Marufuku kuvaa nguo yenye bendera ya Tanzania bila kibali!

Marufuku kuvaa nguo yenye bendera ya Tanzania bila kibali!

Wanafikiri vyema ama CCM ndiyo mawazo yao
Wakuu hili suala la serikali kupiga marufuku uvaaji wa nguo ya aina yoyote yenye bendera ya Tanzania mnalichukuliaje, binafsi naona inamnyima Mtanzania kuwa huru na nchi yake kwa kujivunia rangi nzuri za bendera kupitia shati au kacha. Alafu inaleta uzalendo kwa kiwango kikubwa sana.

Nimefuatilia wenzetu Kenya aisee wale jamaa ni wazalendo na wanaipenda sana nchi yao wako huru kuitangaza bendera ya nchi yao kupitia mavazi na baadhi ya mapambo ila kwetu ni marufuku na sheria iko wazi kuwa ukikutwa umenunua vazi lenye bendera ya nchi utatozwa faini au kifungu miaka miwili jela.

Natoa rai kwa Wahusika hili suala litazamwe upya tena liwe discussed bungeni upya, hii sheria ipitiwe upya watu waruhusiwe kuitumia bendera kwa vitu positive na sio vinginevyo.

View attachment 1381980

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeelewa hivyo vifungu lakini? Haujui kwamba watu walikuwa wanakiuka hivyo vifungu bila kujua?
Hiyo sheria ipo miaka mingi sio leo, kuna katazo lolote la kuweka mkazo hiyo sheria?

Sio kila unachokisoma tu au unachokifahamu leo basi ukafikiri watu hawakua wanafahamu.

Watu mnakurupuka tu huko.
 
Wakuu hili suala la serikali kupiga marufuku uvaaji wa nguo ya aina yoyote yenye bendera ya Tanzania mnalichukuliaje, binafsi naona inamnyima Mtanzania kuwa huru na nchi yake kwa kujivunia rangi nzuri za bendera kupitia shati au kacha. Alafu inaleta uzalendo kwa kiwango kikubwa sana.

Nimefuatilia wenzetu Kenya aisee wale jamaa ni wazalendo na wanaipenda sana nchi yao wako huru kuitangaza bendera ya nchi yao kupitia mavazi na baadhi ya mapambo ila kwetu ni marufuku na sheria iko wazi kuwa ukikutwa umenunua vazi lenye bendera ya nchi utatozwa faini au kifungu miaka miwili jela.

Natoa rai kwa Wahusika hili suala litazamwe upya tena liwe discussed bungeni upya, hii sheria ipitiwe upya watu waruhusiwe kuitumia bendera kwa vitu positive na sio vinginevyo.

View attachment 1381980
Ingekuwa miaka kadhaa nyuma ningesikitika.Lakini kwa kipindi hiki tangu 2015 wala sifikirii.
 
Wakuu hili suala la serikali kupiga marufuku uvaaji wa nguo ya aina yoyote yenye bendera ya Tanzania mnalichukuliaje, binafsi naona inamnyima Mtanzania kuwa huru na nchi yake kwa kujivunia rangi nzuri za bendera kupitia shati au kacha. Alafu inaleta uzalendo kwa kiwango kikubwa sana.

Nimefuatilia wenzetu Kenya aisee wale jamaa ni wazalendo na wanaipenda sana nchi yao wako huru kuitangaza bendera ya nchi yao kupitia mavazi na baadhi ya mapambo ila kwetu ni marufuku na sheria iko wazi kuwa ukikutwa umenunua vazi lenye bendera ya nchi utatozwa faini au kifungu miaka miwili jela.

Natoa rai kwa Wahusika hili suala litazamwe upya tena liwe discussed bungeni upya, hii sheria ipitiwe upya watu waruhusiwe kuitumia bendera kwa vitu positive na sio vinginevyo.

View attachment 1381980
Watangaza rasmi tuwe tunavaa za ccm
 
Ni Mwafrika chini ya Jangwa la Sahara ndie anaweza kuwa na Mawazo kama haya..

Bendera ni alama inayowakilisha nchi, Bendera haiwezi kuwa Bendera kama haipepei kwenye mringoti au sehemu fulani..

Kuvaaa picha inayofanana na Bendera kwenye fulani au kitu chochote chengine ni kuitangaza nchi husika..

Leo hii nchi kama Marekani inajulikana kila kona ya Dunia, mtoto wa miaka 6 anajua Bendera ya Marekani iko vipi, hii inaipa faida kubwa nchi ya Marekani kwenye kila nyanja

Watanzania tubadilishe vipi tuna fikiri na kuwaza, kuvaa picha iliyofanana na Bendera ni uzalendo, ni kuitangaza nchi
 
Wakuu hili suala la serikali kupiga marufuku uvaaji wa nguo ya aina yoyote yenye bendera ya Tanzania mnalichukuliaje, binafsi naona inamnyima Mtanzania kuwa huru na nchi yake kwa kujivunia rangi nzuri za bendera kupitia shati au kacha. Alafu inaleta uzalendo kwa kiwango kikubwa sana.

Nimefuatilia wenzetu Kenya aisee wale jamaa ni wazalendo na wanaipenda sana nchi yao wako huru kuitangaza bendera ya nchi yao kupitia mavazi na baadhi ya mapambo ila kwetu ni marufuku na sheria iko wazi kuwa ukikutwa umenunua vazi lenye bendera ya nchi utatozwa faini au kifungu miaka miwili jela.

Natoa rai kwa Wahusika hili suala litazamwe upya tena liwe discussed bungeni upya, hii sheria ipitiwe upya watu waruhusiwe kuitumia bendera kwa vitu positive na sio vinginevyo.

View attachment 1381980
thanks to god aint no body tryna wear that piece of shit anyways it ridiculous when you got it on
 
Kuna waziri alipiga marufuku kusema bendera ya taifa ina rangi ya njano ...halafu tamko lenyewe alilitoa kwa kauli jeuri...

Akaja mwenye bendera na kutoa kauli

Warizi alisinyaa kutoka tiger mpaka cat
 
Naomba kuuliza mtoa mada: Kuna taarifa yeyote hivi karibuni kutoka kwa vyombo vya usalama wametoa hii marufuku au wewe ndio umeamua kutukumbushia...
Nami nilitaka kuuliza hivi hivi....
 
Back
Top Bottom