae za wengine.
 
Wakuu hili suala la serikali kupiga marufuku uvaaji wa nguo ya aina yoyote yenye bendera ya Tanzania mnalichukuliaje, binafsi naona inamnyima Mtanzania kuwa huru na nchi yake kwa kujivunia rangi nzuri za bendera kupitia shati au kacha. Alafu inaleta uzalendo kwa kiwango kikubwa sana.

Nimefuatilia wenzetu Kenya aisee wale jamaa ni wazalendo na wanaipenda sana nchi yao wako huru kuitangaza bendera ya nchi yao kupitia mavazi na baadhi ya mapambo ila kwetu ni marufuku na sheria iko wazi kuwa ukikutwa umenunua vazi lenye bendera ya nchi utatozwa faini au kifungu miaka miwili jela.

Natoa rai kwa Wahusika hili suala litazamwe upya tena liwe discussed bungeni upya, hii sheria ipitiwe upya watu waruhusiwe kuitumia bendera kwa vitu positive na sio vinginevyo.

View attachment 1381980
Hilo zuio limetolewa na nan mkuu ebu tuwekee chanzo hapa.
 
Watu wengi wanajua Bendera ya America kwa sababu,bendera ya Amerika inatumika kwa kila sehemu,kofia,nguo,vitambaa,hapo watoto wanajua bendera ya Amerika kuliko za nchi zao,Amerika ataendelea kuwa super power maana kila mtu anajua Amerika,hiyo ya Tanzania wekeni kwenye masanduku ya ofisini,siku wazalendo wakizaliwa watakuja kuivaa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama Kweli hii ndo awamu ya tano. Ccm mbele kwa mbele babaaa mbele kwa mbelee [emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji351][emoji351][emoji397][emoji397][emoji397][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji443][emoji443][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji442][emoji441][emoji981][emoji450][emoji450][emoji449][emoji449][emoji449][emoji1623][emoji1623][emoji447][emoji448][emoji448][emoji333][emoji333][emoji333]
Yeah wamekataza. Hadi uombe kibali, kwa kuinunua kwa TSh 80,000 mpaka 100,000 serikalini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hili suala la serikali kupiga marufuku uvaaji wa nguo ya aina yoyote yenye bendera ya Tanzania mnalichukuliaje, binafsi naona inamnyima Mtanzania kuwa huru na nchi yake kwa kujivunia rangi nzuri za bendera kupitia shati au kacha. Alafu inaleta uzalendo kwa kiwango kikubwa sana.

1583761598830.png


Kamata hawa watoto tia ndani masaa 24 wanakuika marufuku ya kuvaa nguo za bendera!
 
Ama Kweli hii ndo awamu ya tano. Ccm mbele kwa mbele babaaa mbele kwa mbelee [emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji351][emoji351][emoji397][emoji397][emoji397][emoji344][emoji344][emoji344][emoji344][emoji443][emoji443][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji442][emoji441][emoji981][emoji450][emoji450][emoji449][emoji449][emoji449][emoji1623][emoji1623][emoji447][emoji448][emoji448][emoji333][emoji333][emoji333]

Sent using Jamii Forums mobile app

Hachana na mambo ya hawamu ya Tano Mkuu,sheri a hiii mleta mada kasema IPO tangu mwaka 1972.
 
Naomba kuuliza mtoa mada: Kuna taarifa yeyote hivi karibuni kutoka kwa vyombo vya usalama wametoa hii marufuku au wewe ndio umeamua kutukumbushia...
 
Back
Top Bottom